Pre GE2025 Pascal Mayalla: Vyama vya siasa visipewe ruzuku, viongozi wake wajitolee

Pre GE2025 Pascal Mayalla: Vyama vya siasa visipewe ruzuku, viongozi wake wajitolee

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Itakuwa ni biashara moja ya uhakika kwa Tanzania ya sasa kama zingine kufungua kanisa, kuanzisha chama cha siasa, kuwa chawa mwandamizi.
Unajua siasa ni addiction kama kamari, pombe, sigara hata uchawi
Yaani tena wanachama wengi katika ujinga ujinga ni wanawake kwa sana
Na machawa yamo mengi
Ukianzisha watagaragara mpaka basi
We unawapa vitenge tu na kofia na wewe hela zote za miradi unaiba
 
Kwanza angeanza kushauri chama chake cha CCM kirudushe mali zote za umma ikiwemo viwanja vya mpira.
TANU yetu nimeikumbuka 🙏
Majengo yote na Viwanja vyote vya mpira tulivijenga kwa michango na kujitolea !!
Michango iliwekwa katika kila huduma iliyoonekana inaweza ikalipa bila wasiwasi wowote !
Mpaka ukilala Guest House ilikuwepo sehemu ya mchango !!
Maisha yalikuwa mazuri tulikuwa tunayamudu maisha !🙏🙏
 
Akizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema;

“Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wea chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa 'funded' na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?”

“Jana Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziadi, sio fedha za Watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla

View attachment 2861664
Hii ni dust, nipo kwenye harati za kuanzisha chama

Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
 
Kwani mama Salma kikwete anaishi wapi? Maana Marais wastaafu washajengewa nyumba. Iweje wake wa Marais wastaafu na wao wajengewe? Kwa gharama za nani? Mbona hilo hawalizungumzii?
 
Akizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema;

“Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wea chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa 'funded' na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?”

“Jana Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziadi, sio fedha za Watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla

View attachment 2861664
Naunga mkono hoja Kwa 100%. Mbona mashirika NGOs hawapati ruzuku na kazi inaendelea mbele? Vyama visivyokuwa na wabunge au madiwani vinawezaje kujiendesha Hadi kupata viti?
Kama kweli Wana uzalendo, akili na ubunifu tuone wanawezaje kujiendesha bila ruzuku..
 
1704390858985.jpg
 
Pascal Mayalla , Kuna hatari gani unaziona kwa vyama vya siasa kupewa ruzuku? Unasukumwa na nn ktk ushauri wako huu?

Je, ni uzalendo wako kwamba kwa umaskini wa nchi yetu fedha hizi zingeweza kufanya mambo mengine?

Au unataka vyama vya upinzani viwe dhaifu ili vife kabisa , halafu chama chako ccm kitawale daima?

Unaposema vyama vya upinzani vichangiwe na wanachama, wafurukutwa na wapenzi wa chama, unamaanisha kweli? Hujui kwamba ccm humuandama mpk kumfilisi yeyote mwenye ukwasi anayejinasibbisha na vyama vya upinzani??
Na mimi na cement hapo huwezi kuwagawaia kundi dogo la wahuni kodi zetu kwa mgongo wa ruzuku wakatafute zao

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Akizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema;

“Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wea chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa 'funded' na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?”

“Jana Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziadi, sio fedha za Watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla

View attachment 2861664
Ndg. Pascal, wakati mwingine uwe unapata akili kama zetu za wale tuliozaliwa kabla ya Uhuru wa hii Tanganyika. Nikiwa na maana ya miaka ya 50s! Sisi wa miaka hiyo, huenda hata wale wa 60s wanauwezo wa kuelewa kuwa sisi vijana wa TYL, vijana wa TANU YUSLIKI, wakati huo, upende TANU, usiipende, LAZIMA upewe kadi ya TANU! Hata kwenye michango, ile ya kuchangia jenzi mbali mbali za majenge ya TANU, utachanga tu, kwani hakuna mbadala! Hivyo basi, hiyo hiyo TANU ikaja kugeuka na kuwa CCM, ikimiliki ofisi zote, tangu za kitongoji hadi za jiji, ni mali ya CCM! Sii hivyo tu, mali zote zilizochangiwa na kila mwananchi, uwe mwanachama ama la, vikiwemo viwanja vyote vya michezo n.k.
Hivi kweli, mtu mwenye UELEWA, mwenye HEKIMA NA BUSARA, kweli anaweza waza eti vyama vya siasa visipewe ruzuku! Huu ni UCHANGA ama ni UCHAWA wa aina yake! Leo hii TANU/CCM wamejitajirisha kwa jasho la kila MTANGANYIKA na kila MTANZANIA! Hebu basi vijana wenye umri mkubwa kidogo muwe hata na kauwezo kadogo ka kumbu kumbu. Vijana wa siku hizi mnasema eti"" jaribu kuunganisha hata dots"" Sisi wa zamani tulikuwa tukiita" jaribu tunga hata shanga!
Kwa ufupi sana, vyama vya siasa vingi vimeruhusiwa miaka ya 90s vikiwa hohe hahe, havina mbele wala nyuma, maanake havina nguvu yoyote ya kifedha, kidola, wanachama wala chochote, halafu wawe sawa na TANU/CCM?
Herini ya MWAKA mpya wa 2024 WanaJF wote, huu mwaka na uwe wa mapinduzi ktk vichwa vyetu, hasa ya uelewa, ELIMU sii hoja sana endapo uelewa (AKILI) ni kubwa!
 
Akizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema;

“Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wea chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa 'funded' na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?”

“Jana Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziadi, sio fedha za Watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla

View attachment 2861664
Katika hili, Naunga Mkono Hoja kwa 100%.
 
Erythrocyte bila shaka umeona huu uzi 😂 chama chako kinakwenda kufa kifo cha mende mana ruzuku ndio msingi wenu mnataka haa kuuana ili mtu fulani aendelee kuongoza nchi
 
Sikubariani na huo ushauri maana kama hatutakua na utamaduni wa kufund hivyo vyama vitakua funded hata na mashirika ya nje kwa mlengo ambao hauna tija kwa taifa

Sent from my CPH1819 using JamiiForums mobile app
Mayala yuko sahihi. Ni matumizi mabaya ya pesa za Umma. Vyama vijitegemee. Kama ni misaada ya nje hata sasa wanapata pamoja na kupata ruzuku.
 
Akizungumza kwenye kongamano la kujadili Muswada wa Sheria ya Uchaguzi linaloendelea Jijini Dar es Salaam, Pascal Mayalla amesema;

“Ndugu zangu wa vyama vya siasa, wenzetu nchi za Ulaya utumishi wea chama ni wa kujitolea, chama sio ajira, vyama vya siasa tangu TANU havikuwa vinapewa ruzuku, vilikuwa 'funded' na wapenzi na wanachama, ifikie muda tuingie imani na Watanzania na umaskini wetu, kwanini tuendelee kuvipa vyama vya siasa ruzuku?”

“Jana Zitto nimemsikia anadai ruzuku, kama kweli ni kiongozi wa chama na unakipenda chama kwa moyo wako jitolee, uwe na shughuli nyingine ya kuendesha maisha yako utumishi wa chama uwe wa ziadi, sio fedha za Watanzania kwenda kugharamia vyama vya siasa," - Pascal Mayalla

View attachment 2861664
Pamoja na ruzuku CCM huchota pesa za serikali waziwazi bila kificho.
 
Unaweza kusema 'Bora wavifute tu hivi Vyama vya Siasa vinatuuingizia hasara tu Nchini.' Kuna watu waliona mbali sana. Acha tu.

Wanapata ruzuku, Helikopta hairuki. Kha.
 
Hii hoja ya Mayalla ina pande mbili, positive ambayo naona wengi wanaishangilia, na negative, ambayo naamini wengi hawajaifikiria.

Kuitaka serikali kuondoa ruzuku kwa vyama vya siasa, hasa kwa wakati huu wa vyama vingi, kwa upande mwingine kutamaanisha kuineemesha zaidi CCM.

CCM ina vitega uchumi kila kona ya nchi, wanakusanya kodi kwenye fremu mbalimbali karibia mikoa yote Tanzania Bara, hawa wamejiwekeza kiuchumi, hivyo hata leo ukiwaambia unaondoa ruzuku kwao hawataumia pakubwa.

Tatizo ni kwa hivi vyama vyetu vingine, kuviambia visubiri michango ya kujitolea toka kwa wanachama wao, hiyo kwangu ni sawa na ndoto isiyo na uhakika wa kutokea, hata kama vyama vitaweka kiasi kidogo vipi cha makusanyo, bado havitakuwa na uhakika wa kufikia malengo waliyojiwekea kwa wakati husika.

Sasa kwenye mazingira haya, unakuja kuviweka vyama hivi kwenye mizania moja na CCM, hapo hakuna namna, lazima CCM itaendelea kuwa na uwezo mkubwa kiuchumi utakaokifanya kijiendeshe bila shida, ila kwa hawa watakaosubiri michango ili wafanye mikutano ya siasa, walipane mishahara, mafuta ya magari, gharama za kuendesha ofisi, naona hivi vyama vitapotea kimoja baada ya kingine.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom