Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Hii italeta utata na changamoto kubwa sana kwa waumini na wafuasi wake.
Hamna Kanisa lenye waumini Wapuuzi,I na mbumbumbu Kam RC,

Kesho wataambiwa Papa alinukuliwa vibaya, na wanaamini.

Nadhan umbumbumbu wa kiroho na akili wa waroman ni matokeo ya Mfumo wa Kanisan (Vatican) kuhakikisha kwamba Waumin wanakua wajinga, mjinga ni rahisi kuongozwa.
 
RC anataka kulazimisha na kuchochea Kwa uharaka, ujio wa YESU Mara ya pili.

RC kupitia Jesuits wake, wakamuunga Mkono Hitler ili Kufuta kizazi Cha wayahudi.


Ndio haohao Leo wanunga mkono magaidi wa Hamas.
 
Ni taarifa ilyotumwa hivi punde,waraka rasmi kutumwa kwa makadinali Dunia nzima,.......tushuhudie vidume wakivalishana mashela kanisani huku nyomi la wakatoliki mashabaab wakipiga vigelegele wanaume wenzao kwenda kupigana miti baada ya kanisa kutoa Sacramento takatifu!
---
ROME (AP) — Pope Francis has formally approved allowing priests to bless same-sex couples, with a new document explaining a radical change in Vatican policy by insisting that people seeking God’s love and mercy shouldn’t be subject to “an exhaustive moral analysis” to receive it.

The document from the Vatican’s doctrine office, released Monday, elaborates on a letter Francis sent to two conservative cardinals that was published in October. In that preliminary response, Francis suggested such blessings could be offered under some circumstances if they didn’t confuse the ritual with the sacrament of marriage.

The new document repeats that rationale and elaborates on it, reaffirming that marriage is a lifelong sacrament between a man and a woman. And it stresses that blessings should not be conferred at the same time as a civil union, using set rituals or even with the clothing and gestures that belong in a wedding.

But it says requests for such blessings should not be denied full stop. It offers an extensive definition of the term “blessing” in Scripture to insist that people seeking a transcendent relationship with God and looking for his love and mercy should not be subject to “an exhaustive moral analysis” as a precondition for receiving it.

“Ultimately, a blessing offers people a means to increase their trust in God,” the document said. “The request for a blessing, thus, expresses and nurtures openness to the transcendence, mercy, and closeness to God in a thousand concrete circumstances of life, which is no small thing in the world in which we live.”

He added: “It is a seed of the Holy Spirit that must be nurtured, not hindered.”

The Vatican holds that marriage is an indissoluble union between man and woman. As a result, it has long opposed same-sex marriage.

And in 2021, the Vatican’s Congregation for the Doctrine of the Faith said flat-out that the church couldn’t bless the unions of two men or two women because “God cannot bless sin.”

That document created an outcry, one it appeared even Francis was blindsided by even though he had technically approved its publication. Soon after it was published, he removed the official responsible for it and set about laying the groundwork for a reversal.

In the new document, the Vatican said the church must shy away from “doctrinal or disciplinary schemes, especially when they lead to a narcissistic and authoritarian elitism whereby instead of evangelizing, one analyzes and classifies others, and instead of opening the door to grace, one exhausts his or her energies in inspecting and verifying.”

It stressed that people in “irregular” unions — gay or straight — are in a state of sin. But it said that shouldn’t deprive them of God’s love or mercy.

“Thus, when people ask for a blessing, an exhaustive moral analysis should not be placed as a precondition for conferring it,” the document said.

AP News
Kama ni kweli basi huyo papa atakuwa chocolate pia
 
Mnalipwa hela nyingi sana ili kueneza huu ushetwani ila hamtaweza nakuhakikishia. Kapigeni promo huko huko ulipoanzia.
Sasa kama taifa teule wanalolitetea humu kwao ni ruksa kufirana na wanapata thawabu, pia biblia imeshawapiga biti mkiwalaani na nyinyi mtalaaniwa na mkiwabariki nanyi mwabarikiwa Papa kaona isiwe kesi kawapa go ahead ili na wao wote wapate baraka za chosen people.
 
