Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Nenda website ya vatican wameweka habari yote. Ni habari ya kweli aliyoleta mtoa mada
Hakuna taarifa ya aina hiyo. Msipende kudanhanyana.
Kinachowasumbueni ni either uwezo mdogo wa kuelewa au kiuhalisia mnapenda hayo mambo hivyo mnasherehekea
 
Hakuna taarifa ya aina hiyo. Msipende kudanhanyana.
Kinachowasumbueni ni either uwezo mdogo wa kuelewa au kiuhalisia mnapenda hayo mambo hivyo mnasherehekea
Nenda website ya Vatican kasome Fiducia supplicans. Naona mapenzi yako kwa Catholicism yanakufanya uwe kwenye denial. Sasa hata askofu wangu wa Dar na maaskofu wa nchi zinazotuzunguka wameuelezea waraka wa papa, wewe bado unashikilia haupo. Pole
 
Kuna mwandishi mmoja aliwahi kusema ukitaka kujua kwamba ushoga ni dhambi kuu dhidi ya kila kitu, yaan ni dhambi ya kijamii, kidini, kiasilia, etc... basi chukua couple 100 za mashoga uwaweke peke yao kwenye mji mmoja. Na kisha chukua couple 100 za kawaida uziweke kwenye mji mmoja. Baada ya miaka 100 utakuta kwenye mji wa mashoga kuna mafuvu tu na maiti lakini kwenye mji wa couple za kawaida utakuta kizazi kipya kimenawiri.

Hio inaonesha kwamba ushoga ni dhambi dhidi ya asili (nature), dhidi ya jamii (social sin) na dhidi ya maumbile (pole marinda ya wahusika)

Papa kakosea sana kwa kuhalalisha hii dhambi, wakatoliki wote tuungane kusema HAPANA juu ya hili. Vizazi vyetu haviwezi kuangamia kwa sababu ya tamko la mzee mmoja ambae hana hata watoto.

Nashauri jumapili ijayo wakatoliki twendeni maeneo ya kanisani lakini tusiingie kanisani bali yubebe mabango ya kuwashinikiza TEC watoe tamko la kupinga kauli ya papa, tukianza sisi wengine watafuata. Kenya, uganda, na afrika nzima itafuata.
 

TULIOFUNULIWA UKWELI KUHUSU HILI KANISA KAHABA TUMEWAAMBIA .

ASOMAYE NA AFAHAMU.
SINA DENI.
 

TULIOFUNULIWA UKWELI KUHUSU HILI KANISA KAHABA TUMEWAAMBIA .

ASOMAYE NA AFAHAMU.
SINA DENI.
Kanisa kahaba ni kanisa lako firauni mwenye mguu mmoja wewe
 
Wakatoliki Waafrika na Waarabu ndio mna shida na kauli ya Papa,huko kwingine wamemuelewa vizuri tu.
 

TULIOFUNULIWA UKWELI KUHUSU HILI KANISA KAHABA TUMEWAAMBIA .

ASOMAYE NA AFAHAMU.
SINA DENI.
Tusifikie huko mkuu😢😢
 
Kuna mwandishi mmoja aliwahi kusema ukitaka kujua kwamba ushoga ni dhambi kuu dhidi ya kila kitu, yaan ni dhambi ya kijamii, kidini, kiasilia, etc... basi chukua couple 100 za mashoga uwaweke peke yao kwenye mji mmoja. Na kisha chukua couple 100 za kawaida uziweke kwenye mji mmoja. Baada ya miaka 100 utakuta kwenye mji wa mashoga kuna mafuvu tu na maiti lakini kwenye mji wa couple za kawaida utakuta kizazi kipya kimenawiri.

Hio inaonesha kwamba ushoga ni dhambi dhidi ya asili (nature), dhidi ya jamii (social sin) na dhidi ya maumbile (pole marinda ya wahusika)

Papa kakosea sana kwa kuhalalisha hii dhambi, wakatoliki wote tuungane kusema HAPANA juu ya hili. Vizazi vyetu haviwezi kuangamia kwa sababu ya tamko la mzee mmoja ambae hana hata watoto.

Nashauri jumapili ijayo wakatoliki twendeni maeneo ya kanisani lakini tusiingie kanisani bali yubebe mabango ya kuwashinikiza TEC watoe tamko la kupinga kauli ya papa, tukianza sisi wengine watafuata. Kenya, uganda, na afrika nzima itafuata.
Pelekeaneni moto wanaume katoliki!
 
Si kweli.
unaunga mkono komenti ya kipumbavu, walokole gani hao huko marekani? Ingekuwa hivyo hayo mashoga yangekuja afrika kuhamasisha ushoga kwenye makanisa yao ya kishoga. Nafuatilia wahubiri wa kilokole toka marekani nisikie wakihamasisha ndoa za jinsia moja sijasikia. Kama nyie papa wenu kachafua kanisa lenu msidhani na makanisa ya wenzenu yamechafuliwa hivyo.hamieni Lutherani na moravian bado wako safi
 
Back
Top Bottom