Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Mispresentation
 
NYIE HAMJAMUELEWA PAPA.
Yeye anasema mwanamme asioe mwanamme zaidi ya mmoja.
Yaani kama waislamu wao wanaoa wanawake mpk wanne lkn ukija kwenye upande wa kulana viboga PAPA Hataki wanamme wawili waolewe na Jamaa moja manake ukewenza wa wanamme utakuwa changamoto.
 
Tunatoana roho kisa imani?! Wakoloni waliitumia IMANI TO (concur their heart, mind and soul)
Waarabu wakafanya yao, nyege zao unguja na pemba! Ureno nao! Wajerani! Waingereza!
Tumebaki hatuna la kufuata. Mweusi tii anadai OMAN! Mchanganyiko wa wengine sijuwi wapi!
KASHESHE...
MUAFRIKA KWISHA HABARI YAKE....KUIGA TU.,..
HATUNA LOLOTE .....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…