Najaf
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 1,505
- 2,393
wewe unafanywa na jinsia yako??Ninao, Ila sioni sababu ya kuwachukia wapenzi wa jinsia moja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe unafanywa na jinsia yako??Ninao, Ila sioni sababu ya kuwachukia wapenzi wa jinsia moja
Basi sawaKweli kaka msiwachukie kisa dini, ndo wamezaliwa ivyo
kwenye masuala haya biblia hawataki kuisikia 😀Kwani biblia inasemaje juu ya ndoa za jinsia moja
Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
Hapana, ila wew mpenzi wa jinsia moja akifanywa wew binafs inakuafect vipiwewe unafanywa na jinsia yako??
Utaamini tuuuMimi siamini
Mark of the Beast In control 😀😀What is actually happening is several podcasts of different groups, trying to front talk shows on the matter of same sex marriage.
The Catholic doctrine on marriage solidly state " marriage is between male and female, the two becoming one". Therefore, same sex can't will not get to the level of recognition.
Watu wanapenda mazungumzo yawe na hasa kumtumia Pope Francis statements. Moja wapo ya kusema he can't judge gays! Na kwamba wote, bado ni watoto wa Mungu!
Pope Francis knows, giving or confirming gays marriage will split the church in pieces!
I have listened to more than 100 podcasts on the same sex marriage and consequence blessings. They are still saying Pope did not allow same sex marriage! So far ni opinions za watu, vikundi, na mazingara yao tofauti!
Maoni yangu kama catholic, gays and same sex is sinning and curse. I am against it 100 percent!
Hii ni taarifa ya uwongo, tuwe tunasikiliza vitu na kuelewa.
Papa Francis anasema watu kubarikiwa hakuhitaji "ukamilifu wa kimaadili"
Saa 1 iliyopita
Papa Francis amewaruhusu mapadre kuwabariki wapenzi wa jinsi moja, yakiwa ni maendeleo makubwa kwa watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsi moja na mahusiano mengine ya kijinsia wanaofahamika kama LGBT katika Kanisa Katoliki la Roma.
Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki la Roma amesema makasisi wanapaswa kuruhusiwa kuwabariki wapenzi wa jinsi moja na wanandoa "isiyo ya kawaida", kwa misingi ya hali fulani.
Source: BBC swahili na Israel news
Ongezaaa sautiiiiiiii!! [emoji346]Uamuzi mzuri sana kwa kanisa katoliki, hakuna sababu ya kuwabagua wapenzi wa jinsia moja.. ni haki Yao kupendana.