Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Papa Francis aruhusu Makasisi kuwabariki wanandoa wa jinsia moja

Amen, Mimi jmos nimeshajiamulia sifanyi kazi na naitumia siku hii kumwabudu na kumtukuza Mungu. Mungu alete kanisa la hivi na liwe na viwango vya wokovu, lisiloruhusu mapambo kwa wanawake na masikukuu ya kishetani kama Christmas. Likija I will be the first to join
Wengi sana wanasalia nyumbani nowadays sababu ya watumishi kushindwa kukemea dhambi wazi wazi!!

Linarudi Kanisa la Kweli Ili linyakuliwe, Kanisa lile la kwanza.

Tutakuwa kitu kimoja, wakati waovu nao watakuwa kitu kimoja na Ibada zao za kishetani.


Ubarikiwe.
 
Ona akili nyingine ndogo hii!! Wale mashoga maarufu wa miaka nenda akina Anti Ali, Anti Bilal, na wengineo wengi; si ndiyo nyinyi wavaa kobazi!!

Mlianza kitambo sana. Maana hata kule Zanzibar ambako mko zaidi ya asilimia 90, ndiyo mnaongoza kwa huo ufirauni. Halafu mnakuja kujichekesha hapa!!
Wanaita Sunna au Mambo ya pwani

Wavaa msuli wanapenda sana hiyo mambo
 
Amen, Mimi naabudu kanisa linakemea dhambi kwelikweli, tatizo moja tuu ni tunaabudu jumapili, na mchungaji anasema haina shida
Atahama tu,

Zinakuja SHERIA Kali sana za kishetani Kwa dini na madhehebu yote yakiyosajili sirikalini.

Ni whether aamue kushirikiana nao ahalalishe dhambi au ajitenge nao.
 
Amen, Mimi naabudu kanisa linakemea dhambi kwelikweli, tatizo moja tuu ni tunaabudu jumapili, na mchungaji anasema haina shida
Kama unafunga siku ya Saba ya juma kama kumbukumbu na Ibada kufurahia uumbaji wa Mungu, uko katika good track.

Watumishi walifuta amri hiyo kwenye BIBLIA Yao, Ili WANADAMU wadanganywe juu ya uumbaji.
 
Kanisa Katoliki haliwezi kuyumba sababu limekuwepo kwa zaidi ya miaka 2000 iliyopita.Walijaribu kina Martin Luther kulitikisa Kanisa lakini walishindwa,hao watakaokimbilia hayo makanisa mengine waende tu na bado Kanisa litabaki Imara
Martin Luther alikuwa alishindwa nini?

Alikuwa na lengo la kuitikisa kanisa Katoliki?

Martin Luther alifanikiwa katika malengo yake yote kasoro moja tu la "Babtism" Ubatizo

Inaelekea hujui hata historia ya kanisa (Church History)
 
Je Mimi nikiitambua sabato na kuendelea kuabudu kanisa la jumapili hapo ni dhambi?
Muda umeisha, soon utajitenga tu,

Yesu mwenyewe analikusanya Kanisa lake, endelea Kwa muda huu mfupi, lakini ni suala la muda tu utaondoka huko, sababu ni ya wenyewe Jumapili.
 
Watakwambia huwa hawakurupuki.Na hii ni kudhihirisha wazi kuwa hizi dini sio zetu ni za wazungu na waarabu hivyo wanaweza kufanya mabadiliko yeyote kwa jinsi wanavyotaka ndio maana haitatokea papa mwafrika kwa vile hawaimini kabisa race yetu.Hata jina linadhihirisha maana Roman Catholic ni Ukatoliki wa Kirumi hivyo hata uwe Tanzania lazima ufuate utamaduni wa Kirumi.
Una uhakika hapajawahi kuwepo Papa muafrika!.

The three African popes—who very possibly were Black
 
Mungu hajaumba shoga usidanganye jamii aidha ni tatizo la kihormone ila ni chafuko la uharibifu sema tu t
Una uhakka binadamu ameumbwa na mungu? Kama una uhakka kwann unataka Iman Yako imuamulie mwngne Cha kufanya. Je kama ye hamuamini uyo mungu wako?
 
