Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Amekusahaulisha wewe. Ya Makonda ni matokeo ya kazi nzuri ya Zitto na Lissu. TULIWAONYA SANA.
 
Uzuri hii ni 2020
Election Year

mtihani how many people can vote for...
And does voting even matter?.
Tusubiri tuone
 
Naona mambo ya zimbabwe yakiinyemelea tanzania.

Hapo CIA washafanya uchunguzi matukio ya kutekana halafu wakapata jibu wahusika wakuu wakina nani.
mkuu nakubaliana na wewe kwa sababu sikumbuki hii kuwahi kutokea Tanzania. Bila shaka kuna mengi walioyagundua!
 
Hivi hii dhana ya kwamba mikutano ya kisiasa ni uvunjifu wa amani mmetoa wapi nyie? Mbona kwa awamu zote 4 za nyuma mikutano ilifanyika na amani ilikuwepo? Acheni visingizio semeni hamtaki kukosolewa
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toa ujinha wako hapa waliosaini mikataba ya kimyonyaji si watamzania ma waafrika kwa maslahi ya wao binafsi na watu wao wa karibu?? Sio mawaziri na marais wa nchi hizo??
 
Mashoga wamemponza RC wetu
Hakuna cha ushoga wala nini, acheni hicho kisingizio cha kijinga, Ukweli kilichomponza Daud Bashite ni udikiteta unyanyasaji wao dhidi ya wapinzani na watu mbalimbali wakiwemo akina Yusuph manji walioporwa mali zao viwanja vyao na mengineyo mengi mabaya zaidi.
 
Hii inamuuma sana. Alikua anaendaga sana US kula bata. Hata mwezi uliopita alitaka akale christmas na mwaka mpya huko wakamkatalia visa.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mtu asimame na miguu yake
Halafu ukisimama wewe inatosha
 
mkuu nakubaliana na wewe kwa sababu sikumbuki hii kuwahi kutokea Tanzania. Bila shaka kuna mengi walioyagundua!
Kwa kweli Mungu atusaidie

penye kurekebisha wahusika warekebishe
Walipo sahihi basi waendelee

ila nadhanj diplomasia ni nzuri kuliko mabavu hasa mbele ya watu wanaokuzidi uwezo dhahiri

Kama taifa nadhani bado safari ni ndefu
Tumtizame Zimbambwe.,
 
Toa ujinha wako hapa waliosaini mikataba ya kimyonyaji si watamzania ma waafrika kwa maslahi ya wao binafsi na watu wao wa karibu?? Sio mawaziri na marais wa nchi hizo??
Hebu mshangae
Kwani hao wazungu walitushikia mitutu ya bunduki Wakati viongozi wetu wanasign
Sisi waafrika tunasnitchiana tangu enzi za utumwa
 
Mashoga ndo sababu kubwa, jamaa kawapiga vita waziwazi, Manji ni Nani kulishawishi taifa kama lile???
 
Consult your Google by writing "who is USA" halafu rudia kusoma comment yako ulioandika.
Labda nikuulize Kuna mikutano inayofanyika bila kufuata Taratibu husika??
Hebu tuliza akili na utafakari kwa kina ndugu

Halafu ni serikali sio serikari
Huwezi ukaniambia niende google wakati nina uhakika na point nilizo ziandika na ninaamini ninacho kiamini,
Wewe ndio ungetuambia Who's USA na kama mikutano inayo fanyika ina vibali kwanini imekuwa ikizuiwa?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We jamaa unatumia akili sana kumpongeza Pompeo.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my TA-1024 using Tapatalk
 

Tulipokuwa tunawaambia kuwa Kolomije boy anahusika na madhila ya akina Tundu Lissu, Azory Gwanda, Ben Saa 8, et al wengi mlikuwa kama mpo usingizini!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…