Zulu man
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 6,084
- 15,998
Namuelewa vizuri huyo yaan akitoka Papa anafuata yeye(Young papa)🤣
Yeye na Papa hawana PAPA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namuelewa vizuri huyo yaan akitoka Papa anafuata yeye(Young papa)🤣
Yaan baba angu hata aje anioneshe basha wake, mie poa tyuuu si ametaka mwenyewe kuukalia, mie ndo nimzuie? Kwan anatumia mwili wangu au wakee?Coca is it OK kwako baba yako akiwa anafanywa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kunywa maji mengi afu relaaaaaaxxxxBible imesema wauawe, ilishahukumu kabisa. Ila hilo joka lao papa limeruhusu huko kwenye ushetani wao.
baada ya ukatoliki unafuata uislam, tena waislam tayari wameshana kwenye mitego ya ushoga na usagaji hawachomoki, afadhali ya wakristo wengi hawatanasika na mitego hiyo wanaijua tangu karne nyingi ipo ndio maana wakristo wana madhehebu mengi yanamchanganya shetani ashambulie wapi hajui. Kapiga kwa waangalikana, wakatoliki huku wengine wakikimbilia kuabudu sehemu salama. Uislam hauna altenative way ukipigwa pigo moja tu unakufa forever na hautainuka tena dunianiSema katoliki wanafanya biashara huu upuuzi huwezi kuukuta kwa waislamu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndoa wafunge wengine, wee ukafanye fujo inahusuu? Umevurugwaa au?kwa hapa bongo bado sana! Unadhani ni padri gani mbongo atafungisha ndoa ya mashoga na masagaji kwa sasa? Ikitokea itabidi tukajazane kanisa hilo tukashangae tu wanaume kwa wanaume, wanawake kwa wanawake wakifungishwa ndio kama hakutakuwa na ulinzi wa polisi tutafanya fujo hiyo ndoa ya ajabu isifungwe
Sawa nimetokaTokaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakika.. Sema watu wengi hawajui haya mambo, huhisi yanatokea tokea.Kuna kitu Mungu anafanya hapa, hawezi ruhusu hivi hivi
Ngoja tuone
Utajua hujui, mbna hawa hawapigiwi kelele na kanisani wanaingiwa km kawaaa,Kwani huko katoliki mnabariki wazinzi, wezi, majambazi, na sasa mmeamua kubariki wafiraji/rwaji?
Labda!Mi nimesema tuko mwishoni
Ila hakuna ajuae siku wala saa!
Ila tuko nyakati ya 7, kanisa la 7!
Ss ni lini sijui [emoji1745]
Ni anytime,usijipe matumaini kwamba Bado sana ndo maana tumeambiwa tukeshe,tujiweke tayari
Hapo sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndoa ya wengine yeye anavaa kibwebwe inahuuu??[emoji1787][emoji1787] Fujo ya nini sasa watu wamependana wenyewe wewe unaumia moyo! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndoa wafunge wengine, wee ukafanye fujo inahusuu? Umevurugwaa au?
Poleeeee
That’s marriage, a blessing of same sex couple.Ndoa ni kati ya mtu mume na mtu mke fullstop, hayo ndiyo mafundisho tanzu ya kanisa katoliki tangu karne ya kwanza. Epuka matapeli.
Ila we jamaa bwana!Wee tokaaa nenda huko unakoona ni sawa, mbna kadrinali alifurushwa aende huko kwenye afadhari.
Pope hana muda wa kubembeleza watu km nyinyi, na safarii hii mtajutaaa kumfahamuuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Pope ongeza spidi, ushogaa kwa kwenda mbeleeee, tumechelewa sana.
Sio kwema hata kidogo kwa mtu kama mm ambae ratiba yangu jumatatu mpaka ijumaa saa 12 na nusu ni lazima kua kanisani kabla ya kuingia kaziniYaan baba angu hata aje anioneshe basha wake, mie poa tyuuu si ametaka mwenyewe kuukalia, mie ndo nimzuie? Kwan anatumia mwili wangu au wakee?
Mbna unataka kupangia watu maishaa, kwemaaa??
Nimesha kujibu mbna, na sijaanza leo kulijibu hili humi ndani.Namjua ni mtetezi mkuu wa LGBT ngoja tuone Kama atajibu Kama atafurahishwa baba yake akiwa ndani ya shera anaolewa na mwanaume mwingine
[emoji304][emoji2524][emoji304] 4reveeeerrrrrrrrr!!!!!
Ndio nakumbuka vizuri but something is not right bhanaNimesha kujibu mbna, na sijaanza leo kulijibu hili humi ndani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]