Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani huu ndio mchango duni zaidi kwenye kongamano hilo , yeye anawaza ruzuki ni hela ya kula tuAkizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema;
“Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wea chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa 'funded' na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?”
“Jana Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziadi, sio fedha za Watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla
View attachment 2861664
Nadhani ni vema akapewa Ukatibu mkuu wa ccmPasco anajua kwamba Danstan Muhando (Tido) kaondoka Azam, ile nafasi inamfaa sana, Pasco ni mali ya thamani
Chadema ruzuku ya mabilioni lakini hanna jengo la ofisi mmejihifadhi kwa Bob MakaniNadhani huu ndio mchango duni zaidi kwenye kongamano hilo , yeye anawaza ruzuki ni hela ya kula tu
Mi nadhani CCM ndio isingekuwa funded na Hela za walipa kodi maana iliachiwa mali nyingi na tanu ambazo zilipaswa ziwe mali za watanzania lakini zikajeuzwa za ccm...hii ingesaidia kulevel ground ya ukwasi wa vyama maana, hawa ccm wanahela za kuhonga nchi zima ili kuendelea kutetea maslahi yao.Akizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema;
“Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wea chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa 'funded' na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?”
“Jana Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziadi, sio fedha za Watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla
View attachment 2861664
Chadema hivi mnajua huwa mnataka nini? Pascal alijibu hoja ya Zitto …No wonder Lissu anawaona ninyi ni wasaka asali…wewe ni chawa wa Mbowe tunajua unavizia boss atasema niniNadhani huu ndio mchango duni zaidi kwenye kongamano hilo , yeye anawaza ruzuki ni hela ya kula tu
Mkuu asante kwa bandiko hili, hii hoja ya ruzuku kwa vyama vya siasa, sikuanza nayo leo, nilianza nayo tangu enzi za JPM, Ruzuku kwa vyama vya Siasa: Mnaonaje tumshauri Rais Magufuli aifutilie mbali ruzuku hii? Ni ufisadiAkizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema;
“Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wea chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa 'funded' na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?”
“Jana Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziadi, sio fedha za Watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla
View attachment 2861664
Siasa za Mbowe hazitegemei ruzuku duni ya serikali , huyu ni Bilionea , ungeweza kujenga hoja yako bila kutaja Mbowe wala Chadema , hoja yako umeiharibuChadema hivi mnajua huwa mnataka nini? Pascal alijibu hoja ya Zitto …No wonder Lissu anawaona ninyi ni wasaka asali…wewe ni chawa wa Mbowe tunajua unavizia boss atasema nini
Wapige hapohapo! Wamezoea hao.Akizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema;
“Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wea chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa 'funded' na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?”
“Jana Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziadi, sio fedha za Watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla
View attachment 2861664
Yaani nakuambia tena haina dhambi kama ya diniKila mtu ataanzisha chama chake. Tutakuwa na vyama zaidi ya elfu kumi. Itakuwa biashara nzuri ya uhakika kuliko biashara yoyote nchini.
Showing true colours..Akizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema;
“Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wea chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa 'funded' na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?”
“Jana Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziadi, sio fedha za Watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla
View attachment 2861664
Mimi nakubaliana na hoja yako lkn tunawezaje kuepuka vyama vya kiasisa kutekwa na magenge ya kiarifu na watakatishaji fedha? Mchango wa vyama vya kiasiasa makini ni muhimu kwa maendeleo ya nchi kama tutaweka usimamizi mzuri.Mkuu asante kwa bandiko hili, hii hoja ya ruzuku kwa vyama vya siasa, sikuanza nayo leo, nilianza nayo tangu enzi za JPM, Ruzuku kwa vyama vya Siasa: Mnaonaje tumshauri Rais Magufuli aifutilie mbali ruzuku hii? Ni ufisadi
P