Pre GE2025 Pascal Mayalla: Vyama vya siasa visipewe ruzuku, viongozi wake wajitolee

Pre GE2025 Pascal Mayalla: Vyama vya siasa visipewe ruzuku, viongozi wake wajitolee

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
M
Akizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema;

“Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wea chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa 'funded' na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?”

“Jana Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziadi, sio fedha za Watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla

View attachment 2861664
Mkuu mimi naona ndugu Pascal Mayalla hakufikiri hii hoja yake kwa kina ama amesukumwa na kazi maalum, biasness, roho ya kwa nini au ushabiki tu.

Kwa mazingira ya sasa ambapo the government is the state, hakuna separation, unatenganishaje chama kilichounda serikali na serikali au dola/state kutochomeka mirija yake kwenye chungu cha fedha ya umma?

Kwa kuwa mazingira na muundo wa nchi yetu, chama tawala hunufaika automatically na serikali iliyopo maana ni yake, ndio maana ni vyema na muhimu ruzuku iwepo across the opposition angalau kuleta usawa, existence na growth! Kwa sababu opposition ni watchdog muhimu wa serikali!

Pili, namuona Pascal Mayalla amegandana na mindset ya ujamaa katika mazingira na nyakati za sasa za upepari na teknolojia mpya. Anafikiria kama vile wanachama wa vyama vya upinzani sio raia wa Tanzania na hivyo hawana haki ya manufaa ya kodi zao.

Pascal Mayalla Hana tofauti na Mwendazake aliyekuwa anasema kuwa hawezi kupeleka maendeleo kwenye majimbo yaliyoshikiliwa na upinzani, na hakika hakupeleka, alifukarisha watu na Pascal Mayalla anataka kufukarisha upinzani ambao tayari upo hoi bin tabaani kwa kibano cha Ngosha mwenzie!

Inawezekana aliingiliwa na roho wa Mwendazake wakati akichangia hoja hiyo, maana hakuna mwananchi yeyote aliyemtuma kutoa maoni ya kuzuia/kupinga upinzani kupata ruzuku.

Pascal Mayalla anaona kuwa ni sawa na ni haki upinzani uchangie kodi lakini sio sawa wala haki kwa upinzani kunufaika na keki ya Taifa. Hii ni roho mbaya ya daraja la juu! Ni Roho ya kwa nini tu!

Pascal Mayalla is a dangerous dagger in setting up opposition as well as suicidal political trends!

He should know best that his stabs on Kabendera's back are still fresh in people's memories!
 
Akizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema;

“Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wea chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa 'funded' na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?”

“Jana Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziadi, sio fedha za Watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla

View attachment 2861664
Excellent post
 
Akizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema;

“Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wea chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa 'funded' na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?”

“Jana Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziadi, sio fedha za Watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla

View attachment 2861664
Hilo nalo neno.....
 
Ccm wao kila ikikaribia uchaguzi huiba pesa BoT na ufisadi mwingine kama ule wa IPTL.
 
M

Mkuu mimi ndugu P. Mayalla hakufikiri hii hoja yake kwa kina ama amesukumwa na kazi maalum, biasness, roho ya kwa nini au ushabiki tu.

Kwa mazingira ya sasa ambapo the government is the state, hakuna separation, unatenganishaje chama kilichounda serikali na serikali au dola/state kutochomeka mirija yake kwenye chungu cha fedha ya umma?

Kwa kuwa mazingira na muundo wa nchi yetu, chama tawala hunufaika automatically na serikali iliyopo maana ni yake, ndio maana hiyo ni vyema na muhimu ruzuku iwepo across the opposition angalau kuleta usawa!

Pili, namuona P. Mayalla ana mindset ya ujamaa katika mazingira na nyakati za upepari na teknolojia mpya. Anafikiria kama vile wanachama wa vyama vya upinzani sio raia watanzania na hawana haki manufaa ya kodi zao.

Pascal Mayalla Hana tofauti na Mwendazake aliyekuwa anasema kuwa hawezi kupeleka maendeleo kwenye majimbo yaliyoshikiliwa na upinzani, na hakika hakupeleka.

