Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio haujawa na hautakua rais sasa kwa sababu una maamuzi ya kichoko, wewe unafikiri kua rais ni kufanyafanya tu vile unavyojisikia wewe?
Ningekuwa Rais ningemfukuza kazi Mkuu wa Mkoa wa DSM, tena ningetegea yupo kwenye ziara ndio nitengue uteuzi wake.
Na ningetuma watu wakamnyang'anye gari katikati ya ziara.
Huwezi kuwa mwenyekiti wa kamati ya Ulinzi na usalama wa Mkoa halafu Panya road wanakushinda na unaendelea kubaki ofisini.
Hii ni mara ya pili watu wanakatwa mapanga na hao panya road. Nimeanza kuona ni kwanini Magufuli alikuwa anatumbua hawa watu, hawatimizi majukumu yao kwa usahihi.
Unaandika hayo ukiwa nyuma ya keyboard alafu ukisikia nje kuna kelele zisizoeleweka ndio wa kwanza kujificha uvunguni mwa kitandaSerikali inawa chekea sana hawa watoto , ongoza nchi kwa mkono wa chuma uone kama kuna taka taka yoyote inayoitwa panya road itatokea.
Kamata wote vulisha nguo wazamishe kwenye tanuru la moto waungue mpaka wabaki majivu uone kama kuna kikundi chochote cha kishenzi kitaji tokeza.
Jiji limemshinda. Kwanza hata sijui mamlaka ya uteuzi iliona nini kwake hadi ikampa DSM.
Kama kuna wakuu wa Mikoa wa kufuta kazi, yeye anapaswa kuwa namba moja.
samwel ngoma fala wa mafalaKinana mbona hasemi kitu kuhusu polisi kukabili panya rodi au kwasababu panya rodi siyo kero kwenye matembezi yake kama ilivyokuwa kwa trafiki barabarani.
Hapana!Unakumbuka upumbavu?
Watoto wanaozaliwa mfano pale Temeke..Mbagala unawatunga wewe?Huo mji hauna wanaume?
Fafanua mkuuHao ni Panya road,acheni kuficha ficha na kubadili majina
Kwamba walinda usalama wa raia na mali zao wako likizo woteni kama wamegoma
Unamaana inafanana na Ile ya KibitiInawezekana kuna mkono ambao unachochea taharuki hizo.
...hii sio kawaida ya 'wahalifu' au majambazi.
Haya ni ya mipango, wanapanga wapi huo uhalifu.
Hatahivyo sikubaliani na utumiaji wa lugha ya Kimbari-Wahalifu ni wahalifu tu.
Ndiyo kazi yao na wanalipwa mishahara kwa kazi hiyo..........au unafikiri wapo kwa ajili ya kuokota za kubrashia viatu.Baada ya kukaribia kufilimbwa na panya road tumeanaza kuona umuhimu wa polisi.[emoji23]
Dar kuhusu wanaume mmepigwa, hakuna wanaume hapoHatutaki pole zenu za kinafki ili hali mnawapondea waume zetu
Viganjwa vya mikono kata visigino au vunja uti wa mgongo au pigilia msumali wa kichwa nch 4.. hio adhabu inawatosha sana wakifanywa mfano vijana 10 tu wenye tabia km hizo mchezo umeisha.. ila nikuulize wewe unaweza kumfanyia hivyo mdogo ako uliezaliwa nae tumbo moja?Hawa vijana wakikamatwa waka twe viganja vya mikono hiyo ndio dawa yao, maana wakifungwa wanajaza magereza tu walahi [emoji35]