Paul Makonda aitwa kwenye Kamati ya Maadili ya CCM

Hakawii kulia huyu, walimwuliza Kuhusu vyeti akaanza kwenda nyumba za ibada kulialia
 
Hivi jitu linaloua watu, kutrka na kupora mali za watu, lina uzalendo gani? Huyu ni jambazi. Bahati mbaya tu nchi yetu inaendeshwa kimagumashi. Hili jitu lilistahili kuwa jela.
Mlimezeshwa sumu na wapinzani wa JPM na nyie mkameza kama zilivyo alimuua nani fungua shauri mahakamani si una ushaidi zaidi zaidi toa porojo hapa kama ni USA ndo nchi inayoongoza kwa mauji
 
Kiongozi yeyote lazima awe na marafiki na maadui pia ndani ya mifumo na nje ya mifumo. Kwa vyovyote lazima Makonda atakuwa ameshajua nini kinaendelea kama ni tuhuma na majibu yake ameshayaandaa. Hana kesi ya criminal offense, hivyo wapo walioupande wake pia. Ktk Kila uamuzi hata kama umetolewa na Rais lazima ziwepo pande mbil zitakazokuwa na mitazamo tofauti. Let always the natural justice prevail ndo maana ameitwa. Reaction ya tume itategemea accusations alizonazo atazijibu vipi, hivyo let's not pre empty the fate of the circumstance.
 
CCM na maadili wapi na wapi
Sema kamati ya madili imemuita mwana madili mwenzao.
 
Mbona namwona hapo viwanja vya leaders club akiaga mwili wa Gardner Habash ambao unasafirishwa kwenda rombo kwa mazishi?
 
Mbona Mwananchi Digital wameonyesha picha ya Bashite akiwa msibani kwa Gadner hapo viwanja vya Leaders Club!

Kwamba ameshotoka DODOMA tayari?
 
Leo makonda alikuweko kwenye msiba wa Habash. Sijui anaeatafuta CMG kitu gani.
 
Makonda ni bomu. Ila mimi ningekuwa mtumishi wa umma aje anga zangu pangechimbika. Bora nirudi kulima kuliko kudhalilishwa na huyu mpambavu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…