BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ nasemajee, ndoa ipooo atake asitakeeeWizooo naomba ongea na Extro, ndoa iwe mwakani mwanzoni, pale St Peter's posta
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna msema wao umenitoka wakilatini una mbwembe. Roma wakisema hamna mwenye kupinga.Wenzangu hawaamini watajificha jificha lakini haisadii ndio hivo tena papa mkuu wa kanisa letu kesharuhusu mashoga wafungishwe ndoa.
Soma post No 63."Sabato si wakristo" fafanua?
Na kweli, kipindi hicho Yahweh alikua on fleek, alikua anaingilia vitu, alikua hadi anafanya appearances....Amini amini nakwambia, morals tulizokuwa nazo most of them are influenced by scriptures(either bible or Qur'aan)
Waisrael zamani wakiwa wanapitapita na ku-interract na watu wa mataifa mengine walikuwa wanasifika sana na kuonekana watu wenye hekima na busara, sasa kitu gani kilichokuwa kinawafanya waonekane wana hekima?? Ni Torati, kushika sheria za torati kuliwafanya waonekane wa tofauti sana, kuanzia kitabia na hygiene, torati ndo ilikuwa tofauti yao na mataifa mengine.
Wajinga hao mi nilishakataaga huo upuuzi siku nyingi.Kuna msema wao umenitoka wakilatini una mbwembe. Roma wakisema hamna mwenye kupinga.
misingi ya Ukristo ni:-"Sabato si wakristo" fafanua?
Kaka/dada unahangaika sana na huu Uzi, kilichosemwa siyo kilichopo hapo! Hakuna mtakatifu ndiyo ila siyo baraka ya ndoa jaman!Uamuzi mzuri sana huu, wapenzi wa jinsia Moja wana haki ya kupendana na kuishi kwa uhuru
Kwan amesema msiokua mashoga ndo muwe? Yeye amesema walio mashoga wawe huru kufunga ndoa kanisani, sasa nyie straight uchwara hasira za nn? ๐๐๐๐๐Papa angechumbiwa yeye kwanza aone kama kuna raha ya kulazwa bila nguo na kushikiliwa matako usiku kucha.
๐ฎ
Mzee hana mwendo lakini ana vioja tele utadhani yuko 50s,, sijui haogopi moto ๐wazee wengine bana๐คฃ ๐คฃ ๐คฃ
This geezer is insanely foolish aiseeh yan it's like witnessing a whole new level of crazy๐ฎNimeangua kicheko kikaliii ๐๐
Acha useng.e wewe kwani mkifrn kimya kimya bila kutuchefua hamtamwabudu huyo shetani hadi mshike mabango huko RC kwamba mnaenda kufirn?Maamuzi sahihi kabisa, wapenzi wa jinsia Moja ni binadamu kama wengine. Wanastahili kuishi kwa uhuru.
Nimekwambia Mimi Si msabato, wasabato Si wakristo.Ribbon, kama wewe ni mkristo na huamini roho mtakatifu wewe ni zaidi ya mpagani!
RC ina vita kali na dunia aiseeThis geezer is insanely foolish aiseeh yan it's like witnessing a whole new level of crazy๐ฎ
Ndio kababu ketu Roman catholic๐คฎ
Wizooo una demuu wee? Wee c demu wa Extroo, ๐๐๐๐๐Hameni mtuachie kanisa letu tufunge ndoa kwa raha. ๐๐
Kesho naenda kigangoni kufunga ndoa, ole wake mtu alete mbambamba.
Mimi na dem wangu tumeruhusiwa na PAPA kutafunana bila bughudha.
dini hizooooo, bye byeNimeangua kicheko kikaliii ๐๐
Asante sana,msalimie papa๐Kwan amesema msiokua mashoga ndo muwe? Yeye amesema walio mashoga wawe huru kufunga ndoa kanisani, sasa nyie straight uchwara hasira za nn? ๐๐๐๐๐
Pokea posaa acha mbambambaa, mwanao anapenda dudu usimnyime. ๐คฃEti mwanao wa kiume anakuletea dume mwenzie kumtambulisha kuwa ndiye mpenzi wake!!!???
Duh