RC ni kama chama cha siasa, kigeugeu hata katika misingi ya maandiko wao kila mara wanatoa ya kwao kukiuka maandiko
"TO BE OR NOT TO BE" Kama alivyotunga William Shakespeare.
Ni aidha umo au haumo hakuna kupindisha njia kuelekea kwa shetani na jehanamu
 
Huyu mzee hajui atendalo.
Condom zinakatazwa, ushoga ruhusa.
Mapadre wanakatazwa kuoa, ushoga ruksa.
Kutoa mimba kunakatazwa, ushoga ruksa.
Siyo yeye kuna msukumo ndani yake au kutoka kundi fulani ndani ya taasisi yake. He 8s blinded by something
 
Pope Francis has allowed priests to bless same-sex couples, a significant advance for LGBT people in the Roman Catholic Church.

The leader of the Roman Catholic Church said priests should be permitted to bless same-sex and "irregular" couples, under certain circumstances.

But the Vatican said blessings should not be part of regular Church rituals or related to civil unions or weddings.

It added that it continues to view marriage as between a man and a woman.

Pope Francis approved a document issued by the Vatican announcing the change on Monday. The Vatican said it should be a sign that "God welcomes all", but the document says priests must decide on a case-by-case basis.

Introducing the text, Cardinal Víctor Manuel Fernández, the prefect of the Church, said that the new declaration remained "firm on the traditional doctrine of the Church about marriage".

But he added that in keeping with the Pope's "pastoral vision" of "broadening" the appeal of the Catholic Church, the new guidelines would allow priests to bless relationships still considered sinful.

People receiving a blessing "should not be required to have prior moral perfection", according to the declaration.

Tafsiri isiyo rasmi

Papa Francis amewaruhusu makasisi kuwabariki wapenzi wa jinsia moja, maendeleo makubwa kwa watu wa LGBT katika Kanisa Katoliki la Roma. Kiongozi wa Kanisa Katoliki la Roma alisema makasisi wanapaswa kuruhusiwa kubariki watu wa jinsia moja na wanandoa "wasiokuwa wa kawaida", chini ya hali fulani. Lakini Vatikani ilisema baraka hazipaswi kuwa sehemu ya taratibu za kawaida za Kanisa au zinazohusiana na miungano ya kiraia au harusi. Iliongeza kuwa inaendelea kuiona ndoa kuwa kati ya mwanamume na mwanamke. Papa Francis aliidhinisha waraka uliotolewa na Vatican kutangaza mabadiliko hayo siku ya Jumatatu. Vatikani ilisema inapaswa kuwa ishara kwamba "Mungu anawakaribisha wote", lakini waraka huo unasema makasisi lazima waamue kwa msingi wa kesi baada ya kesi. Akitambulisha andiko hilo, Kadinali Víctor Manuel Fernández, mkuu wa Kanisa, alisema kwamba tamko jipya lilibaki "imara kwenye mafundisho ya kitamaduni ya Kanisa kuhusu ndoa". Lakini aliongeza kuwa kwa kuzingatia "maono ya kichungaji" ya Papa ya "kupanua" rufaa ya Kanisa Katoliki, miongozo hiyo mipya itawaruhusu mapadre kubariki uhusiano ambao bado unachukuliwa kuwa wa dhambi. Watu wanaopokea baraka "hawapaswi kuhitajika kuwa na ukamilifu wa maadili", kulingana na tamko hilo.
Hivyo kutokana na tamko hili la Vatican tunapaswa kupaza sauti kuu ya kupinga kwa nguvu zote jambo hili na ikiwezekana sisi tusio na dini tuandike waraka na kusambaza kwenye vijiwe vyote vya kahawa,magengeni,minadani, kwenye mabaa, kwenye viwanja vya michezo ili usomwe kila iitwapo leo kama ambavyo wenzetu walifanya kupinga mkataba mbovu wa DP - World.Naandaa utaratibu wa kukutana na wanasheria,watetezi wa maadili wasio na mrengo wowote wa kidini ili tuweze kuandaa waraka utakaokiokoa kizazi chetu.Nakaribisha maoni zaidi na naomba radhi kwa kuingilia masuala ya dini zenu ila mimi natetea jamii yetu isiyo na hatia.
papa hajaunga mkono ushiga tusimsingizie
 
Ni balaa kubwa na wafuasi wao wanatetea matamko bila kuangalia jamii yetu inapata hasara gani.Jambo hili likikikuta kwenye familia yako utajuta kutetea uovu huu mkubwa katika jamii yetu.
Biblia inasema zinaa hata isitajwe kwenu.
Mnafikii wewe, hao mashoga wanaliwa na nani? Si nyie wenyewe mnaopinga hapa, mxxxxiiiiiieeeeew
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom