MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Ila mzee wa Kino tukubaliane huyu jamaa kama ni uchawa kavuka level zote. Ni supreme chawa. Unaambiwa kuanzia Mkapa alikuwa anampenda... yaani marais wote isipokuwa mwinyi na Nyerere walimkubali...Ngoja tumsubiria mwamba makonda tumsikie anasemaje
Ova
Nitaeleza vizuri na kwa kina nikitulia maana nilikuwa shambani na tangia jana jioni usiku nilikuwa sijaingia kabisa mitandaoni.Komredi Lucas Mwashambwa una maoni gani?
Mama kauli mbiu yake eti madai yake hana kundi, wote ni wa kwake, Majambazi, Mafisadi, Machawa, Mashoga, Wasagaji n.k, wote ni wa keake na wote anawapa nafasi lwenye uongozi wake.Huyu mama naye sijui ni takataka ya wapi, hili jitu halifai hata kuongoza mtaa analing'ang'ania la nini? Halina maadili ya utumishi hata kidogo! Na linaonesha limetoka familia hohehahe sana!
😄Ila mzee wa Kino tukubaliane huyu jamaa kama ni uchawa kavuka level zote. Ni supreme chawa. Unaambiwa kuanzia Mkapa alikuwa anampenda... yaani marais wote isipokuwa mwinyi na Nyerere walimkubali...
Sawa Acha waingie mkenge ila hatutanyamaza. Huyu kichaa tulisema tangu mwanzo kuwa hafai kuwa kiongozi. Matokeo yake yanaonekana. Hakuna cha rejesha chama hewani hapo, jamaa kazingua kinomaHamna kitu hapo! Tuna rejesha chama hewani, Mbinu za kivita hizo!
Watu wamesha ingia mkenge tayari
Sijaelewa hapo 2.2 (d) makamu wa rais tena? Hizi katiba ziangaliwe upya hata siku chama kikiwa hakipo madarakani.
Hujaingia huna bandoNitaeleza vizuri na kwa kina nikitulia maana nilikuwa shambani na tangia jana jioni usiku nilikuwa sijaingia kabisa mitandaoni.
Hakuna kitu hapo, ni mkakati wa kumsafisha!Aelewe vizuri. Ni kamati ya "maadili" na siyo ya "madili"!
Ngoja tuone.Hakuna kitu hapo, ni mkakati wa kumsafisha!
Hahaha huyo kafunikwa kwa damu ya Yesu! Watashindana sana lakini hawatashinda!Makonda kwa taarifa za mwananchi media kafika saa tatu dodoma kahojiwa masaa matatu, yaani kamaliza mahojiano saa sita +, saa nne alikuwa msibani dar, usijekuta walikuwa wanahojiana na fisi, hawa watu wa misungwi sio wazuri kabisa
Wacha eeh! Na pua unabana kabisa?!Aliyemteua tahira , aliyeteuliwa tahira
😅Mbona Lissu hajawai taja waliompiga liasasi na nyie mpo kimya mmetuliza matikiti?
Raia na watumishi wa umma wa Nchi za watu wenye akili hawapo Kama TanzaniaLabda kukuongoza wewe na wengine jamii yako! Ila viongozi bora kwa nchi za watu wenye akili hawana uongozi kama wa Makonda.
ANGEKUWA ANAJIHESHIMU ANGKUWA ANAKULA WABUNGE WA VITI MAALUMU? HUYO LOFA SANA MBOWEHeshima kitu cha bure, mbowe anaweza kuwa mkubwa kwa baba yako kiumri.
Jaribu kuwa na staha.
Wapambanie walau hilo ishu za makonda wanamuongezea tu Credt jamaa,yaani anaonekana mwiba mchungu.Leo kuna maandamano kupinga sheria mbovu za uchaguzi; haijulikani kama watashiriki uchaguzi chini ya sheria hizo japo mwenye chama kishasema wataweka wagombea kila mtaa/kitongoji hadi jimbo.