PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Kweli Mkuu ikiwezekana tuwatimue na balozi zaoKama Wamarekani wamepiga marufuku viongozi wetu kwenda kwao na sisi tupige marufuku viongozi wao wasije Tanzania, hakuna namna.
Unamaanisha Usariver au United states?Hivi Makonda keshawahi hata kufika USA kweli?
Hongereni Marekani kwa kupaisha jina LA kijana wa KOLOMIJE mmemupandisha chati saana lakn pia mmemsaidia Rais maana hata yy alishawakataza kutosafiri mmemusaidia
Sawa kabisa, waondoke😂😂😂😂😂
Nani kakwambia Watanzania ni Watu wa Vurugu na pulukushani.Tuuane kwa faida ya nani?? Nmeshaeleza wakitaka kutugombanisha hawahitaji kumuua Lissu ila wanatuminya misaada na vikwazo juu mpaka nchi inakua hali tete tunagawanyika na kuingia kwenye machafuko. Yaani huwezi mchonganisha ombaomba wakati ukimnyima mia tu ni adhabu tosha.
Kuhusu Zitto kuomba msaada kwa mabeberu..... Nadhani umeona internal pressure haijazaa matunda kuwaamsha watawala na muda umeisha, ssa Zitto afanyeje?? Kwahiyo afe kisiasa na upinzani ufe kisa tu uzalendo??
Mkuu it's a game of power..... Hata Nyerere alipotaka kupinduliwa aliwaomba msaada mabeberu kutuliza hali, ila Zitto anageuka msaliti!! Mandela naye aliomba msaada kwa mabeberu kuiwekea vikwazo South Africa je naye alikua msaliti??
Let's be real wakuu, Zitto and whoever alietuchongea kwa mabeberu had no choice.
Kuna mahali hapako vizuri kichwani.Hilo Jambo linataka kukuzwa bila sababu, hizi Ni tuhuma hakuna mahali Makonda kashitakiwa.
Ni vyema Makonda aombe kukutana na Balozi wa Marekani ili amweleze kosa lake ni Nini, na Kama Kuna tuhuma basi apewe muda azijibu.
Baada ya hapo iundwe time ya pamoja Kati ya Marekani na Tanzania ipitie tuhuma zake na suluhisho lake report ipelekwe pande zote mbili kwa utekelezaji.
Baadae Makonda aonane na Pompeo amuombe radhi kwa tuhumu za kweli na tuhuma za uongo amweleze kuwa amemsamehe kwani na yeye ni binadamu.
Hatuhitaji kugangamala kama Albashir, tunahitaji kuwa wanyenyekevu na wasikivu, huo ndio uungwana. Uhuru Kenyatta pamoja na kuwa ni Rais alienda ICC na akahudhuria kesi na Sasa Yuko huru.
Pompeo hajawahi onana na Makonda Wala hamjui Ni maneno ya kuambiwa tu.
Binafsi maovu ya Makonda siyajui, najua anahamasisha ujezi wa shule na zahanati. Anaendesha harambee za tiba za moyo kwa watoto. Anapambana na majizi na wala madawa ya kulevya. Anapambana na uzembe kazini.
Amueleze Pompeo kuwa Hawa wanaompiga vita ni wachuuzi wa madawa ya kulevya. Magenge ya wezi maarufu Kama panyaroad. Matapeli ya viwanja na wabadhirifu wa mali za umma.
Juzi kati kondom tu zilikua hadimu watu wakaanza kulialia.
Swali: Hivi una umri gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukishapigwa ban na marekani hujue na nchi nyingine itakuwa issue kupata visa.
Sent using Jamii Forums mobile app
I think the next one is DPP. Biswalo Mganga sali sana huko ulipo.
Kesi za kina Kabendera na Tito na kina Zitto zitaenda na wewe
Furaha ya nini mkuu. Ukiwa na hela hapa bongo ni marekani tosha. Na ukiwa huna kitu na upo marekani basi unakuwa kama upo jahanam. Think b4 you talkLeo karibuni pale Kwetu Pazuri Tabata natoa oda ya bia
Nina furaha isiyo na kifani
Ana ubalozi hapa na moja ya kazi makachero wa ubalozi ndo hizo. US ndiyo group leader duniani ikiwa dunia ni group moja.Duh! Pompeo anamjua hadi standard seven Bashite?
