Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Papa Francis anasema watu kubarikiwa hakuhitaji "ukamilifu wa kimaadili"

Saa 1 iliyopita

Papa Francis amewaruhusu mapadre kuwabariki wapenzi wa jinsi moja, yakiwa ni maendeleo makubwa kwa watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsi moja na mahusiano mengine ya kijinsia wanaofahamika kama LGBT katika Kanisa Katoliki la Roma.

Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki la Roma amesema makasisi wanapaswa kuruhusiwa kuwabariki wapenzi wa jinsi moja na wanandoa "isiyo ya kawaida", kwa misingi ya hali fulani.

Source: BBC swahili na Israel news
 
Huyu mwamba atakuwa wakala wa shetani ndani ya kanisa na kibaya zaidi inaonesha yeye ndio mwenye kauli ya mwisho, ukipingana nae unaenda na maji.

Kanisa limeshakufa, kule ulawiti wa wtatoto watumikiaji, hapa ndoa za jinsia moja kubarikiwa/fungwa kanisani, pale usioe mke zaidi ya mmoja n.k
 
What is actually happening is several podcasts of different groups, trying to front talk shows on the matter of same sex marriage.

The Catholic doctrine on marriage solidly state " marriage is between male and female, the two becoming one". Therefore, same sex can't will not get to the level of recognition.

Watu wanapenda mazungumzo yawe na hasa kumtumia Pope Francis statements. Moja wapo ya kusema he can't judge gays! Na kwamba wote, bado ni watoto wa Mungu!

Pope Francis knows, giving or confirming gays marriage will split the church in pieces!

I have listened to more than 100 podcasts on the same sex marriage and consequence blessings. They are still saying Pope did not allow same sex marriage! So far ni opinions za watu, vikundi, na mazingara yao tofauti!

Maoni yangu kama catholic, gays and same sex is sinning and curse. I am against it 100 percent!
Mark of the Beast In control 😀😀
 

Papa Francis anasema watu kubarikiwa hakuhitaji "ukamilifu wa kimaadili"
Saa 1 iliyopita
Papa Francis amewaruhusu mapadre kuwabariki wapenzi wa jinsi moja, yakiwa ni maendeleo makubwa kwa watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsi moja na mahusiano mengine ya kijinsia wanaofahamika kama LGBT katika Kanisa Katoliki la Roma.
Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki la Roma amesema makasisi wanapaswa kuruhusiwa kuwabariki wapenzi wa jinsi moja na wanandoa "isiyo ya kawaida", kwa misingi ya hali fulani.
Source: BBC swahili na Israel news
Hii ni taarifa ya uwongo, tuwe tunasikiliza vitu na kuelewa.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom