Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Hatimaye Kanisa katoliki kupitia Papa Francis leo December 18 ameruhusu ubarikiwaji wa ndoa za jinsia moja.

Maana yake ni kwamba kuanzia sasa mashoga watakuwa wanaenda kanisani kufunga ndoa.

Wakatoliki wa kibongo na washauri mtoe tamko la kupinga haya mambo la sivyo tutajua na nyie mnaunga mkono.

View attachment 2846355
CNN ni fake NEWS, alisema Trump. Hapa namuunga Mkono Trump nikiamini yupo Sahihi.

What a tragedy!! Kwa kanisa hili! With all brains they have....! Wanafikia maamuzi haya kweli?
 
Hakuna mahala ambapo dhambi imehalalishwa kwenye Biblia. Na hakuna andiko ambalo linasadifu kuwa sikiliza maneno na usifuate matendo. Yesu alisema MTAWATAMBUA KWA MATENDO YAO na siyo kwa maneno yao.

Hivyo ulipaswa kujibu swali langu kuhusu andiko linalotuelekeza tufuate maneno na siyo matendo.


Theory ya Kikombe, Yesu alisema hivi, safisha ndani ya kikombe kwanza ili nje nako kupate kuwa safi.

Siungi mkono ndoa za jinsia moja. Lakini napinga sana kuzungumza uongo kuhusu Biblia
Sasa tukiwaambia hao jamaa ni wapinga kristo utabisha ?

Tatizo lenu nyie mnamuona kiongozi kama Mungu hadi kwenda kutubu dhambi kwa binadamu ,huo mnaofanya ni ushirikina mamlaka ya Mungu mnampa binadamu.
 
Source: AP News
Tatizo kubwa la watu ni kutoelewa na kupenda kupindisha ukweli kuwa uongo na kutoushughulisha ubongo kutaka kuelewa kipi ni kipi ndio maana hata Yesu hawakumuelewa kabisa na hatimae walimuuwa kwa nini alikaa na wanyang'anyi na wazinzi na hakuchagua kukaa na makuhani na viongozi wa dini hili hatujiulizi zama hizi ni za mwisho kazi ya viongozi wa dini ni pamoja na kubariki haijalishi umefanya/unafanya dhambi gani na pia kukuongoza njia ya haki ni ipi na sio kukukimbia hakutakuwa na suluhisho acha watu watafsri wanavyoona wao lakini hawaelewi Mungu alimuacha shetani kwa makusudi gani na hakumwangamiza sio kwamba alishindwa Binafsi i concur with Pope na sio maana ndoa ya jinsia moja naisapoti hao wanaoshabikia na kujifanya kusema wanaosema ndio machampion kwa hayo matendo mabaya nasema siku yatakapowekwa wazi siku ya hukumu midomo itakuwa wazi...
 
Sasa tukiwaambia hao jamaa ni wapinga kristo utabisha ?

Tatizo lenu nyie mnamuona kiongozi kama Mungu hadi kwenda kutubu dhambi kwa binadamu ,huo mnaofanya ni ushirikina mamlaka ya Mungu mnampa binadamu.
Ndugu yangu
Unazidi kuniwekea maneno mdomoni.

Ni wapi ktk posts zangu nimewahi kukubaliana na yeyote kuwa Katoliki ni Kanisa lenye misingi ya Uzima ama.Neno la Mungu?

Ninakosana na wewe kwenye neno la kusema wasikilizwe wasemacho bali mimi nasema lazima ujue na matendo yao pia.
 
Mambo yamewiva..
According to Bible peoples hili ni Pigo kuu..
Mwenye anakaa na Bible na kuruhusu mabadiliko ya Bible anawalisha watu Moto wa Kiimani😀😀😀😀
 
Huyu mtu sijui walimpata wapi. Wafanye hima wamtengue na nafasi yake aichukue ama Cardinal Arinze au yule mfilipino Luis Antonio Tagle .Kanisa linahitaji kuongozwa na kiongozi kutoka Afrika au Asia
Ungekuwa unayajua makusudi ya Mungu wala usingesema haya.
 
Fake news.
Kuna watu wanapenda sana kuandika uongo wa kindezi kuhusu papa na kanisa katoliki la mitume.
 
Kuwabariki, si kuwafungisha ndoa
 

Attachments

  • pope.PNG
    pope.PNG
    39.1 KB · Views: 3
Sasa tukiwaambia hao jamaa ni wapinga kristo utabisha ?

Tatizo lenu nyie mnamuona kiongozi kama Mungu hadi kwenda kutubu dhambi kwa binadamu ,huo mnaofanya ni ushirikina mamlaka ya Mungu mnampa binadamu.
Ngoja utukanwe uitwe gaidi
Mtu unatubu dhambi kwa mtu mwenyewe mnaeenda kumtubia dhambi zenu yeye dhambi zake anatubia kwa nani
Kuna maswali mengi mrengo ule wanatakiwa wajiulize
 
Umerogwa Si haba,

Hizo chenga za kimaandishi Bado tu hujasoma btn the lines?

Umesikia kasisi wa chini yake aliuepinga waraka kafukuzwa?
 
MADA ZA KIJINGA KIVIPI ILI HALI KIONGOZI WAKO PAPA AMETOA RUKSA MCHEZEANE MAVI??

WEWE KAFIRI NAMNA GANI WEWE,HABARI YA KUPAKUANA MAVI ILIYOPATA BARAKA YA PAPA WEWE UNAITA YA KIJINGA TENA??

TAFUTA BWANA CHAP MUENDE KWA CARDINAL PENGO MKABARIKIWEEEE
Kule Zanzibar nyie na waarabu ndiyo kazi zenu
 
Ona hili linafiki lingine na mikobazi yake miguuni!

Kwa hiyo unataka kusema kwenye hiyo dini yenu hamfukuani? Yule Afande Rama ni Mkatoliki? Wale mashoga waliokufa miaka mingi iliyopita Anti Ali, Anti Bilal, na wengineo wengi walikuwa ni Wakatoliki? Wale mahabusu waliofukuana kule Zanzibar ni Wakatoliki? Wale walimu wa madrasa wanao walawiti watoto kila siku na kuhukumiwa vifungo magerezani, ni Wakatoliki?

Nahitaji majibu.

LINI UMESKIA UISLAM UMETOA BARAKA KWA VITENDO VYA UFIRAUNI NA USHOGA??MBONA UNATAKA KUHAMISHA GOLI??

RUKSA HIYO PAPA HAJATOA KWA WAISLAM,AMEITOA KWENU NYINYI WANA KONDOO WAKE ILI MKACHEZEANE MAVI KWA UHURU,SASA KULIKONI LAWAMA UNATAKA KUTUPA SISI WEWE KAFIRI??TEH TEH TEH
 
Roho wa Mungu anaanza kumdhihirisha Mpinga Kristo!
Wacha Mungu kaeni macho!
 
Back
Top Bottom