ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kuna namna ananufaika na hicho kitendo
Umejuaje? Usikute na wewe ni wale wale.Wanatoka Ulaya kula kulana kwenye Hoteli za Zanzibar
Lazima mliwe baba Mtakatifu kasema😁😁
Kuanzia leo mimi sio Mkatoliki tena, wala kanisa lisinizike, liendee na ushoga wake
Sikubaliani na kanisa kuhalalisha dhambi badala ya kukema dhambi. Kuanzia leo mimi si Mkatoliki tena, ninamkataa shetani na kazi zake zote. Wasinizike wala kunipa huduma zozote wanazodhani ni za kiroho. Sitahamia kanisa lolote, bali nitaendelea kumuabudu Mungu katika roho na kweli Waefeso...www.jamiiforums.com
😁😁😁😁 Wamerudi kivingineWazee wa waraka wa dp world wameruhusiwa kulana jicho 😃
Acha kujifanya mpotoshaji na kiji degree chako cha mchongoNaona mko kwenye Kampeni ya kupotosha kwenye hili la papa...hivi mashoga wote huko mwananyamala, kinondoni, tabata, zenji etc , wametengwa na jamii au jamii inashirikiana nao kwenye mambo mbalimbali? Kwa uelewa wangu viongozi wa dini huwa wanatembelea hata wafungwa waliofanya mabaya sana na kuwapa baraka
Weka uwezekano kuwa unaandaliwa kisaikolojia kuhusu hilo jambo na kuna siku litahalalishwa. Kama si kwako basi kwa kizazi kinachofuata.Kubarikiwa ni kama kuombewa tu, papa kasisitiza kanisa ni kwa ajili ya wenye dhambi wanaokuja kutakaswa so hawafukuzwi bali wanabadilishwa.
Najua lugha ni tatizo ila soma hii excerpt
“When people ask for a blessing, an exhaustive moral analysis should not be placed as a precondition for conferring it,” the declaration, authored by Cardinal Fernandez and another official, states. “The grace of God works in the lives of those who do not claim to be righteous but who acknowledge themselves humbly as sinners, like everyone else.”
Source: CNN News
Na kwa jinsi unavyo jitahidi kuwabinulia matacle, muda si mrefu watakufumua. Ni suala tu la muda.😁😁😁😁 Wamerudi kivingine
Kwanini kila mara asingiziwe yeye tu. Kuna jambo linatengenezwa kuhusu ushoga na katoliki. Huenda halijafanikiwa bado ila lipo.Hii si mara ya kwanza. Mmeshamsingizia mengi sana huyu kwamba kayasema..!! Endeleeni
Kama wewe unavyochezea kwa Mkandamizaji 🤣
Hakuna mahala ambapo dhambi imehalalishwa kwenye Biblia. Na hakuna andiko ambalo linasadifu kuwa sikiliza maneno na usifuate matendo. Yesu alisema MTAWATAMBUA KWA MATENDO YAO na siyo kwa maneno yao.Nionyeshe kweny bible wapi wameandika kubariki ndoa za jinsia moja!?
Ubaruku!Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja
Ni taarifa ilyotumwa hivi punde,waraka rasmi kutumwa kwa makadinali Dunia nzima,.......tushuhudie vidume wakivalishana mashela kanisani huku nyomi la wakatoliki mashabaab wakipiga vigelegele wanaume wenzao kwenda kupigana miti baada ya kanisa kutoa Sacramento takatifu! --- ROME (AP) — Pope...www.jamiiforums.com
🤣🤣🤣🤣🤣Hatutaki mada za kijinga hapa
MADA ZA KIJINGA KIVIPI ILI HALI KIONGOZI WAKO PAPA AMETOA RUKSA MCHEZEANE MAVI??Hatutaki mada za kijinga hapa
Mkuu ChoiceVariable mada yako haijafutwa bali imeunganishwa na thread hii Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia mojaMods wa jf hivi mkoje nyie? Taarifa imenukuliwa na vyanzo rasmi kutoka Vatican na Wala sio mara ya kwanza Kwa Papa Francis kuleta mabadiliko yanayohusiana na Ushoga ikiwemo Kumtimua Askofu aliyekuwa anapinga.
Sasa nataka kufahamu mlifuta mada niliyoanzisha Jana Kwa kunukuu taarifa rasmi kama ilivyoripotiwa na The Citizen Kwa sababu zipi hasa?
View: https://www.instagram.com/p/C1AHCA1IvVs/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
On top of that mlifuta mada niliyonukuu kutoka Millard Ayo kuhusu Serikali kutangaza nafasi za kazi Kwa wanaotaka kwenda Saudia nayo mkafuta Kwa nini?
View: https://www.instagram.com/p/C1APjjyCoIf/?igshid=NmJiYWZiY2E0Mg==
Swali Kwa mods wa jf,Je hivyo vyomba vya habari sio credible source kwamba nyie hamvitambui ama?
Je mnaweza kuniambia nimevunja kanuni ipi ya jukwaa lenu?
TAFUTA BWANA WEWEEE UKABARIKIWE KUBWA LA MAKUBWA YOTE YA KIKAFIRI BAADA YA YESHU LIMEISHA SEMA MTAFUTE MABWANA UKABARIKIWE UNACHELEWA NINI WEWE EWE KAFIRI!!!Ona hili linafiki lingine na mikobazi yake miguuni!
Kwa hiyo unataka kusema kwenye hiyo dini yenu hamfukuani? Yule Afande Rama ni Mkatoliki? Wale mashoga waliokufa miaka mingi iliyopita Anti Ali, Anti Bilal, na wengineo wengi walikuwa ni Wakatoliki? Wale mahabusu waliofukuana kule Zanzibar ni Wakatoliki? Wale walimu wa madrasa wanao walawiti watoto kila siku na kuhukumiwa vifungo magerezani, ni Wakatoliki?
Nahitaji majibu.