Inafikirisha sio kidogo.Na kweli, kipindi hicho Yahweh alikua on fleek, alikua anaingilia vitu, alikua hadi anafanya appearances....
Sasa hivi anaruhusu watu baki wapindishe sheria zake ovyo tu, inafikirisha
objective morality, societal biases๐Bali kutokana na nini?
Serikali ilitakiwa kupiga matufuku madhehebu ya dini toka kipindi cha awamu ya kwanza na kuendelea ......madhehebu ya dini ni cheni ya upumbavu na uhuni ulio tukuka....ni kosa kubwa sana ...KURUHUSU AU KUWA NA MADHEHEBU KWENYE NCHI YOYOTE ILE ....HII NI AKILI KUBWA SANA KUTOKA KWANGUNi taarifa ilyotumwa hivi punde,waraka rasmi kutumwa kwa makadinali Dunia nzima,.......tushuhudie vidume wakivalishana mashela kanisani huku nyomi la wakatoliki mashabaab wakipiga vigelegele wanaume wenzao kwenda kupigana miti baada ya kanisa kutoa Sacramento takatifu!
---
ROME (AP) โ Pope Francis has formally approved allowing priests to bless same-sex couples, with a new document explaining a radical change in Vatican policy by insisting that people seeking Godโs love and mercy shouldnโt be subject to โan exhaustive moral analysisโ to receive it.
The document from the Vaticanโs doctrine office, released Monday, elaborates on a letter Francis sent to two conservative cardinals that was published in October. In that preliminary response, Francis suggested such blessings could be offered under some circumstances if they didnโt confuse the ritual with the sacrament of marriage.
The new document repeats that rationale and elaborates on it, reaffirming that marriage is a lifelong sacrament between a man and a woman. And it stresses that blessings should not be conferred at the same time as a civil union, using set rituals or even with the clothing and gestures that belong in a wedding.
But it says requests for such blessings should not be denied full stop. It offers an extensive definition of the term โblessingโ in Scripture to insist that people seeking a transcendent relationship with God and looking for his love and mercy should not be subject to โan exhaustive moral analysisโ as a precondition for receiving it.
โUltimately, a blessing offers people a means to increase their trust in God,โ the document said. โThe request for a blessing, thus, expresses and nurtures openness to the transcendence, mercy, and closeness to God in a thousand concrete circumstances of life, which is no small thing in the world in which we live.โ
He added: โIt is a seed of the Holy Spirit that must be nurtured, not hindered.โ
The Vatican holds that marriage is an indissoluble union between man and woman. As a result, it has long opposed same-sex marriage.
And in 2021, the Vaticanโs Congregation for the Doctrine of the Faith said flat-out that the church couldnโt bless the unions of two men or two women because โGod cannot bless sin.โ
That document created an outcry, one it appeared even Francis was blindsided by even though he had technically approved its publication. Soon after it was published, he removed the official responsible for it and set about laying the groundwork for a reversal.
In the new document, the Vatican said the church must shy away from โdoctrinal or disciplinary schemes, especially when they lead to a narcissistic and authoritarian elitism whereby instead of evangelizing, one analyzes and classifies others, and instead of opening the door to grace, one exhausts his or her energies in inspecting and verifying.โ
It stressed that people in โirregularโ unions โ gay or straight โ are in a state of sin. But it said that shouldnโt deprive them of Godโs love or mercy.
โThus, when people ask for a blessing, an exhaustive moral analysis should not be placed as a precondition for conferring it,โ the document said.
AP News
๐๐๐Hapo huenda kavaa bikini kabisa akimaliza kuendesha ibada anaenda ku twerk kwa mulume wake.
Good night mwanakondoo toka RC ๐คฃ
Hakuna kubariki ila anaweza kutoa baraka wakatoliki mkafrn! Ok sawa.Achana na uzushi wa watu, soma hiyo nyaraka uelewe, hakuna kubariki ndoa za jinsia moja, ila kiongozi wa dini anaweza kutoa baraka ili hata kama ni mtu mwovu, aache njia zake mbaya na aweze kumrudia Mungu.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Deduct to me how objective morality or even societal biases prove that homosexuality is wrong.objective morality, societal biases๐
Bado sana my dear, tutangojea sana huo mwisho sio wa leo wala keshoYeah, tuko mwishoni.
Nyaktai ya 7, kanisa lile la 7
Soma kwenye ufunuo sifa za kanisa la 7 utaelewa!.
Yaan natamanigi ningekuwa na rafiki ni โnunโ nimuulize kweliii kipochi hakijawahi guswa? Ovulation na b4 period ile mihemko unaishije? Yaan yan ๐๐ Mungu nisamehe mimiโฆVipi kuoa kwa mapadre na masista kuolewa? Si nidhambi ama?
Vipi ndoa ya mke zaidi ya mmoja bado ni dhambi?
Kuna namna wa kifuu haufanani na wa petrol.. Jua linalowachoma watu wa Dar, sio sawa na linalowaka huku IringaMoto ni moto tu, haijalishi wa kifuu,karatasi au petrol
Kila cheti chenye mhuri wa kanisa, kikionyeshwa hapa nalipia.Matapeli wakati ndoa zinabarikiwa!! Wanapewa hadi na chetiii ๐๐
kwa hapa bongo bado sana! Unadhani ni padri gani mbongo atafungisha ndoa ya mashoga na masagaji kwa sasa? Ikitokea itabidi tukajazane kanisa hilo tukashangae tu wanaume kwa wanaume, wanawake kwa wanawake wakifungishwa ndio kama hakutakuwa na ulinzi wa polisi tutafanya fujo hiyo ndoa ya ajabu isifungweWee tokaaa nenda huko unakoona ni sawa, mbna kadrinali alifurushwa aende huko kwenye afadhari.
Pope hana muda wa kubembeleza watu km nyinyi, na safarii hii mtajutaaa kumfahamuuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Pope ongeza spidi, ushogaa kwa kwenda mbeleeee, tumechelewa sana.
Mnazoeshwa kwanza na hali kwa tungo tata itafika muda yataachiwa na hakuna mtu ataona kama ni ttzHizi dini kwakweli ukikaa chini ukatafakari unaweza conclude kuwa ni dini za mchongo haswaa zilizoletwa na wakoloni na wazee wa karafuu
Kwani huko katoliki mnabariki wazinzi, wezi, majambazi, na sasa mmeamua kubariki wafiraji/rwaji?Ila wazinzi, wezi, majambazi ndo wakatolikii wa kweli? Poleeee wee.
Tena mtokee harakaa sanaa, mfyuuuuh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Papa angechumbiwa yeye kwanza aone kama kuna raha ya kulazwa bila nguo na kushikiliwa matako usiku kucha.
๐ฎ
Huyo dogo punga analiwa ndio hao hao.Coca is it OK kwako baba yako akiwa anafanywa?
๐คฃ๐คฃ Fujo ya nini sasa watu wamependana wenyewe wewe unaumia moyo! ๐๐๐๐๐tutafanya fujo hiyo ndoa ya ajabu isifungwe
Unajua zamani wakati wanatoa sadaka za kafara hekaluni kuna ishara huwa zilikuwa zinatokea wanatoka hapo wanafahamu kabisa kwamba either sadaka imekubaliwa au imekataliwa, kuna kuwa na relief flani moyoni.Uko vizuri, mkristo wa kawaida angeshanitukana kitambo.
ila mada ngumu hii kwa kweli, kila mtu ana maswali