Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

baada ya ukatoliki unafuata uislam, tena waislam tayari wameshana kwenye mitego ya ushoga na usagaji hawachomoki, afadhali ya wakristo wengi hawatanasika na mitego hiyo wanaijua tangu karne nyingi ipo ndio maana wakristo wana madhehebu mengi yanamchanganya shetani ashambulie wapi hajui. Kapiga kwa waangalikana, wakatoliki huku wengine wakikimbilia kuabudu sehemu salama. Uislam hauna altenative way ukipigwa pigo moja tu unakufa forever na hautainuka tena duniani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kanisa Katoliki lina utaratibu wake.

Kama ni kweli tutayaona kanisani yakifanyika na si vinginevyo.
 
Hatimaye Kanisa katoliki kupitia Papa Francis leo December 18 ameruhusu ubarikiwaji wa ndoa za jinsia moja.

Maana yake ni kwamba kuanzia sasa mashoga watakuwa wanaenda kanisani kufunga ndoa.

Wakatoliki wa kibongo na washauri mtoe tamko la kupinga haya mambo la sivyo tutajua na nyie mnaunga mkono.

View attachment 2846355
Kama wanabariki MAGARI, MADUKA, NYUMBA, MASHAMBA, VIWANJA, VIWANDA, MASOLO, BAISKELI, PIKIPIKI, NG'OMBE. Iweje iwe vigumu kubariki wanadamu bila kujali hali yao ya kiroho........


Kubariki watu wa Jinsia moja na Kuwafungisha ndoa. Ni vitu viwili tofauti. Na havina uhusiano
 
Sio kwema hata kidogo kwa mtu kama mm ambae ratiba yangu jumatatu mpaka ijumaa saa 12 na nusu ni lazima kua kanisani kabla ya kuingia kazini

Kama kwako ni sawa hicho kitendo wakafamyiwa baba kaka au mwanao basi wewe ni binadamu mwenye inner peace hongera coca

But sometimes I wonder is it really ur female? Oooh ur shemale hahaha just kidding
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaziii ipoo.
 
kwani mapadri wa kibongo wakiamua kumgomea papa atawafanya nini? Akiwafukuza ushirika wakianzisha catholic church of tanzania na kupata usajili humu humu bongo atawashitaki wapi? Kwanza wako wapi hao mashoga ya kufunga ndoa humu bongo? Harakati zenyewe za ushoga bongo hatuzioni kama uganda na kenya. Achana na mashoga wale walio trend kwenye magazeti ya udaku mwanzoni mwa miaka ya 2000 tuliokuwa tunawashangaa kwa jinsi walivyokuwa wanajiremba na kupendeza kama wanawake, naambiwa wa siku hizi hawajirembi wako kama walivyo na unaweza usiwajue kama ni mashoga. Labda yakifungishwa ndoa yatavaa mashela na kurembwa kama wanawake tunasubiri vituko hivyo tuone kama hatutaleta fujo huko watakapofungishwa ndoa zao
Uletee fujo ndoa unafunga wee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hujistukiii??
 
Kama wanabariki MAGARI, MADUKA, NYUMBA, MASHAMBA, VIWANJA, VIWANDA, MASOLO, BAISKELI, PIKIPIKI, NG'OMBE. Iweje iwe vigumu kubariki wanadamu bila kujali hali yao ya kiroho........


Kubariki watu wa Jinsia moja na Kuwafungisha ndoa. Ni vitu viwili tofauti. Na havina uhusiano
Hebu fafanua kwa uchachee bas.
 
Umemlisha maneno, kasema wanaweza kubarikiwa hata kama anajihusisha na mahusiano ya jinsia moja ni kama kusema unabariki walevi, wasengenyaji, wezi maana ni baraka tu ila sio kwamba kuna tukio rasmi la kubariki ndoa.

This is fake news sijui Jamiicheck imelala
Kwa hiyo wezi, walevi, wasengenyaji wana pewa baraka ya kuendelea na matendo yao?

Onyesha ni wapi wezi wana barikiwa kuwa wezi au walevi wana barikiwa kwa ulevi wao?

