Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Nenda website ya Vatican kasome Fiducia supplicans. Naona mapenzi yako kwa Catholicism yanakufanya uwe kwenye denial. Sasa hata askofu wangu wa Dar na maaskofu wa nchi zinazotuzunguka wameuelezea waraka wa papa, wewe bado unashikilia haupo. Pole
Tatizo uelewa wako wa kilichoandikwa ni butu. Sijaona popote hayo madai yenu zaidi ya tafsiri zenu mkishabikia mnayoyataka na kuyapenda
 

Ni taarifa ilyotumwa hivi punde,waraka rasmi kutumwa kwa makadinali Dunia nzima,.......tushuhudie vidume wakivalishana mashela kanisani huku nyomi la wakatoliki mashabaab wakipiga vigelegele wanaume wenzao kwenda kupigana miti baada ya kanisa kutoa Sacramento takatifu!
---
ROME (AP) — Pope Francis has formally approved allowing priests to bless same-sex couples, with a new document explaining a radical change in Vatican policy by insisting that people seeking God’s love and mercy shouldn’t be subject to “an exhaustive moral analysis” to receive it.

The document from the Vatican’s doctrine office, released Monday, elaborates on a letter Francis sent to two conservative cardinals that was published in October. In that preliminary response, Francis suggested such blessings could be offered under some circumstances if they didn’t confuse the ritual with the sacrament of marriage.

The new document repeats that rationale and elaborates on it, reaffirming that marriage is a lifelong sacrament between a man and a woman. And it stresses that blessings should not be conferred at the same time as a civil union, using set rituals or even with the clothing and gestures that belong in a wedding.

But it says requests for such blessings should not be denied full stop. It offers an extensive definition of the term “blessing” in Scripture to insist that people seeking a transcendent relationship with God and looking for his love and mercy should not be subject to “an exhaustive moral analysis” as a precondition for receiving it.

“Ultimately, a blessing offers people a means to increase their trust in God,” the document said. “The request for a blessing, thus, expresses and nurtures openness to the transcendence, mercy, and closeness to God in a thousand concrete circumstances of life, which is no small thing in the world in which we live.”

He added: “It is a seed of the Holy Spirit that must be nurtured, not hindered.”

The Vatican holds that marriage is an indissoluble union between man and woman. As a result, it has long opposed same-sex marriage.

And in 2021, the Vatican’s Congregation for the Doctrine of the Faith said flat-out that the church couldn’t bless the unions of two men or two women because “God cannot bless sin.”

That document created an outcry, one it appeared even Francis was blindsided by even though he had technically approved its publication. Soon after it was published, he removed the official responsible for it and set about laying the groundwork for a reversal.

In the new document, the Vatican said the church must shy away from “doctrinal or disciplinary schemes, especially when they lead to a narcissistic and authoritarian elitism whereby instead of evangelizing, one analyzes and classifies others, and instead of opening the door to grace, one exhausts his or her energies in inspecting and verifying.”

It stressed that people in “irregular” unions — gay or straight — are in a state of sin. But it said that shouldn’t deprive them of God’s love or mercy.

“Thus, when people ask for a blessing, an exhaustive moral analysis should not be placed as a precondition for conferring it,” the document said.

AP News
Hawa ni suala la muda wataanza kuruhusu kupandana
 
unaunga mkono komenti ya kipumbavu, walokole gani hao huko marekani? Ingekuwa hivyo hayo mashoga yangekuja afrika kuhamasisha ushoga kwenye makanisa yao ya kishoga. Nafuatilia wahubiri wa kilokole toka marekani nisikie wakihamasisha ndoa za jinsia moja sijasikia. Kama nyie papa wenu kachafua kanisa lenu msidhani na makanisa ya wenzenu yamechafuliwa hivyo.hamieni Lutherani na moravian bado wako safi
Mkuu hujanielewa vzr. Huyo aliye-coment ujinga nimemjibu. "si kweli".
 
