Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Wewe waache tu wamarekani, tuwapiga shangazi zao mpaka wanyooke๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
ngoja nikupe siri uliyokuwa uhifahamu "sisi tuna uwezo wa kupigana na dunia nzima na tukashinda(one state army), hata USA ajiunge na nchi zote duniani"
usimwambie mtu yoyote juu ya hili
 
Ujue kila mtoto chini ya miaka 5 huwa anaona baba yake bonge la swaziniga. Yaani huwa wanaamini hata lije jambazi la aje baba atalibonda.

Mdogo wangu ukikua kidogo tu utatambua hata huyo baba yetu na swaziniga wetu anawaogopa kishenzi hao jamaa.
๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Hivi Bashite mwenyewe alivyo mwepesi wa kutoa matamko baada ya zuio hilo hadi sasa hajatoa kauli yoyote inayohusiana na huko kupigwa marufuku?
Atakua anasubiri Jumapili aende Church akalie,poor him ametu cost wenzake hadi saivi tumepigwa pini na America.Nadhani Yajayo yanafurahisha zaidi tusubiri tu[emoji22]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh chief hiki kingereza chako kiboko. Ungetuandikia kiswahili tungekuelewa
The thred was writen on English, I like very much those language thus why I had to coment using the English language. You should right you're coment on English too.
 
ngoja nikupe siri uliyokuwa uhifahamu "sisi tuna uwezo wa kupigana na dunia nzima na tukashinda(one state army), hata USA ajiunge na nchi zote duniani"
usimwambie mtu yoyote juu ya hili
Nakuapia hiyo Siri nitakufa nayo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
No comment, ila nimecheeeeeka mpaka luku ikakata, huu sasa ni utani wa mwaka.
 
Ni upunguani wetu sisi wenye ngozi nyeusi.
Kila siku tunapiga mipicha na kutuma fb, Twitter na WhatsApp hata bila kujua hiyo mitandao Ni ya akina Nani na Nani Yuko nyuma ya hii mitandao .
Tukitaka kufanya uhalifu,sisi watu weusi tunatumia hii mitandao mfano call,sms,na WhatsApp kutekeleza uhalifu bila kujua aliyepo nyuma ya hii mitandao Ni Nani?.
Kama umefanya uhalifu mfano mauaji,uvamizi na hata wizi na maandalizi ukayafanya kupitia hii mitandao je Marekani ikikutafuta itakukosa?.
Tusitetee mambo ya kishenzi ndani ya nchi yetu,tusimamie maadili ya kitanzania.
 
Mbombo ngafu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla hujaendelea kuandika hembu tambua kuwa ukizuiwa Marekani umezuiwa ulaya na kwa nchi rafiki zote kwa Marekani mfano Israel. Nadhani hufahamu kuhusu maombi ya visa na interviews za visa application

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