Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Yani ni vichekesho mwanzo mwisho na ushoga kwao ni sehemu ya maisha maana inakuaje yeshu wanamuita bwana wao hadi wanaume eti yeshu ni Bwana wao
HA HA HA

MKUU HAWA JAMAA HII MICHEZO YA KUCHEZEANA VINYESI NDIYO ADA YAO,WEWE FIKIRIA HAWARUHUSIWI KUOA AU KUOLEWA UNADHANI KUNA NINI HAPO??

KWANINI WASIANZE KUBANDUANA WENYEWE KWA WENYEWE??
 
Uongo ni uongo tu,

Kuna formal na informal blessings?

Kwanini hamuwaambii mashoga waache USHOGA mnawabariki?

Satanic!!
 
Kanisa halimbariki mtu kwa status zake ila linambariki muumini.
Halimbariki mwizi, halimbariki mzinzi, halimbariki mchawi ila linambariki mwamini aliyejitambulisha kuwa ni tunda la matokeo ya maungamo kulingana na neno la Keisto.
Mashoga waki ungama si wataendelea kuwa mashoga?

Mwizi ata ungama na kuacha wizi wake.

Je mashoga wakisha ungama na kubarikiwa wata acha huo ushoga?
 
Si bora waafrica tuachane na hizi dini za mungu jua (Sunday)na dini ya Mud maana wote n mawakala wa shetani! Anachinja mwenzake anaitwa Allah Akba! Huyo n muumini wa shetwani!
 
Ni kwa Neema tu.

Embu Gugo kilicho mtokea papa Mwaka 1798. Na huyu kinaweza kikamtokea.

Kanisa lilishaacha mambo ya Mungu linafuata ya Dunia na masanam kibao.
Achana nalo kama halikuhusu ya nini kujiongezea stress bure. Nenda kwa mitume na manabii wakukamue
 
uongo gani huo urushwe mpaka kwenye chombo cha habari kikubwa duniani cha BBC?
Chombo gani kingine umeyasikia hayo zaidi ya hao BBC bao wanajulikana juwa anti Catholic na kalne nyingi
 
Achana nalo kama halikuhusu ya nini kujiongezea stress bure. Nenda kwa mitume na manabii wakukamue
Mitume wa Nini wakati Biblia Iko wazi!

Ukiisoma ukaielewa Wala hupati shida wapi pa kwenda.

Soma kitabu chote Cha Daniel with questioning mind.
 
Mitume wa Nini wakati Biblia Iko wazi!

Ukiisoma ukaielewa Wala hupati shida wapi pa kwenda.

Soma kitabu chote Cha Daniel with questioning mind.
Daniel sio kita cha wakristo, ni cha wayahudi kabla ya kristo. Tatizo mnadandia mambo bila elimu sahihi
 
MIMI SISHANGAI
HUYU/WA CHEO HIKI NI WAKALA WA ANT CHRIST.
NDIO WANAO ANDAA UJIO WA SERIKALI MOJA, SARAFU MOJA
NA MWISHOWE ILE CHAPA
 
Daniel sio kita cha wakristo, ni cha wayahudi kabla ya kristo. Tatizo mnadandia mambo bila elimu sahihi
Hapo ndipo ulipopigiwa na papa ukaamua kumtetea kila anachofanya.


Danieli ndio kitabu kimetabili hadi kuzaliwa kwa masihi (Daniel 9;24). Ndio kitabu kimetabili hadi anguko la papa.

Ndio maana huko Rumi hawawezi wakakuruhu usome. Ila kwa vile unaakili yako, Leo kasome Daniel 10 uone namna Yesu ametabiliwa kuzaliwa na mwaka wake wakubatizwa na kuteswa.

Soma Danieli 9;24-27. Unaweza ukazama YouTube ulinganishe.
 
Sasa baba yako mkuu francis anae mwakilisha mungu hapa duniani ameshatoa maoni wewe mmatumbi unasubiri maoni gani tena kutoka kanisa lipi tena wakati aliye kalia kiti ni mpakua/mpakuliwa mavi na amesema wapakuliwa mavi wenzake wabarikiwe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…