Utabarikije kitu kisicho kubalika katika jamii kwa kukipa baraka kikafanyike?

Hii sio fake news, wavivu kama wewe na wafia dini msioweza hata kufuatilia habari mnakurupuka kuja ku komenti fake news.
 
Kama wanabariki MAGARI, MADUKA, NYUMBA, MASHAMBA, VIWANJA, VIWANDA, MASOLO, BAISKELI, PIKIPIKI, NG'OMBE. Iweje iwe vigumu kubariki wanadamu bila kujali hali yao ya kiroho........


Kubariki watu wa Jinsia moja na Kuwafungisha ndoa. Ni vitu viwili tofauti. Na havina uhusiano
Unabarikiwaje kwenye uovu ambao dini na makanisa yenu yana ukemea kila siku?

Si waseme tu ushoga ruksa. Sio kubariki kitu ambacho kanisa lenyewe lina pingana nacho. Halafu tena eti lina bariki wale wanao kifanya.

Hii automatically ni Contradiction.
 
Kanisa Katoliki lina utaratibu wake.

Kama ni kweli tutayaona kanisani yakifanyika na si vinginevyo.
Ukithibitisha kauli hiyo kaitoa Yeye,

Kimbia kama vile umeona bomu nyumbani mwako lisiloripuka Bado,
Kusubiri uyaone kwenye parokia Yako, utakuwa sawa tu na waumini wa Zumaridi!!
 
Ni taarifa ilyotumwa hivi punde,waraka rasmi kutumwa kwa makadinali Dunia nzima,.......tushuhudie vidume wakivalishana mashela kanisani huku nyomi la wakatoliki mashabaab wakipiga vigelegele wanaume wenzao kwenda kupigana miti baada ya kanisa kutoa Sacramento takatifu!
---
ROME (AP) — Pope Francis has formally approved allowing priests to bless same-sex couples, with a new document explaining a radical change in Vatican policy by insisting that people seeking God’s love and mercy shouldn’t be subject to “an exhaustive moral analysis” to receive it.

The document from the Vatican’s doctrine office, released Monday, elaborates on a letter Francis sent to two conservative cardinals that was published in October. In that preliminary response, Francis suggested such blessings could be offered under some circumstances if they didn’t confuse the ritual with the sacrament of marriage.

The new document repeats that rationale and elaborates on it, reaffirming that marriage is a lifelong sacrament between a man and a woman. And it stresses that blessings should not be conferred at the same time as a civil union, using set rituals or even with the clothing and gestures that belong in a wedding.

But it says requests for such blessings should not be denied full stop. It offers an extensive definition of the term “blessing” in Scripture to insist that people seeking a transcendent relationship with God and looking for his love and mercy should not be subject to “an exhaustive moral analysis” as a precondition for receiving it.

“Ultimately, a blessing offers people a means to increase their trust in God,” the document said. “The request for a blessing, thus, expresses and nurtures openness to the transcendence, mercy, and closeness to God in a thousand concrete circumstances of life, which is no small thing in the world in which we live.”

He added: “It is a seed of the Holy Spirit that must be nurtured, not hindered.”

The Vatican holds that marriage is an indissoluble union between man and woman. As a result, it has long opposed same-sex marriage.

And in 2021, the Vatican’s Congregation for the Doctrine of the Faith said flat-out that the church couldn’t bless the unions of two men or two women because “God cannot bless sin.”

That document created an outcry, one it appeared even Francis was blindsided by even though he had technically approved its publication. Soon after it was published, he removed the official responsible for it and set about laying the groundwork for a reversal.

In the new document, the Vatican said the church must shy away from “doctrinal or disciplinary schemes, especially when they lead to a narcissistic and authoritarian elitism whereby instead of evangelizing, one analyzes and classifies others, and instead of opening the door to grace, one exhausts his or her energies in inspecting and verifying.”

It stressed that people in “irregular” unions — gay or straight — are in a state of sin. But it said that shouldn’t deprive them of God’s love or mercy.

“Thus, when people ask for a blessing, an exhaustive moral analysis should not be placed as a precondition for conferring it,” the document said.

AP News
Kubariki couples ndio kubariki ndoa?
 
Back
Top Bottom