Inawezekana aliingiliwa na roho ya Mwendazake wakati akichangia hoja hiyo, maana hakuna mwananchi aliyemtuma kuzuiwa upinzani kupata ruzuku.

Pascal Mayalla anaona kuwa ni sawa na ni haki upinzani uchangie kodi lakini sio sawa wala haki kwa upinzani kunufaika na keki ya Taifa. Hii ni roho mbaya daraja la juu! Ni Roho ya kwa nini tu!

Pascal Mayalla is a dangerous dagger in setting up opposition as well as suicidal political trends!

He should know best that his stabs on Kabendera's back are still fresh in people's memories!
Why attack on him personally?
Wewe comment juu ya alichosema....yes..
Otherwise kwa ulichoandika sorry to say that wewe ni kirusi kwenye nchi.
Unaleta justification za kipuuzi kuwanyonya wananchi masikini?...
Hayo magenge yaliyo chini ya mwamvuli wa vyama vya siasa nani hayajui?....
Huyo mwendazake unaemzodoa huwezi kujilinganisha nae kwa lolote....kazi kubwabwaja tu..
Huna huruma pimbi wewe...
 
Sikubariani na huo ushauri maana kama hatutakua na utamaduni wa kufund hivyo vyama vitakua funded hata na mashirika ya nje kwa mlengo ambao hauna tija kwa taifa

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
Siyo kweli mbona nchi iko funded na mashirika ya nje. Zaidi ya nusu ya bajeti yetu inategemea mikopo na misaada kutoka nje ungesema basi nchi iache kwanza kuwa funded na mashirika ya nje uone kama inaezekana.

Ni vuzuri ujue pia hata bajeti kubwa ya uchaguzi mkuu ni funding kutoka nje. Hivyo hata hiyo ruzuku unayotaka iendelee kutolewa kwa vyama ni hizo hela za misaada na mikopo kutoka mashirika na serikali za nje. Hizi ziara zote mnazomsifia mama ni za kuomba na kuomba ili tusaidiwe na kukopeshwa ambapo tunajisifu kuwa amefungua nchi. Angalia deni la taifa jinsi linavyokua kama moto wa petrol. Je hiyo siyo hatari? Na je tunakopa sana tutapata wapi za kulipa? Na je tutalipa kweli?

Ujue pia hata sasa hivi vyama vina vyama rafiki vya nchi za nje ambavyo pia vinatoa funds. CCM na Wachina, CHADEMA na Wajerumani, CUF ilihusishwa na waarabu nk nk nk. Upo hapo mkuu wangu?
 
Akizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema;

“Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wea chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa 'funded' na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?”

“Jana Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziadi, sio fedha za Watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla

View attachment 2861664

Ingependeza kama mnaweka video
 
Ruzuku ikiondolewa itakua chujio la wanasiasa uchwara.

Ni wazalendo pekee watakaoingia kwenye siasa.

Hii iendane na kuwapunguzia mishahara watumishi wote katika nafasi za kisiasa.
 
Akizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema;

“Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wea chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa 'funded' na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?”

“Jana Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziadi, sio fedha za Watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla

View attachment 2861664
KAZI ya hizo fedha za ruzuku ni nini?.
Kama zinatumika kuendeshea shughuli za chama lazima ziendelee kutolewa.
Paschal anatafuta umaarufu usio na sababu.
 
Na CCM wakubali kupokonywa Mali zote walizozihodhi zirudishwe serikalini pia wakubali katiba mpya itungwe ya matakwa ya wananchi hapo sasa ndo nitawaona wana Nia njema.

NB😛ascal Mayalla ni kada mtiifu wa CCM so kauli yake ni mawazo ya CCM
 
Akizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema;

“Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wea chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa 'funded' na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?”

“Jana Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziadi, sio fedha za Watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla

View attachment 2861664
Visipopewa vitakufa kitabaki Chama Dola ambacho ndicho kilichoshika Hatamu !!
Serikali ni yake na pesa zake !!
 
Akizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema;

“Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wea chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa 'funded' na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?”

“Jana Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziadi, sio fedha za Watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla

View attachment 2861664

Pascal Mayalla anataka kutia mchanga vitumbua vya Watu.
 
Back
Top Bottom