Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

We are all sinners, wewe hapo I'm sure hujatoa kikumi mwezi huu ni dhambi sawa tu na mwizi au mzinzi so bila neema unadhani ungeendelea kulindwa na Mungu au kuwa hai?
Mungu muweza wa vyote, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu wasio wema kutenda dhambi?

Mungu gani anaumba Binadamu wenye dhambi?
Ndio maana anawapa neema ili wabadilike, hell was meant for the devil alone not otherwise.
Kama hell ni kwa devil alone, mbona mnadai watenda dhambi wataenda hell?

Mungu anashindwaje kubadilisha wanadamu wasitende dhambi?

Mungu huyo Alishindwaje kuumba dunia isiyo na dhambi wala shetani?
Hata kwenye Bible ukisoma 2 Peter, Yesu alipokufa alienda he'll kuhubiria wenye dhambi ili afufuke nao!! Unadhani bila neema angeenda huo?
Mungu huyo kama aliangamiza binadamu wote wadhambi kipindi cha Noah kwenye gharika ya mafuriko, Dhambi iliwezaje kuja tena?

Mungu mnayedai ni mjuzi wa vyote, Je Hakujua kwamba dunia itakuja kuwa na dhambi aidhibiti dhambi mapema na kumdhibiti shetani asilete dhambi?
 
Ukiamua kuwa mzushi inawezekana pia, maana mnaambiwa mlete waraka mnarukaruka.
Soma hapa
UNDERSTAND WHAT THE POPE SAID

"Fiducia supplicans" in simpler terms:

1. Blessings, not marriage: The Church understands blessings as ways to ask for God's grace and favour in various situations. This document clarifies that it's possible to bless same-sex couples without recognizing their union as marriage.

2. No change in marriage teaching: The Church's teaching on marriage as between a man and a woman remains unchanged. This blessing gesture doesn't endorse their relationship but shows God's love for all.

3. Blessings come in different forms: There are formal blessings, like at weddings, and informal ones, like at shrines. This document focuses on informal blessings, where anyone, including those in irregular relationships, can ask for God's blessing.

4. Blessings show humility and need for God: Asking for a blessing expresses trust in God and a desire for his goodness. Even if someone's situation isn't perfect, they can still seek God's grace.

5. Blessings have limits: While the Church can offer blessings to everyone, it can't bless anything contrary to God's will. So, this blessing doesn't legitimize same-sex unions but asks for God's guidance and love.

6. Discernment and respect: The document encourages pastors to use their judgment when deciding about such blessings. The setting and words should be clear to avoid confusion with marriage ceremonies.

7. Hope and openness: Ultimately, this document reflects the Church's desire to welcome everyone with God's love and mercy, even those in challenging situations. It's a step towards greater understanding and pastoral care.

Remember: This is a simplified explanation of a complex document. For a deeper understanding, consult the original text (the English version begins on pages 20 through 28) --
https://press.vatican.va/content/salastampa/it/bollettino/pubblico/2023/12/18/0901/01963.pdf
Madanganyo pro max,ukweli ni kwamba,haipo hata siku Moja ukabariki mtu anayejihusisha na ushoga,Mbona Mungu aliwaangamiza kula Sodoma? Leo hii mlete ngojera wenye akili wawaelewe? Pole sana!
 
Wanatumiaga kiingereza?
Yaani kwa sasa sote hatuamini kama ni kweli na ni haki yetu kutokuamini maana sio jambo la kawaida kulingana na jinsi kanisa katoliki linavyoheshimika duniani lakini usimuamini mwanadamu kwa kila kitu ni Mungu pekee Ndiye Mkamilifu.Hata issue ya wanawake kuwa wachungaji ilianza kama mchicha kwa sasa ni mbuyu.Suala lenyewe la ushoga lilikuwa halitamkiki wala kutazamika miaka ya nyuma lakini kwa sasa mtu kujitangaza shoga ni kawaida kabisa.Hizo nchi za ulaya na Amerika hasa kwa kina Messi anakotoka pope Francis ni janga kubwa kuliko tunavyofikiri.KUMBUKA MTI ULIOKUWA KATIKATI YA BUSTANI ULIKUWA NI WA UJUZI WA MEMA NA MABAYA.Hivyo yanaanza MEMA yanafuata MABAYA.
 
