Pata Websites pamoja na Email 5 kwa gharama 199,000/= kwa miaka 2
Habari za wakti huu;
Leo nilete mjadala mdogo kuhusu neno ambalo wengi tunalitumia mara kwa mara.Nao ni neno SERVER.Kwa mujibu wa wataalamu wa Tehama SERVER-ni aina ya Computer maalum ambayo ina uwezo wa kupatia huduma/rasilimali watumiaje wengine au computer nyingine katika mtandao ambazo huitwa "CLIENTS"

Katika taasisi na biashara SERVER zinaweza kuwa na matumizi mbalimbali ikiwamo kurahisisha utumiaji wa rasilimali za tehama.Kurahisisha upatikanaji na uhifadhi wa taarifa,Kuarahisisha ulinzi na usalama wa taarifa.Hivyo basi kwa muktadha huu kuna servers za aina mbalimbali kulingana na mahitaji ya mtumiaji.Ili kurahisisha uelewa niweke angalizo kwamba computer yeyote inaweza kufanya kazi kama server bila kujali uwezo au ukubwa wake.Hii inategemea tu mahitaji ya mtumiaji.Kwa mfano katika ofisi yako unaweza kutaka kushare mtandao wa kufanya printing pamoja na internet.Basi unaweza kutuma computer moja kama server na nyingine kama Clients na zikaitumia ili Server PC kama access point ya internet na hata Printer na vifaa vingine ambavyo vinahitaji kutumika kwa pamoja.

Leo hata hivyo nataka tujadili kuhusu aina moja ya SERVER ambayo ni maarufu sana ambayo inatumika kila mahali ikiiwa World Wide Web Server au kwa kifupi Web Server.Hii ni aina maalum ya Server ambayo inatumika kwa ajil ya kusambaz taarifa katika mtandao wa internet kupitia mitiririko wa http(Hyper Text Transfer Protocol) ambao ndio moyo wa Internet exchange of INformation)

Kwa kawaida internet server inaweza kuweka katika Computer yeyote ambako kuna kuwa na Folder(Sehemu Maalum ya kuhifadhi data kwa ajili ya kufikiwa na watu kwa njia ya internet).Eneo hili huitwa Root Folder,Public Folder n.k

Kwa kawaida unapotuma ombi la taarifa kwa njia ya mtando huwa unatuma ombi katika hili eneo la rooto folder ambalo huwa linafikika kupitia Port:80 .Ombi lako hutumwa kwa kupitia IP address ambayo ni anuani maalum ambayo kila kifaa kilichoungwa na internet hupewa.Kwa mfano Internet ya ndani(Localhost ya Machine yako)Anuani yake ni 127.0.0.1. IP.Kila tovuti ina IP address yake.Ukitaka kufahamu ip ya tovuti fulani basi andika tu ping google.com na computer yako itatuma taarifa kutaka kujua iwapo umeunganishwa na mtandao.Kama imeunganisha itakurudisha majibu ambayo yatakuonesha packets za data zimetumwa na IP address ya google.

Sasa hii IP inakuwa imeambatana na jina ambalo ni DOmain Name.Hii domain name ni kama jamiiforums.com ambayo IP yake ni 104.22.... ambapo unaweza kutumia hio IP kufikia JF inagwa maendeleo ya teknolojia na mahitaji ya kiusalama yamewezesha na kulazimishwa ufikiaji huu wa moja kwa usiwe rahisi ispokuwa pale kunapokuwa na ulazima wa kufanya hivyo.

Sasa software za webservers ziko za aina nyingi ila leo natka tuzungumzie zaidi Apache web server ambayo inawezesha tovuti zetu nyingi.
Je unafahamu nini Kuhusu Apache Webserver?Je umewahi kujaribu kuweka Apache webserver kwenye PC yako na kujaribu kutengeneza website yako kupitia kwenye PC yako?Je ulitumia teknolojia gani zingine?Ulipitia changamoto gani?
 
logo.gif

Je, biashara yako IPO Mtandaoni?

