Passport ya Tundu Lissu iliibwaje akiwa Ujerumani?

Hujui pickpocteting ipo hata huko nchi za magharibi?

Pia, pickpocteting sio kwa ajili ya manufaa ya kupata pesa au mali tu, bali ni njia mojawapo ya kukusanya taarifa!
 
Mkuu Nyani Ngabu umeuliza maswali ya msingi sana.

Naamini kama Tundu Lissu angekuwa amekutana na Rais mwingine kama Magufuli au Waziri Kabudi au Lukuvi asingethubutu kutamka hayo. Maana majibu yangemchefua.

Hii ni dalili kuwa Mama anaponya Taifa mpaka waliomuita Dikteta mwanamke wanampelekea personal problems awatatulie.

Hongera Rais SSH
 
Umeuliza Maswali ya maana kabisa, ila jiandae kwa Dhihaka na Matusi kutoka kwa Wafuasi wake ( wao ) wenye Uvivu wa Kufikiri lakini ni wepesi wa Kukurupuka.
Swali la aliyeiba ni nani, hata mhusika hawezi jua. Imagine umepanda mwendokasi na kuibiwa simu...unaweza kujua aliyeiba ni nani?

Kwa nini amuombe Rais, je una hakika kama mamlaka husika hazijamuwekea vizingiti? Kumbuka kuna baadhi wanamuona msaliti tangu awamu ya tano...je ni rahisi watu hawa kutoa hati ya kusafiria kwa msaliti?
 
Unavyobwata sasa utafikiri mtu kuibiwa ni kitu kigeni.
 
Kupoteza ni bahati mbaya always,

Hii inaonesha walio nje wengine wanapata shida kupata even ku renew their passports, hata yule dada mange alifanikiwa kupata / renew yake alipoenda kule.

Titi la mama litamu,hata likiwa la mbwa.
 
Unajuaje kama hakutoa taarifa

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app

Si ndio maana hii thread imeanzishwa?
Hayo mambo yote inabidi yajulikane..unakumbuka yule mama alienda Kwa Rais na madai yake akaambiwa akae na kutulia jambo lake litashughulikiwa?

Lengo ni kama Kuna watu wamekwamisha mchakato wa upatikanaji wa gari na wenyewe wawajibishwe. Isiishie TU upatikanaji wa hati.

Lakini pia kama tayari alishatoa taarifa na jambo lake linashughulikiwa, hakukua na sababu ya kuliibua Kwa Rais, ni jambo dog sana kumpelekea Rais kama halina konakona ambazo ndio tungependa kujua ni zipi?
 
bila kufanya hivyo, balozi yoyote ambaye angejaribu kumpa passport Lissu angefunguliwa kesi ya uhaini + uhujumu uchumi…….
 
Mpigie atakueleza mwenyewe
 
Kama hujawahi kukutana na hiyo hali ya kupoteza/kuibiwa huwezi kujua. Hata kama una chuki na huyo Bwana, bora ungekaa kimya.

Tukifuatilia maisha yako umepoteza simu mara nyingi tu ntingine kwa uzembe (gross negligence)nyingine kwa kutokujua. Lakini hakuna aliyekusimanga kama hivi. Usimfanyie mwenzio kile usichopenda kufanyiwa (golden rule)
 

Atakuwa alifanyiwa figisu kwenye njia ya kawaida ndio maana kaamua kumwambia rais.. mbona rahisi tu kuelewa..
 
Watanzania watu wa ajabu sana wanashangaa kupotea passport 😁😁😁
 
Sijui Mataga na CHAWA Kama watakuelewa.
 
Nani sasa anayemkatalia na anamkatalia kwa misingi gani?
Kwanini alipigwa risasi, kwanini alifukuzwa bungeni, kwanini alinyimwa mafao yake, kwanini alimyimwa matibabu.. ukiyajibu hayo utakuwa umepata jibu la swali lako...
 
Na kwa mtu ambaye hana connection na amepoteza pasport utaratibu ukoje?
Je wanaopoteza pasport wote huwa wanaenda kumuomba raisi awasaidie kuzipata au ya kwake ni special?
 
Huku kunaitwa kutafutiana sababu......mama asipolitekeleza iwe ooh! ooooooh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…