Papa na vatcan hawafanyii kazi huu ujinga ulioandikwa na mashoga mafirauni.
Taarifa za vatcan ziko kwenye web yao na sii mitandao yenu ya kijinga.
Nendeni mkawasaidie HAMAS maana wananyukwa huko Gaza.
Mnaacha kufanya yenu mnakuja kuandika ujinga kuhusu Papa
Mwongozo wa Wakristo ni Biblia, hakuna Aya hata moja inayohalalisha ushoga, Ila kwenye Quran, Aya zinazohalalisha ufiraji na uzinifu ni nyingi, mfano Quran 2:223 wanawake ni konde zenu, zieendeeni konde zenu kama mpendavyo, tafsiri ya Kitabu Sabulus-Salam juzuu ya 1 ukurasa wa 290 inasema Mtume wa Allah alisema Aya hii imeteremshwa kwa ajili ya wanaume kuwaingilia wake zao tupu zao za nyuma. Pia Qur 33:37 inasema Mtume alimwoa Zainab make wa mtu kwa sababu Allah alitaka hivyo. Hawa wanaomsingizia Papa Paulo kuhusu ushoga, ni Aya gani ya Biblia inaruhusu ushoga?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Pope Francis has allowed priests to bless same-sex couples, a significant advance for LGBT people in the Roman Catholic Church.

The leader of the Roman Catholic Church said priests should be permitted to bless same-sex and "irregular" couples, under certain circumstances.

But the Vatican said blessings should not be part of regular Church rituals or related to civil unions or weddings.

It added that it continues to view marriage as between a man and a woman.

Pope Francis approved a document issued by the Vatican announcing the change on Monday. The Vatican said it should be a sign that "God welcomes all", but the document says priests must decide on a case-by-case basis.

Introducing the text, Cardinal Víctor Manuel Fernández, the prefect of the Church, said that the new declaration remained "firm on the traditional doctrine of the Church about marriage".

But he added that in keeping with the Pope's "pastoral vision" of "broadening" the appeal of the Catholic Church, the new guidelines would allow priests to bless relationships still considered sinful.

People receiving a blessing "should not be required to have prior moral perfection", according to the declaration.

Tafsiri isiyo rasmi

Papa Francis amewaruhusu makasisi kuwabariki wapenzi wa jinsia moja, maendeleo makubwa kwa watu wa LGBT katika Kanisa Katoliki la Roma. Kiongozi wa Kanisa Katoliki la Roma alisema makasisi wanapaswa kuruhusiwa kubariki watu wa jinsia moja na wanandoa "wasiokuwa wa kawaida", chini ya hali fulani. Lakini Vatikani ilisema baraka hazipaswi kuwa sehemu ya taratibu za kawaida za Kanisa au zinazohusiana na miungano ya kiraia au harusi. Iliongeza kuwa inaendelea kuiona ndoa kuwa kati ya mwanamume na mwanamke. Papa Francis aliidhinisha waraka uliotolewa na Vatican kutangaza mabadiliko hayo siku ya Jumatatu. Vatikani ilisema inapaswa kuwa ishara kwamba "Mungu anawakaribisha wote", lakini waraka huo unasema makasisi lazima waamue kwa msingi wa kesi baada ya kesi. Akitambulisha andiko hilo, Kadinali Víctor Manuel Fernández, mkuu wa Kanisa, alisema kwamba tamko jipya lilibaki "imara kwenye mafundisho ya kitamaduni ya Kanisa kuhusu ndoa". Lakini aliongeza kuwa kwa kuzingatia "maono ya kichungaji" ya Papa ya "kupanua" rufaa ya Kanisa Katoliki, miongozo hiyo mipya itawaruhusu mapadre kubariki uhusiano ambao bado unachukuliwa kuwa wa dhambi. Watu wanaopokea baraka "hawapaswi kuhitajika kuwa na ukamilifu wa maadili", kulingana na tamko hilo.
Hivyo kutokana na tamko hili la Vatican tunapaswa kupaza sauti kuu ya kupinga kwa nguvu zote jambo hili na ikiwezekana sisi tusio na dini tuandike waraka na kusambaza kwenye vijiwe vyote vya kahawa,magengeni,minadani, kwenye mabaa, kwenye viwanja vya michezo ili usomwe kila iitwapo leo kama ambavyo wenzetu walifanya kupinga mkataba mbovu wa DP - World.Naandaa utaratibu wa kukutana na wanasheria,watetezi wa maadili wasio na mrengo wowote wa kidini ili tuweze kuandaa waraka utakaokiokoa kizazi chetu.Nakaribisha maoni zaidi na naomba radhi kwa kuingilia masuala ya dini zenu ila mimi natetea jamii yetu isiyo na hatia.
Imeenda hiyo, rc huwa wanaanza polepole. Maana ya kubariki ni sawa na kufungisha ndoa hivo rc kuoa mwanaume mwenzako ruksaaaa
 
bora niliamua kubaki na mizimu yetu tuu nlijua tuu nikaondoka mapema.
 
