Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Umemlisha maneno, kasema wanaweza kubarikiwa hata kama anajihusisha na mahusiano ya jinsia moja ni kama kusema unabariki walevi, wasengenyaji, wezi maana ni baraka tu ila sio kwamba kuna tukio rasmi la kubariki ndoa.

This is fake news sijui Jamiicheck imelala
mkuu katika hili catholic Hatuna cha kujitetea kuukubali Ushoga kidogo kidogo ni njia tu huwezi kuanzia kumfundisha mtoto herufi mwambatano wakati hajui irabu a mpaka u

ilianza kuto wazuia kwenda kanisani

ikaja kuwaruhusu kuwabatiza

imekuja kuwabariki means ndoa imeruhusiwa kwa maneno mengine

am very ashamed to be part of this
I used to be proud of being Rc but not anymore we lost our way
 
Ndoa ni kati ya mtu mume na mtu mke fullstop, hayo ndiyo mafundisho tanzu ya kanisa katoliki tangu karne ya kwanza. Epuka matapeli.
Matapeli wakati ndoa zinabarikiwa!! Wanapewa hadi na chetiii 😂😂
 
Na kweli, kipindi hicho Yahweh alikua on fleek, alikua anaingilia vitu, alikua hadi anafanya appearances....

Sasa hivi anaruhusu watu baki wapindishe sheria zake ovyo tu, inafikirisha
Kwasababu ya utafauti wa maagano, old testament and new testament yana operate kwa utofauti flani but both of them zinalenga one thing, kumkomboa binadamu.

Hujiulizi kwann agano la kale lilikuwa na sheria kali na agano jipya lipo soft??

N.B
Agano jipya ni zuri sana but very complicated.
 
Sasa wee inakuathiri vipi? Kufanya afanye baba, mtoto, au ndugu yako wa kiume, wee unateseka na nn?

Unawapangia wee namna ya wao kuenjoy mapenzi? Wee unapangiwa na waoo??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeee
Coca is it OK kwako baba yako akiwa anafanywa?
 
Kwasababu ya utafauti wa maagano, old testament and new testament yana operate kwa utofauti flani but both of them zinalenga one thing, kumkomboa binadamu.

Hujiulizi kwann agano la kale lilikuwa na sheria kali na agano jipya lipo soft??

N.B
Agano jipya ni zuri sana but very complicated.
Uko vizuri, mkristo wa kawaida angeshanitukana kitambo.

ila mada ngumu hii kwa kweli, kila mtu ana maswali
 
Yeah, tuko mwishoni.
Nyaktai ya 7, kanisa lile la 7
Soma kwenye ufunuo sifa za kanisa la 7 utaelewa!.
 
Mdogo mdogo clutch control ipo siku isiyo na jina itaachiwa mwendo mdundo
Yaani jinsia moja wana bariki wake wengi wana kataza ebhanaeeeee kweli dunia uwanja wa fujo
Hizi dini kwakweli ukikaa chini ukatafakari unaweza conclude kuwa ni dini za mchongo haswaa zilizoletwa na wakoloni na wazee wa karafuu
 
Wasabato hawaamini Miujiza, Hawaamini kujazwa Roho mtakatifu, hawaamini karama ya Unabii ndani ya Kanisa, hawaamini uwepo wa KUZIMU na Jehanum, wanaamini ukifa biashara inaishia hapo nk nk
Hawaamini miujiza - Uongo
Hawaamini kujazwa roho mtajatifu-Uongo
Hawaamini Karama ya unabii- Uongo
Uwepo wa kuzimu na Jehanam- Uongo
Ukifa biashara inaishia hapo- Kweli
 
Ya Ngoswe muachie Ngoswe
Kuna tutakaochomwa na moto wa makaratasi, wengine moto wa vifuu, wengine moto wa petrol…

Yan ni hivi,, bora uende usimkute, kuliko kusema hayupo kisha ukamkute amejaa tele.
Moto ni moto tu, haijalishi wa kifuu,karatasi au petrol
 
Back
Top Bottom