Passport ya Tundu Lissu iliibwaje akiwa Ujerumani?

Taratibu za kupata passport mpya kama uliyokuwa nayo imepotea, zipo wazi.

Kwa nini uombe msaada wa Rais?

Kama alikuwa anakataliwa, alikuwa anakataliwa kwa misingi gani?

Bado sielewi aisee!
Namba zake huna umuulize?
 
Alikumbuka ya Kashogi passport ilikuwa chanzo cha mwisho wake.. so yupo sawa kumueleza Rais ili wasije mla kichwa
 
Mb
Jamaa amepagawa, mwanzo alisema anarudi TZ mwezi wa 3 sijui wa 5, leo anaomba Rais amhakikishie usalama wake ili arudi. Badala ya kuzungumza na Rais mambo ya msingi kama anavyoropoka akiwa huko kwa space amefyata anaomba vitu vya kitoto mno.
O
Hivi Lissu ni chama gani? Ukimsikiliza vizuri alivyo kuwa anaelezea mazungumzo yake na Rais Samia, utafikiri yeye ni CCM! Mara alipo anza kuzungumzia issue ya Mheshimiwa Mbowe, utafikiri ni ACT WAZALENDO! Sikusikia alipojieleza kama mkamanda! Anawadanganya CHADEMA - inaonekana kama zile point zake 6 kaandikiwa na Ndugai!
 
Wasiojulikana ndo walio mwibia ,Yani mh Lissu amepitia Mengi,ila amejua kuinyosha serikali za CCM, namanisha from Mkapa,kikwete,mwendazake, SSH japo alikua ajamjua vizuri labda na kupata history yake tangu tawala tajwa hapo juu,
Lissu penye kujenga hanaga shida, ila pale unapotaka kuvunja haki za watu,ndo utamjua vizuri
 
Hayo yote yalitokea Kenya ambayo ni mfano bora wa democrasia kwa mujibu wa chadema?

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Taratibu za kupata passport mpya kama uliyokuwa nayo imepotea, zipo wazi.

Kwa nini uombe msaada wa Rais?

Kama alikuwa anakataliwa, alikuwa anakataliwa kwa misingi gani?

Bado sielewi aisee!
Acha ujinga wewe! Hujui katika mazingira aliyonayo na uoga wa maafisa wa serikali hizo taratibu za kupata passport mpya zaweza kuwa ngumu?
Unatambua hata hiyo aliyoibiwa aliipataje kama sio kwa msaada wa Ubalozi wa Germany baada ya uchafuzi mkuu 2020 na akaondoka kwa msaada wao?
Lissu anajua kuzicheza vyema hesabu zake
 
Jamaa amepagawa, mwanzo alisema anarudi TZ mwezi wa 3 sijui wa 5, leo anaomba Rais amhakikishie usalama wake ili arudi. Badala ya kuzungumza na Rais mambo ya msingi kama anavyoropoka akiwa huko kwa space amefyata anaomba vitu vya kitoto mno.
Kwamba usalama wake sio jambo la msingi! hii nchi imebeba mapumbaavu yaliyoshindikana nyie ndio wanufaika wa migogolo na safari hii mtakuuuunya povu!!
 
Kama mtu kaibiwa begi lenye vitu vyake ikiwepo wallet yenye passport anapaswa kutumia lugha gani kuwasilisha??

Wenzako wanabeba box begani wewe unabeba box utosini ndiyo maana akili zimegadamizwa.
Lisu angeibiwa hivyo huko twitter kusingekalika kwa mijadala lukuki toka kwa wana space

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
 
Jamaa amepagawa, mwanzo alisema anarudi TZ mwezi wa 3 sijui wa 5, leo anaomba Rais amhakikishie usalama wake ili arudi. Badala ya kuzungumza na Rais mambo ya msingi kama anavyoropoka akiwa huko kwa space amefyata anaomba vitu vya kitoto mno.
Wewe nawe upo tu , kwamba katika hoja zake 6 alizowasilisha sio za msingi? Zile hoja 6 mkianza kujadili, utachukua mwaka,

Tatizo CCM kwenu Mambo ya msingi kwenu ni kusifia tu na kujipendekeza pata teuzi ,taifa badae tumbo kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…