Usiuingize Uislam katika ujinga na ushetani wenu.
Quran 33:37 ....na ukaficha katika nafasi yako aliyoyataka Mwenyezi Mungu kuyatoa(nayoni kuwa Mwenyezi Mungu amekuamrisha umuoe wewe huyo mkewe...."HUU NDIO USHETANI"Sasa. Hivi Mungu wa wapi anayeweza kumwamuru mtu amuoe mke wa mtu? Au tuendelee kufichua ushetani mwingine?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kanisa Katoliki Afrika na sehemu nyingine duniani wasiokubaliana na ushoga linabidi lijitenge na Kanisa Katoliki Ulaya na Marekani hasa huyu Papa na mambo yake. Kanisa linabidi lirudi kwenye misingi ya Ukristo.

RC Afrika inabidi wawe na Papa wao Mwafrika, mwingine ambaye ataweka wazi anapinga ushoga 100% bila kupepesa macho, anayefuata maadili ya Kiaafrika na Biblia na maagizo ya Mungu matendo ya Yesu na mitume.

Anglican Church walijitenga miaka 500, vivyo hivyo Lutheran, SDA, Methodist , Morovians na other protestants churches.

Huyu Papa anawachanganya waumini. Hana nia wala msimamo thabiti, imara.
 
CNN ni fake NEWS, alisema Trump. Hapa namuunga Mkono Trump nikiamini yupo Sahihi.

What a tragedy!! Kwa kanisa hili! With all brains they have....! Wanafikia maamuzi haya kweli?
Na hii ni fake news kutoka website ya Vatican mkuu?
 
Wakristu katika giza la ufiraji

Waislamu katika giza la mauji kwa kivuli cha jihadi

Shetani ameshaziteka hizi Imani mbili, wakristu na waislamu wamebaki kushutumiana tu nani ni mchafu kuliko mwenzie


ila papa Fransisi inapaswa anyongwe aisee

Ndio maana binafsi naamini hizi dini zote ni Upuuzi na zipo kwaajili ya maslahi ya watu.
Ukuaji Wa kweli Wa kiroho (Really Spirituality) ni tofauti Sana na mafundisho ya dini zote hizo.
 
Father kitima kama karibu mkuu wa Baraza la maaskofu wa kanisa Katoliki waitishe mkutano wa dharura na kulitangazia kanisa la Tanzania msimamo wetu. Wapo bize kutoa nyarakanza Kisiasa na katiba mpya Sasa hili la kwao wapo kimya. Ni kinyime na maelekezo ya Mungu, kinyime na Mila za kanisa na kinyime na Mila za kiafrika.. watoe warakanwa kupinga na ikiwezekana tujitenge na hao wazungu ambao wambechanganyikiwa
 
Father kitima kama karibu mkuu wa Baraza la maaskofu wa kanisa Katoliki waitishe mkutano wa dharura na kulitangazia kanisa la Tanzania msimamo wetu. Wapo bize kutoa nyarakanza Kisiasa na katiba mpya Sasa hili la kwao wapo kimya. Ni kinyime na maelekezo ya Mungu, kinyime na Mila za kanisa na kinyime na Mila za kiafrika.. watoe warakanwa kupinga na ikiwezekana tujitenge na hao wazungu ambao wambechanganyikiwa
Watakwambia huwa hawakurupuki.Na hii ni kudhihirisha wazi kuwa hizi dini sio zetu ni za wazungu na waarabu hivyo wanaweza kufanya mabadiliko yeyote kwa jinsi wanavyotaka ndio maana haitatokea papa mwafrika kwa vile hawaimini kabisa race yetu.Hata jina linadhihirisha maana Roman Catholic ni Ukatoliki wa Kirumi hivyo hata uwe Tanzania lazima ufuate utamaduni wa Kirumi.
 
Back
Top Bottom