This is sad. Poleni sana
 
Mzee Wacha ujinga. Watu zaidi ya 40 Wenye mapanga unazani Rahisi hivyo.
Duh!

Watu arobaini, na polisi hawajui hao watu wanafanya nini huko mitaani?

Au hili ni genge toka ndani ya chama, CCM?
 

Ningekuwa Rais ningemfukuza kazi Mkuu wa Mkoa wa DSM, tena ningetegea yupo kwenye ziara ndio nitengue uteuzi wake.

Na ningetuma watu wakamnyang'anye gari katikati ya ziara.

Huwezi kuwa mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na usalama wa Mkoa halafu Panya road wanakushinda na unaendelea kubaki ofisini.

Hii ni mara ya pili watu wanakatwa mapanga na hao panya road. Nimeanza kuona ni kwanini Magufuli alikuwa anatumbua hawa watu, hawatimizi majukumu yao kwa usahihi.
 
Serikali inawa chekea sana hawa watoto , ongoza nchi kwa mkono wa chuma uone kama kuna taka taka yoyote inayoitwa panya road itatokea.

Kamata wote vulisha nguo wazamishe kwenye tanuru la moto waungue mpaka wabaki majivu uone kama kuna kikundi chochote cha kishenzi kitaji tokeza.
 
Tatizo la maisha ya nyuma ya Keyboard unaweza kuwa wewe ndio Makonda mwenyewe au una maslahi binafsi na ulichoshauri.
CCM awamu 06 imeshindwa kulinda usalama wa raia na malizo iondoke by 2025 kwa lazima , hii ingetokea enzi za JPM kuna watu ndani ya WIZARA husika wangeshawajibika mpaka sasa.......kwa sasa hakuna accountabilty kabisa .....
 
Kutwa yupo Bunju na Mabwepande kutatua migogoro ya Ardhi wakati DC na DED wapo.Makalla nilimdharau alipomshauri Rais ajenge soko la Machinga Jangwani!
Na leo nimemuona Bunju anawaambia Wananchi waliovamia eneo la klabu ya Simba wahame🤣🤣
 
CCM awamu 06 imeshindwa kulinda usalama wa raia na malizo iondoke by 2025 kwa lazima , hii ingetokea enzi za JPM kuna watu ndani ya WIZARA husika wangeshawajibika mpaka sasa.......kwa sasa hakuna accountabilty kabisa .....
Hi nchi bila mkono wa chuma kweli haiwezi kwenda kabisa , watamsumbua tuu mama yetu apate presha bure ......
 
Hao sio panya road ni wafuasi wa Magufuli wanamkwamisha Samia ili ionekane kwa miaka mitano ya JPM kwanini hali ilikuwa shwali alisikika mlevi mmoja akisema!
ndo wafanyie tukio nyuma ya kituo cha polisi , au polisi pia ni wafuasi wa JPM , kwahiyo Mama hawez kuwadhibit kisa ni wafuasi wa JPM ?
 
Makonda hapana...jeshi la police lifanye kazi yake ipasavyo tu
 
Kutwa yupo Bunju na Mabwepande kutatua migogoro ya Ardhi wakati DC na DED wapo.Makalla nilimdharau alipomshauri Rais ajenge soko la Machinga Jangwani!
Na leo nimemuona Bunju anawaambia Wananchi waliovamia eneo la klabu ya Simba wahame🤣🤣
Jiji limemshinda. Kwanza hata sijui mamlaka ya uteuzi iliona nini kwake hadi ikampa DSM.
Kama kuna wakuu wa Mikoa wa kufuta kazi, yeye anapaswa kuwa namba moja.
 
Kupatwa kwa Uandishi. Basi badili heading tu nayo iwe na neno Chadema ili kichefuchefu chako kipone
 
Polisi wana akili ? , makonda licha ya kuitwa zero brain lakini he was somehow smart kuliko polisi, alijua kuwa control, watu hata gari zao walishindwa ku repair
Kwahiyo Makonda ndiye alitoa pesa za kurepair?? Au alitumia tu ubabe kwa wenye Garage pamoja na kukomba pesa za wafanyabiashara kwa kisingizio anatengeneza magari ya polisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…