mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
takbir.Mpaka watakapoheuzwa na ukuni ukawasugua kunako ndio watastuka 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
takbir.Mpaka watakapoheuzwa na ukuni ukawasugua kunako ndio watastuka 😂😂
Nimecheka kifala SanaPapa angechumbiwa yeye kwanza aone kama kuna raha ya kulazwa bila nguo na kushikiliwa matako usiku kucha.
🚮
NakaziaHayo ya wakatoliki sie wakristo wengine inatuhusu nini? Katoliki kuruhusu ushenzi huo haituhusu wale ni mashetani na biblia inawajua. Watakimbiwa na waumini sooni watabaki na mashoga/wasagaji wao wajisalie wenyewe huko. Uasi umezidi sana
He has the will and power to interfere in everything, but he can't interfere in everything.Mungu ndo anaruhusu haya yote, asingetaka angezuia, ipo ndani ya uwezo wake.
Hii sintofahamu inaonesha kabisa dini zimejengwa juu ya uongo, ila hamtotaka kuona hilo, mnanyosha vidole tu
Braza kimbia tu amna church apo..Achana na uzushi wa watu, soma hiyo nyaraka uelewe, hakuna kubariki ndoa za jinsia moja, ila kiongozi wa dini anaweza kutoa baraka ili hata kama ni mtu mwovu, aache njia zake mbaya na aweze kumrudia Mungu.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Sisi tumeshastuka,Uhame UKATOLIKI kwa sababu ya kauli ya Pope ? Hapana, hauelewi namna RC inavyoendeshwa. Ni mtaguso mkuu tu ndiyo unatoa mwongozo
Apa mzee kwenye Kona inabidi nilale nayo kwa vumbi litalotimka apo huezi aminiBraza kimbia tu amna church apo..
Wokovu ndio mpango mzima.Kataa Dini , Dini ni utapeli Tu wakoloni
Kuabudu siku ni torati, iwe jumamosi jumapili ama ijumaa issue ni kumuabudu Mungu, mamo ya kusisitiza siku kuliko kumsisitiza mungu nayo ni ibada ya sanamu.Sisi tumeshastuka,
Tunajitofautisha nao Kwa kurudisha IBADA Jumamosi kama Kanisa la kwanza.
Ninyi subirieni mtakapoletewa Padr shoga ndo mtajua.
Nakubaliiiiii!!!Maamuzi sahihi kabisa, wapenzi wa jinsia Moja ni binadamu kama wengine. Wanastahili kuishi kwa uhuru.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wakatae wana uwezo? Unamjua Pope? Nguvu yake je?Hatimaye Kanisa katoliki kupitia Papa Francis leo December 18 ameruhusu ubarikiwaji wa ndoa za jinsia moja.
Maana yake ni kwamba kuanzia sasa mashoga watakuwa wanaenda kanisani kufunga ndoa.
Wakatoliki wa kibongo na washauri mtoe tamko la kupinga haya mambo la sivyo tutajua na nyie mnaunga mkono.
View attachment 2846355
Kwani wameanza kutofautiana leo?wakristo wanakwenda kutifuana.msiba huu
USHOGAA ni ruksaaaaa,Huyu mzee hajui atendalo.
Condom zinakatazwa, ushoga ruhusa.
Mapadre wanakatazwa kuoa, ushoga ruksa.
Kutoa mimba kunakatazwa, ushoga ruksa.
achumbiwe mara ngapiPapa angechumbiwa yeye kwanza aone kama kuna raha ya kulazwa bila nguo na kushikiliwa matako usiku kucha.
🚮