Sidhani kama bado tuko Kwenye nyakati za Manabii wa Ukweli' kwa Sababu dalili zote zinaonyesha Ule Mwisho wa Ulimwengu huu umekaribia
Tunaishi katika Nyakati ngumu sana Joshua Mollel kachinjwa kama ngamia
Kana Kwamba hiyo haitoshi Papa Francisco anayeketi kitini pake mtume Petro anahalalisha Ndoa za Jinsia Moja, Watoto wetu wamekwisha
Ghadhabu ya Mungu wa mbinguni itakuwa Zaidi ya Sodoma na Gomola
Na Nchi zinazoishi kwa Mikopo Ndoa za Jinsia Moja zaweza Kuwa Sharti la kukopesheka
Mungu wa mbinguni Uturehemu Sisi!