Na akijiroga akaenda, anadakwa huko huko juu kwa juuMakonda hata akiitwa na Pompeo hawezi kwenda, ni sawa na Shetani kuitwa na Mungu
Tuliwaambia Makonda ni mtekaji na mtesaji mkatia pamba masikuoni. Wabunge wa upinzani wameongea bungeni mnawatuma mavuvula kina Mlinga na Msukuma kukejeli. Jana Spika asiye na aibu anasema mambo yetu tujadili wenyewe utafikiri kuna siku aliwahi kuwasikiliza wapinzani zaidi ya kuwakejeli.Pompeo kuziwiwa kupigwa nyelo ndo tatizo
Makonda alikemea ndoa za nyelo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo mbona mengi.The trending news is that letter, which I personally have not established its authenticity, said to have originated from the US foreign office. I am taking time to imagine what exactly has the Dar RC done to a level of being classified a human right violator in the country. Nothing, except two possibilities: war against drug dealers and homosexuality.
Self scrutiny exonerates drug dealers war, which is also a menace in the US unless, US feels fine when practiced in Africa or say, in any black race nation. Then to the second, likely to be the reason is homosexuality. This is somehow laughable! Africans, Tanzanians will never support you on this in any near future civilizations.
If truly US think Makonda is wrong by going against homosexuality, that will be an overwhelmingly yes vote to him from Tanzanians. We love such people! To the US, that will be a big misjudgment of our thinking. It is saying to hell with your Washington if the pre-requisite is homosexuality. Let's get the US confirmation.
Weka hapa tamko la Marekani likitoa sababu uzisemazo, usilete mambo ya bunge la CCM kufanya kazi tuhuma za mtandaoni badala ya kuwasilisha kauli ya WB ikisema imeamua kutokana na ombi la Zitto.Demokrasia barani Afrika ni ya kuogopa kama ukoma, mwenye hoja ya kupinga aje ulingoni
Demokrasia ndani ya Afrika ni nyenzo ya ukoloni mamboleo. Hivi umeshawahi kujiuliza ni kwanini mabepari/ mabeberu hupenda sana kuona nchi za Afrika zikizingatia demokrasia na haki za binadamu? Na hawakupi msaada kama huzingatii demokrasia na haki za binadamu (wapinzani). Jibu ni rahisi sana...www.jamiiforums.com
Nimefuatilia comments za waTz katika majukwaa mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii; kwa kweli niseme kwa dhati kabisa kwamba nimeshtushwa na kushangazwa na kusikitishwa na kitendo cha waTz kushangilia katazo hilo.
Makonda kapigwa hilo zuio kutokana na marufuku aliyoiweka kwa wanaume kuzibuana makalio na mitaro ya maji machafu, and rightfully so! Hivi hawa manguruwe walitegemea sisi tukubali ushoga kabisa, kweli?!!
Pia ifahamike, hayo masuala ya ushoga ni kama sababu tu tunayotafutiwa, ila kuna jambo lingine lipo nyuma ya pazia na hiyo ya ushoga ni gelesha tu. Marekani huwa haingilii mambo ya ndani ya nchi bila kuwa na agenda za maslahi yake anazokua amezificha, tuwe makini.
Ila kubwa kabisa, nimegundua wanaosapoti ushoga katika nchi hii ni wengi sana, nahisi 70% yaWatz wote ni mashoga, i fear so, ngoja niendelee kufuatilia comments huko mitandaoni.
Demokrasia barani Afrika ni ya kuogopa kama ukoma, mwenye hoja ya kupinga aje ulingoni
Demokrasia ndani ya Afrika ni nyenzo ya ukoloni mamboleo. Hivi umeshawahi kujiuliza ni kwanini mabepari/ mabeberu hupenda sana kuona nchi za Afrika zikizingatia demokrasia na haki za binadamu? Na hawakupi msaada kama huzingatii demokrasia na haki za binadamu (wapinzani). Jibu ni rahisi sana...www.jamiiforums.com