Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

oooh haikuathili??

vip akiwa anafanywa baba yako mtoto wako wa kiume au kaka yako?

bado haikuathili?
Sasa wee inakuathiri vipi? Kufanya afanye baba, mtoto, au ndugu yako wa kiume, wee unateseka na nn?

Unawapangia wee namna ya wao kuenjoy mapenzi? Wee unapangiwa na waoo??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeee
 
Miongoni mwa madhehebu ya hovyo ya wakristo...kuna lengine linaitwa casfeta

Tutahakikisha tunayaondoa hata kwa dua

ALLAH AKBAR
Wewe mapepo yako tutayatoa tu utake usitake.
CASFETA sio dhehebu, ni umoja /jeshi la kushughulikia watu wenye maruhani kama wewe
 
Bora sisi tunajua ushoga ni kitu kibaya, ila sio kutokana na Mungu.
Amini amini nakwambia, morals tulizokuwa nazo most of them are influenced by scriptures(either bible or Qur'aan)

Waisrael zamani wakiwa wanapitapita na ku-interract na watu wa mataifa mengine walikuwa wanasifika sana na kuonekana watu wenye hekima na busara, sasa kitu gani kilichokuwa kinawafanya waonekane wana hekima?? Ni Torati, kushika sheria za torati kuliwafanya waonekane wa tofauti sana, kuanzia kitabia na hygiene, torati ndo ilikuwa tofauti yao na mataifa mengine.
 
Mnalipwa hela nyingi sana ili kueneza huu ushetwani ila hamtaweza nakuhakikishia. Kapigeni promo huko huko ulipoanzia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu mnapanick nn? Mnaona wivu mashoga kufunga ndoa kanisani?? Kwani kanisa ni lenu? Woiiiiih

Pope ndo amesha sema sasa, utake usitake.

Hehehehe, watu weuweeeeee,
 
Sasa nalala , umeleta jibu WASABATO SI WAKRISTO na mambo mengi ya Kristo hawayakubali.
Wasabato hawaamini Miujiza, Hawaamini kujazwa Roho mtakatifu, hawaamini karama ya Unabii ndani ya Kanisa, hawaamini uwepo wa KUZIMU na Jehanum, wanaamini ukifa biashara inaishia hapo nk nk
 
Wasabato hawaamini Miujiza, Hawaamini kujazwa Roho mtakatifu, hawaamini karama ya Unabii ndani ya Kanisa, hawaamini uwepo wa KUZIMU na Jehanum, wanaamini ukifa biashara inaishia hapo nk nk
Ribbon, kama wewe ni mkristo na huamini roho mtakatifu wewe ni zaidi ya mpagani!
 
Eti mwanao wa kiume anakuletea dume mwenzie kumtambulisha kuwa ndiye mpenzi wake!!!???


Duh
 
Back
Top Bottom