Tunatengeneza SIMPLE websites maalum kwa ajili ya Biashara ndogo ndogo.

Kwa mwezi huu wa wafanyakazi unapata website pamoja na EMAIL 5 kwa gharama ya shilingi 299,000.Tovuti yako itakuwa hewani kwa muda wa miaka 2 na baada ya hapo utakuwa unafanya malipo ya kila mwaka.

Ili kufurahia ofa hii tupigie kwa simu namba 0757323060 au tuma email kwenda info@tzhosts.com

Unaweza pia kutembelea Tovuti yetu na kuona huduma zetu nyingine

Ofa hii ni mpaka Tarehe 31 Mei 2023.
 
Email Moja Bei gan bila website.

Sent using Jamii Forums mobile app
Email zinategemea.ila utahitaji kununua domain name ambayo inaanzia tzs 35000 kwa mwaka.Email bei zake zinaanza TZS 3000 kwa mwezi,5000 kwa mwezi 12000 kwa mwezi 20,000 kwa mwezi na kuendelea kwa kutegemea kiasi cha storage unayohitaji etc.
Lakini pia huwa tuna ofa ya Free Light email kwa kila anayenunua domain peke yake.Kwa maelezo zaidi tunaweza kuwasiliana
Karibu Boss.
 
vigezo vya kuambatanisha ni vitu gani ili nipate website yangu

na je baada ya hyo 2 year offer, gharama zinazofuata kwa kulipa mwaka kwa mwaka ni ngapi?
 
vigezo vya kuambatanisha ni vitu gani ili nipate website yangu

na je baada ya hyo 2 year offer, gharama zinazofuata kwa kulipa mwaka kwa mwaka ni ngapi?
Nahitaji Jina La Kampuni/Biashara,Mawasiliano yako,Aina ya Biashara,Taarifa zozote ambazo ungependa ziwepo kwenye tovuti yako.

Baada ya Miaka Miwili Malipo kwa Mwaka yatakuwa ni kuanzia TZS 99000 na kuendelea inategemea na hali ya soko ila hayatazidi 149,000

Karibu Boss
 
Habari za wakati huu;
Wakati jamiiforums inaanzishwa kulikuwa na majukwa mengine ambayo yalikuwa yanabamba. Kuja kwa internet na website kuna maanisha kwamba sasa ni rahisi mtu kuanzisha biashara na kufikia wateja wa mbali zaidi.

Kila biashara inaweza kuwekwa mtandaoni hata hivyo ili kufanikiwa katika baishara yoyote ni lazima uamuze kwamba biashara yako itakuwa "digital first" kwa lugha nyingine unatakiwa ulenge kufanya biashara yako iuze kwa njia ya mtandao.

Wajasiriamali wengine sana wamewekeza kwenye mitandao ya kijamii kama insta na fb etc. Ambako wanajifanikiwa kutengeneza business ingawa bado scaling up ya biashara yao inakuwa chini. Ndio maana leo nimeamua kuleta fursa/ wazo la aina tano ya tovuti za kibiashara ambazo unaweza kuzianzisha.

Kabla ya kuendela inabidi nikueleze kidogo kuhusu tovuti na umuhimu wake,tovuti au website ni mkusanya wa kurasa za kidigitali zinazohusiana na zenye taarifa zinazohusu mtu, kampuni, biashara, bidhaa au huduma.Kwa mfano ukitembelea tzhosts.com utakutana na taarifa za huduma mbalimbali zinazouzwa nasi.

Vivyo hivyo ukitembelea tovuti kama alibaba, aliexpress, amazon, jiji na nyinginezo utakuta zinauza bidhaa na huduma tofauti. Hata youtube, jamii forum, facebook, twitter etc zote ni tovuti ambazo zinatumika kwa ajili ya shughuli na huduma mbalimbali.

Je unaweza na wewe kuanzisha tovuti ya kibiashara?Jibu ni Ndio.Unaweza kuanzisha tovuti ya kibiashara kwa gharama nafuu na huduma ya uhakika bila kuhitaji kuwa na utaalamu wa teknoloji.

