Pre GE2025 Pascal Mayalla: Vyama vya siasa visipewe ruzuku, viongozi wake wajitolee

Pre GE2025 Pascal Mayalla: Vyama vya siasa visipewe ruzuku, viongozi wake wajitolee

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Akizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema;

“Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wea chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa 'funded' na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?”

“Jana Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziadi, sio fedha za Watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla

View attachment 2861664
Naunga mkono hoja,huu ni wizi wa pesa za Umma.Zito apuuzwe na ruzuku ifutwe
 
CDM kwa mfano, walishaomba ruzuku hizi zifutwe kitambo sana, lakini cha kushangaza CCM wamegomea maana wao ndiyo wazoaji wakuu wa hizi ruzuku - wanakula ma-billion ya shillingi kila mwezi ndiyo hizo hizo wanazotanulia kununulia ma V-eiteee.
 
Viongozi wasipewe usafiri wala kujaziwa mafuta ya gari , wajinunulie magari na kujaza mafuta kwa pesa zao za mshahara.

Wabunge wasipewe posho za vikao , bungeni ndio ofisini kwao kama ambavyo daktari anaenda hospital kuattend wagonjwa hospital ndio ofisini na halipwi posho ya kwenda ofisini na wabunge wasilipwe posho ya kuwepo ofisini bali mshahara tu.
 
Akizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema;

“Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wea chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa 'funded' na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?”

“Jana Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziadi, sio fedha za Watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla

View attachment 2861664
Kwa kweli Mayala Paschal hii ni point nzuri na kubwa sana brother. Hivi vyama , ni vyama vya matumbo tu. Hakuna vyama hapo.Wiz wiz tu.
 
Mayala yuko sahihi. Ni matumizi mabaya ya pesa za Umma. Vyama vijitegemee. Kama ni misaada ya nje hata sasa wanapata pamoja na kupata ruzuku.

..kwanza vyama vyote vifutwe.

..pili serikali itafishe mali za vyama vyote vilivyoko sasa hivi.

..tatu vyama visajiliwe upya na kusiwepo chama chochote kitakachopewa ruzuku.
 
Hii hoja ya Mayalla ina pande mbili, positive ambayo naona wengi wanaishangilia, na negative, ambayo naamini wengi hawajaifikiria.

Kuitaka serikali kuondoa ruzuku kwa vyama vya siasa, hasa kwa wakati huu wa vyama vingi, kwa upande mwingine kutamaanisha kuineemesha zaidi CCM.

CCM ina vitega uchumi kila kona ya nchi, wanakusanya kodi kwenye fremu mbalimbali karibia mikoa yote Tanzania Bara, hawa wamejiwekeza kiuchumi, hivyo hata leo ukiwaambia unaondoa ruzuku kwao hawataumia pakubwa.

Tatizo ni kwa hivi vyama vyetu vingine, kuviambia visubiri michango ya kujitolea toka kwa wanachama wao, hiyo kwangu ni sawa na ndoto isiyo na uhakika wa kutokea, hata kama vyama vitaweka kiasi kidogo vipi cha makusanyo, bado havitakuwa na uhakika wa kufikia malengo waliyojiwekea kwa wakati husika.

Sasa kwenye mazingira haya, unakuja kuviweka vyama hivi kwenye mizania moja na CCM, hapo hakuna namna, lazima CCM itaendelea kuwa na uwezo mkubwa kiuchumi utakaokifanya kijiendeshe bila shida, ila kwa hawa watakaosubiri michango ili wafanye mikutano ya siasa, walipane mishahara, mafuta ya magari, gharama za kuendesha ofisi, naona hivi vyama vitapotea kimoja baada ya kingine.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Mimi ningekubaliana na wewe kama hivi vyama mbadala vingekuwa serious...
Hakuna kitu kilionesha upumbavu wao mkubwa kama issue ya kumpokea Lowassa na kitu kiitwacho kuunga juhudi...huu ndio ulikuwa upumbavu namba moja.
Kwa kifupi wote ccm na vyama vingine ni magenge ya wezi hivyo KATA RUZUKU..kila mtu afe kivyake...
 
Akizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema;

“Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wea chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa 'funded' na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?”

“Jana Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziadi, sio fedha za Watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla

View attachment 2861664
Hata hiyo rudhuku hamstahili.
Naunga mkono hoja
P
 
Pascal Mayalla wewe ni muaminifu. Asante
Inawezekana na ni rahisi sana kuvinyima ruzuku vyama vile ambacho havipo madarakani yaani vyama vya upinzani, lakini ukweli ni kwamba chama tawala ni lazima kitapata mapesa mengi sana kutoka Serikalini kupitia njia watakazoziibua kwa wakati maalum necessarily !!
Epa and so on and so forth !!
Huwezi kumzuwia kula chakula mtu aliyepo jikoni anapika !!
Atakula tu hata kwa kificho !!
 
Mimi ningekubaliana na wewe kama hivi vyama mbadala vingekuwa serious...
Hakuna kitu kilionesha upumbavu wao mkubwa kama issue ya kumpokea Lowassa na kitu kiitwacho kuunga juhudi...huu ndio ulikuwa upumbavu namba moja.
Kwa kifupi wote ccm na vyama vingine ni magenge ya wezi hivyo KATA RUZUKU..kila mtu afe kivyake...
Inawezekana ukamzuwia kula chakula mtu mwenye funguo za jikoni ??!!
😂
 
Akizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema;

“Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wea chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa 'funded' na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?”

“Jana Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziadi, sio fedha za Watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla

View attachment 2861664
Pascal ana akili nyingi sana. Kaka huna baya
 
Akizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema;

“Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wea chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa 'funded' na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?”

“Jana Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziadi, sio fedha za Watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla

View attachment 2861664

View: https://youtu.be/kpOuytUa4O4?si=0CEA3qzDha1b5_HQ
Ukiiweka kule kwenye thread starter utakuwa umewatendea haki zaidi wasomaji wako.
P
 
Back
Top Bottom