Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Watu wanapiga safari za kwenda mwezini, kuishi Mars na kuchunguza galaxies nyingine wewe umejikita katika hadithi za dini na ushoga.
Anashangaza kwa kweliii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mi nimesema tuko mwishoni
Ila hakuna ajuae siku wala saa!
Ila tuko nyakati ya 7, kanisa la 7!
Ss ni lini sijui 🤷

Ni anytime,usijipe matumaini kwamba Bado sana ndo maana tumeambiwa tukeshe,tujiweke tayari
Mkuu Tayana,
kwani haya mambo yameanza sasahivi?
 
Yesu alisema kizazi hiki hakitapita bila kuushuhudia mwisho, badala yake vimeshapita vizazi na vizazi.
Zile propaganda za mwisho wa dunia wakati tunaendea mwaka wa 2000 leo zaidi miaka 20 imepita.
 
Sidhani kama bado tuko Kwenye nyakati za Manabii wa Ukweli' kwa Sababu dalili zote zinaonyesha Ule Mwisho wa Ulimwengu huu umekaribia

Tunaishi katika Nyakati ngumu sana Joshua Mollel kachinjwa kama ngamia

Kana Kwamba hiyo haitoshi Papa Francisco anayeketi kitini pake mtume Petro anahalalisha Ndoa za Jinsia Moja, Watoto wetu wamekwisha

Ghadhabu ya Mungu wa mbinguni itakuwa Zaidi ya Sodoma na Gomola

Na Nchi zinazoishi kwa Mikopo Ndoa za Jinsia Moja zaweza Kuwa Sharti la kukopesheka

Mungu wa mbinguni Uturehemu Sisi!

Weka hilo tangazo la Papa kuruhusu ndoa za jinsia moja.

Hilo tangazo limetolewa lini? Mbona hatujasikia? Taarifa pekee inayojulikana ni kuwa Papa alitamka kuwa Kanisa lisiwatenge watu wa jinsia moja wanaoishi pamoja. Alisema hakuna ndoa ya jinsia moja. Kanisa ni la watu wakosefu wanaoomba msamaha kwa Mungu.
 
Weka hilo tangazo la Papa kuruhusu ndoa za jinsia moja.

Hilo tangazo limetolewa lini? Mbona hatujasikia? Taarifa pekee inayojulikana ni kuwa Papa alitamka kuwa Kanisa lisiwatenge watu wa jinsia moja wanaoishi pamoja. Alisema hakuna ndoa ya jinsia moja. Kanisa ni la watu wakosefu wanaoomba msamaha kwa Mungu.
Nimeona nyuzi mbili hapa Jf mojawapo ikiwa ni ya bwashee ChoiceVariable wa Ubaruku, Mbeya
 
Yesu alisema kizazi hiki hakitapita bila kuushuhudia mwisho, badala yake vimeshapita vizazi na vizazi.
Zile propaganda za mwisho wa dunia wakati tunaendea mwaka wa 2000 leo zaidi miaka 20 imepita.
Hakuna ajuaye siku wala saa. Hata malaika wa mbinguni hawajui, isipokuwa Baba wa mbinguni.
 
Sidhani kama bado tuko Kwenye nyakati za Manabii wa Ukweli' kwa Sababu dalili zote zinaonyesha Ule Mwisho wa Ulimwengu huu umekaribia

Tunaishi katika Nyakati ngumu sana Joshua Mollel kachinjwa kama ngamia

Kana Kwamba hiyo haitoshi Papa Francisco anayeketi kitini pake mtume Petro anahalalisha Ndoa za Jinsia Moja, Watoto wetu wamekwisha

Ghadhabu ya Mungu wa mbinguni itakuwa Zaidi ya Sodoma na Gomola

Na Nchi zinazoishi kwa Mikopo Ndoa za Jinsia Moja zaweza Kuwa Sharti la kukopesheka

Mungu wa mbinguni Uturehemu Sisi!
Luka 20:9-26

Yesu akaendelea kuwaambia watu mfano huu: “Mtu mmoja alilima shamba la mizabibu, akalikodisha kwa wakulima; kisha akasafiri hadi nchi ya mbali, akakaa huko kwa muda mrefu. Wakati wa mavuno, mtu huyo alimtuma mtumishi wake kwa wale wakulima, akachukue sehemu ya matunda ya shamba la mizabibu. Lakini wale wakulima wakampiga mtumishi huyo, wakamrudisha mikono mitupu. Yule bwana akamtuma tena mtumishi mwingine; lakini wao wakampiga huyo vilevile na kumtendea vibaya, wakamrudisha mikono mitupu. Akamtuma tena wa tatu; huyu naye, baada ya kumwumiza, wakamfukuza. Yule mwenye shamba akafikiri: ‘Nitafanya nini? Nitamtuma mwanangu mpenzi; labda watamjali yeye.’ Wale wakulima walipomwona tu, wakasemezana: ‘Huyu ndiye mrithi. Basi, tumuue ili urithi wake uwe wetu.’ Basi, wakamtoa nje ya lile shamba la mizabibu, wakamuua.” Yesu akauliza, “Yule mwenye shamba atawafanya nini hao wakulima?

Ni Wayahudi na Dola ya Roma ndiyo walitejeleza mauaji ya Yesu Kristo na pamoja na mitume weke wengi waliuawa na Wayahudi na Waroma!

Waroma walihodhi Ukristo ili waingize ushetani wao ila lengo sio Kristo Yesu wa kweli.
 
Kama Kiongozi wa dini kazidiwa akili hadi na mbuzi hiyo hali ya wafuasi itakuaje? Maana hata mbuzi hawaungi mkono mapenzi ya jinsia moja
 
Ukithibitisha kauli hiyo kaitoa Yeye,

Kimbia kama vile umeona bomu nyumbani mwako lisiloripuka Bado,
Kusubiri uyaone kwenye parokia Yako, utakuwa sawa tu na waumini wa Zumaridi!!
Screenshot_20231218-234652_Facebook.jpg
Screenshot_20231218-234847_Facebook.jpg
 
Wamfukuze huyu ,papa wa mwisho alikuwa John Paul huyu wafanye mapema wamwondoshe hapo Vatican sijawahi kumwamini hata siku moja
 
Duh,,hii iishie huko huko kwao
Wasije huku kwetu litakufa jitu hakyamungu
 
Back
Top Bottom