Leo ninawaletea mawazo 5 au aina tano ya tovuti ambazo unaweza kuzianzisha na zikakuingizia mapato:
  1. Tovuti za taarifa za fursa zilizoko katika Eneo unaloishi-Aina hii ya tovuti unaitengeneza maalum kwa ajili ya wakazi wa mji wako au kata yako na unakuwa unaweka maudhui ambayo ni relevant/yanawahusu wakazi wa kata yako.
  2. Tovuti ya aina ya pili inaweza kuwa tovuti maalum kwa ajili ya simulizi na hadithi.Unaweza kuwa na tovuti maalum kwa ajili ya simulizi na hadith ambapo unaandika simulizi na hata ukitaka unawezesha kuziuza kama vitabu vya electronic e books kwa malipo ya njia ya mtandao.
  3. Tovuti nyingine unaweza kuanzisha kwa ajili ya kuuza mazao na bidhaa za ufugaji.Unaweza kuamua kuanzisha tovuti ya kuuza kuku wa kienyeji, mbuzi ngombe, kondoo,mayai n.k. n.k.Unakuwa na option ya kuuza akiwa mzima au amechinjwa.
  4. Unaweza kuamua kuanzisha tovuti ya kuuza mazao ya kilimo kama vile nafaka,matunda na mazao mengine.Unaweza kuamua kuuza zao moja au kuuaza mazao ya aina tofauti
  5. Unaweza kuanzisha tovuti maalum kwa ajili ya matangazo ya vifo/ndoa kwa eneo ulipo kwa ajili ya wakazi wa eneo hilo
  6. Unaweza kuanzisha tovuti maalum kwa ajili ya watu kuomba nafasi za kazi kwa kutuma CV zao kisha unazituma kwa waajiri tofuati kwa ajili ya Nafasi z kazi za muda au za kudumu.
  7. Unaweza pia kuanzisha tovuti zinazoelezea historia na wasifu a watu maarufu wa eneo unalokaa kama vile viongozi wa kidini,siasa na kijamii walio hai au waliokufa
  8. Unaweza kuanzisha tovuti maalum kwa ajili ya kuorodhesha sehemu za kula,kulala,kuburudika,kumbi za sherehe na starehe na kutoa taarifa na hata kuzifanya rating ya ubora.
  9. Unaweza kuazisha tovuti maalum inayotoa taarifa kuhusu fursa za uwekezaji na biashara zilizopo katika eneo ulipo
  10. Unaweza pia kuanzisha tovuti maalum kwa ajili ya historia ya kabila/jamii yako ikiwa pia na mafunzo kuhusu mila na desturi zenu na taari nyingine za msingi.
Aina zote hizi za tovuti zinaweza kuanzishwa na kusimamiwa kwa gharama nafuu na uhakika kutoka tzhosts.com.Wasiliana nasi leo kwa email sales@tzhosts.com tujadili namna ambavyo unaweza kuzitumia tovuti hizi kwa jili ya kujiingizia kipato.
 
Habari za wakati huu;
Kama ilivyo kawaida yetu kila wakati tunajitahidi kutafuta huduma bora na nafuu kwa wateja hasa katika uwanda wa teknolojia ya TEHAMA.

Kwa kuzingatia hali ya soko na mahitaji ya siko sasa tumeamua kufanya Maboresho zaidi ya huduma zetu kama ifuatavyo:
  1. Kila Tovuti utakayonunua kwetu itakuwa integrated na features mbalimbali za ziada kukuwezesha kufanya Biashara kwa njia ya mtandao
  2. Kila tovuti itakuwa inafanyiwa SEO mara kwa mara ili kuendelea kuwa mashuhuri mtandaoni
  3. Kila tovuti itakuwa na eneo la News ambako tutakuwa tunakuandikia makala mbalimbali ambazo zinahusu biashara yako ili uweze kuvutia wateja wako
  4. Kila tovuti itaunganishwa na Whatsap kwa ajili ya kusaidia na mawasiliano na wateja wako
Vile vile kwa wamiliki wa kampuni za Mikopo(Microfinance) Tovuti itakuwa na uwezo wa mteja kuomba mkopo kwa njia ya tovuti na kukusaidia katika utunzaji wa kumbukumbu

Kwa wamiliki wa biashara z kuuza bidhaa na huduma tovuti itakyuwa na uwezo wa kuuza bidhaa kwa njia ya mtandao,kuandaa bidhaa kwa ajili ya kufanya delivery,kutunza kumbukumbu za store na hata kuweka rekodi za mapato,matumizi,faida n.k.