1703204599603.png
 
Ninao, Ila sioni sababu ya kuwachukia wapenzi wa jinsia moja
Chukizo la uharibfu. Kuna stage tumefika tumerelux tungepata
yapo machukizo mengi tatakuja.Hapa wana wa Mungu jiandaeni naongea na wana wa Mungu ,Papa hakutakiwa hata kuongelea hizo habari yeye nikiongozi wa dini na Mungu hayo mambo hapendi.Asing'ate maneno tumesoma Ufunuo na Daniel tunajua ni nini kinakuja.Hayo mambo ni machukizo yeye kama kweli ni mtu wa Mungu hatakiwi hata kuongelea huo uchafu, si tuseme tu ukweli ushoga na dini ni wapi na wapi baraka zina toka wapi
Angesema Mashoga wote waombe rehema au toba au waungame nasio kubariki same couples anatufanya tuone nae nae mwana wa Joka.Hapo hatuelewi yaani kuhusu ushoga hatuelewi na hatutaelewa.Mu gu hapendi ni Chukizo fullstop
 
Uamuzi mzuri sana kwa kanisa katoliki, hakuna sababu ya kuwabagua wapenzi wa jinsia moja.. ni haki Yao kupendana.
Mwana wa joka! Shabikieni ila mkae mkijua ukifa kunamaisha tena Jehenam inatisha sana ni moto hatari........ uwe mchawi ,pepo, jambazi kuna moto tutachomwa moto
 
Hii ni taarifa ya uwongo, tuwe tunasikiliza vitu na kuelewa.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Uwe na akili taarifa ta uongo Neno same sex couple ni la nini kwa kiongozi wa Dini huku unajua Mungu hapendi hicho kitu.Leo wanapaka mafuta kesho utasikia mengine.Yesu anasema tubu naja Haraka,Yesu anakuja Haraka
 
Kuna mwandishi mmoja aliwahi kusema ukitaka kujua kwamba ushoga ni dhambi kuu dhidi ya kila kitu, yaan ni dhambi ya kijamii, kidini, kiasilia, etc... basi chukua couple 100 za mashoga uwaweke peke yao kwenye mji mmoja. Na kisha chukua couple 100 za kawaida uziweke kwenye mji mmoja. Baada ya miaka 100 utakuta kwenye mji wa mashoga kuna mafuvu tu na maiti lakini kwenye mji wa couple za kawaida utakuta kizazi kipya kimenawiri.

Hio inaonesha kwamba ushoga ni dhambi dhidi ya asili (nature), dhidi ya jamii (social sin) na dhidi ya maumbile (pole marinda ya wahusika)

Papa kakosea sana kwa kuhalalisha hii dhambi, wakatoliki wote tuungane kusema HAPANA juu ya hili. Vizazi vyetu haviwezi kuangamia kwa sababu ya tamko la mzee mmoja ambae hana hata watoto.

Nashauri jumapili ijayo wakatoliki twendeni maeneo ya kanisani lakini tusiingie kanisani bali yubebe mabango ya kuwashinikiza TEC watoe tamko la kupinga kauli ya papa, tukianza sisi wengine watafuata. Kenya, uganda, na afrika nzima itafuata.
Unajidanganyaa wee? Hebu amka usingizini utajikojolea buree. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan walio kuletea dini, hawajui ila wee ndo unajua?
Rais wa China kaeleza vizur kabisaa.
 
Wakatoliki Waafrika na Waarabu ndio mna shida na kauli ya Papa,huko kwingine wamemuelewa vizuri tu.
Ndo watajijuu safariii hii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watake wasitake ndo ishakua hivyo
 
Mwana wa joka! Shabikieni ila mkae mkijua ukifa kunamaisha tena Jehenam inatisha sana ni moto hatari........ uwe mchawi ,pepo, jambazi kuna moto tutachomwa moto
Kumbe had majambazi, wazinzi, wezi, watachomwa motoo? Bas na mashoga muwaache watachomwa wenyeww huko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nenda website ya Vatican kasome Fiducia supplicans. Naona mapenzi yako kwa Catholicism yanakufanya uwe kwenye denial. Sasa hata askofu wangu wa Dar na maaskofu wa nchi zinazotuzunguka wameuelezea waraka wa papa, wewe bado unashikilia haupo. Pole
Inaonekana hata hiyo Fiducia supplicans umeishia kusoma mistari miwili tu.
Mbona imetamka wazi kuwa kwa misingi ya imani na mafundisho ya Kanisa, kanisa halina nguvu ya kualalisha ndoa za watu wa jinsia moja.
Kuna "Rite" na "Liturgy". Hapo ndipo watu wanapochanganya mambo. Wasubiri ufafanuzi zaidi ambao utafuata
 
Back
Top Bottom