Mnaopinga mapenzi ya jinsia moja hamna sababu ya msingi zaid ya itikadi Kali za kidini... Napinga ubaguzi, we kama mtu mweusi ukibaguliwa kwa sababu ni mweusi utafurahi?
 
Sidhani kama bado tuko Kwenye nyakati za Manabii wa Ukweli' kwa Sababu dalili zote zinaonyesha Ule Mwisho wa Ulimwengu huu umekaribia

Tunaishi katika Nyakati ngumu sana Joshua Mollel kachinjwa kama ngamia

Kana Kwamba hiyo haitoshi Papa Francisco anayeketi kitini pake mtume Petro anahalalisha Ndoa za Jinsia Moja, Watoto wetu wamekwisha

Ghadhabu ya Mungu wa mbinguni itakuwa Zaidi ya Sodoma na Gomola

Na Nchi zinazoishi kwa Mikopo Ndoa za Jinsia Moja zaweza Kuwa Sharti la kukopesheka

Mungu wa mbinguni Uturehemu Sisi!
 
Kwahiyo utapingana na amri na muongozo wa papa?
kwani mapadri wa kibongo wakiamua kumgomea papa atawafanya nini? Akiwafukuza ushirika wakianzisha catholic church of tanzania na kupata usajili humu humu bongo atawashitaki wapi? Kwanza wako wapi hao mashoga ya kufunga ndoa humu bongo? Harakati zenyewe za ushoga bongo hatuzioni kama uganda na kenya. Achana na mashoga wale walio trend kwenye magazeti ya udaku mwanzoni mwa miaka ya 2000 tuliokuwa tunawashangaa kwa jinsi walivyokuwa wanajiremba na kupendeza kama wanawake, naambiwa wa siku hizi hawajirembi wako kama walivyo na unaweza usiwajue kama ni mashoga. Labda yakifungishwa ndoa yatavaa mashela na kurembwa kama wanawake tunasubiri vituko hivyo tuone kama hatutaleta fujo huko watakapofungishwa ndoa zao
 
Kwahiyo utapingana na amri na muongozo wa papa?
kwani mapadri wa kibongo wakiamua kumgomea papa atawafanya nini? Akiwafukuza ushirika wakianzisha catholic church of tanzania na kupata usajili humu humu bongo atawashitaki wapi? Kwanza wako wapi hao mashoga ya kufunga ndoa humu bongo? Harakati zenyewe za ushoga bongo hatuzioni kama uganda na kenya. Achana na mashoga wale walio trend kwenye magazeti ya udaku mwanzoni mwa miaka ya 2000 tuliokuwa tunawashangaa kwa jinsi walivyokuwa wanajiremba na kupendeza kama wanawake, naambiwa wa siku hizi hawajirembi wako kama walivyo na unaweza usiwajue kama ni mashoga. Labda yakifungishwa ndoa yatavaa mashela na kurembwa kama wanawake tunasubiri vituko hivyo tuone kama hatutaleta fujo huko watakapofungishwa ndoa zao
 
Sidhani kama bado tuko Kwenye nyakati za Manabii wa Ukweli' kwa Sababu dalili zote zinaonyesha Ule Mwisho wa Ulimwengu huu umekaribia

Tunaishi katika Nyakati ngumu sana Joshua Mollel kachinjwa kama ngamia

Kana Kwamba hiyo haitoshi Papa Francisco anayeketi kitini pake mtume Petro anahalalisha Ndoa za Jinsia Moja, Watoto wetu wamekwisha

Ghadhabu ya Mungu wa mbinguni itakuwa Zaidi ya Sodoma na Gomola

Na Nchi zinazoishi kwa Mikopo Ndoa za Jinsia Moja zaweza Kuwa Sharti la kukopesheka

Mungu wa mbinguni Uturehemu Sisi!
Gibberish
 
Akili ya papa inachangiwa na uzee pia inapaswa awe controlled
 
Back
Top Bottom