Kwa taasisi za elimu utakuwa na uwezo wa kusimamia masuala yote ya kitaaluma na uendeshaji na usimamizi wa taasisi yako kwa urahisi kabisa kama vile ada,malipo,masomo,matokeo n.k.

Tovuti zetu zote zitakuwa na FREE Support kwa wateja wetu wote na zitazingatia ubora na mwonekano mzuri kwa kifaa chochote.

Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa Email: sales@tzhosts.com
 
Habari za Wakati huu;

Je wewe ni mmiliki wa shule?Je Unahitaji mfumo wa usimamizi wa shule yako ambao unaendana na mahitaji yako?Je unahitaji mfumo ambao unaweza kufanya yale tu ambayo unataka ufanye na sio kuwa na mambo mengi ambayo huyatumii?Je unahitaji mfumo ambao utakusaidia tu katika masuala ya ada,usajili wa wanafunzi na taarifa za matokeo ya wanafunzi wako?Au unahitaji mfumo ambao utasaidia walimu kuandaa mipango ya Ufundishaji,Taarifa za Tabia za wanafunzi,Taarifa za shughuli nyingine za wanafunzi,mafunzo ya ziada,n.k.

Kama Jibu ni ndio basi ni wakati sasa wa kuwasiliana nasi ili tuweze kukutengenezea Mfumo ambao utaendana na mahitaji yako na utakuwa wa kipekee.Mfumo utakuwa na utendaji wa kazi ambao unaendana na mahitaji yako na utazingatia zaidi mfumo wako wa sasa wa utendaji.

Mfumo huu utakuwa ni wa gharama nafuu na utakuwa na uwezo wa kutunza na kutuma taarifa muhimu za shule na Mwanafunzi kwenda kwa mzazi au mlezi.

Kwa wamiliki nawasimamizi wa shule na taasisi za elimu ambao wanapenda kuwa sehemu ya kutengeneza mfumo wa usimamizi wa shule ambo unaendana na mahitaji yao mnakaribishwa kushiriki.

Ili kujipatia fursa ya kutengenezewa mfumo huu tafadhali wasiliana nasi kwa email sales@tzhosts.com

Karibuni Sana
 
Weka bei kwa kila mfumo
Mkuu Hii Mifumo ni Customized kwa Kila Mteja na Rate pia ni Custom.Ila Iwapo Unahitaji unaweza Taja Functions zote ambazo unazihitaji kisha tunakupatia Price Quote
 
Weka Bei na demo ,punguza maelwzo marefu
Mkuu Hii Mifumo ni Customized kwa Kila Mteja na Rate pia ni Custom.Ila Iwapo Unahitaji unaweza Taja Functions zote ambazo unazihitaji kisha tunakupatia Price Quote
 
Mkuu Hii Mifumo ni Customized kwa Kila Mteja na Rate pia ni Custom.Ila Iwapo Unahitaji unaweza Taja Functions zote ambazo unazihitaji kisha tunakupatia Price Quote
Acha janja weka bei
 
Leo naleta mjadala mdogo JUU ya teknolojia ya Artificial Intelligence.

Je unfahamu kuhusu teknoljia hii? Je, unaitumiaje?

Teknolojia hii inarahisisha mambo mengi sana katika uwanda wa tehama biashara na elimu.

Tujadili leo namna ambavyo teknoljia hii inaweza kubadilisha maisha na kutuletea maendeleo
 
Back
Top Bottom