Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Paul Makonda awa kiongozi wa kwanza kuzuiwa kuingia Marekani kwa kuwanyima watanzania HAKI YA KUISHI

Hongereni Marekani kwa kupaisha jina LA kijana wa KOLOMIJE mmemupandisha chati saana lakn pia mmemsaidia Rais maana hata yy alishawakataza kutosafiri mmemusaidia

Kuna sifa mbili, sifa njema/nzuri na sifa mbaya.
Kutangaziwa Dunia kuwa Makonda kapiga stop kuingia Marekani kwangu mimi naona ni kutangazwa kwa sifa mbaya, hivyo hata akijulikana, basi anajulikana kwa ubaya.
Pia nchi yetu imejulikana kwa ubaya, na adhari zake ni kubwa kuliko watu wanavyo fikiri. Nchi zote wanachama wa marekani wataungana na marekani kufuatilia na kumpiga stop huyo makonda kuingia nchini mwao
 
mkuu wewe hamu yako Tanzania ikione cha mtema kuni. Kwa uhakika hiyo ndio dhamira yako otherwise usingelimpush Magufuli aoneshe umwamba wake kwa US wakati unajua vizuri chochote kitakachotoka mdomoni kwa huyu mzee kitakua ni petroli ktk cheche ya moto. Sitegemei kuwa litakuwa unalolitaka liwe kwa sababu na Magufuli pia anajua ilipofikia US hawatanii.
 
Tuuane kwa faida ya nani?? Nmeshaeleza wakitaka kutugombanisha hawahitaji kumuua Lissu ila wanatuminya misaada na vikwazo juu mpaka nchi inakua hali tete tunagawanyika na kuingia kwenye machafuko. Yaani huwezi mchonganisha ombaomba wakati ukimnyima mia tu ni adhabu tosha.

Kuhusu Zitto kuomba msaada kwa mabeberu..... Nadhani umeona internal pressure haijazaa matunda kuwaamsha watawala na muda umeisha, ssa Zitto afanyeje?? Kwahiyo afe kisiasa na upinzani ufe kisa tu uzalendo??

Mkuu it's a game of power..... Hata Nyerere alipotaka kupinduliwa aliwaomba msaada mabeberu kutuliza hali, ila Zitto anageuka msaliti!! Mandela naye aliomba msaada kwa mabeberu kuiwekea vikwazo South Africa je naye alikua msaliti??

Let's be real wakuu, Zitto and whoever alietuchongea kwa mabeberu had no choice.
Nani kakwambia Watanzania ni Watu wa Vurugu na pulukushani.
Labla hzo vurugu uzifanye ww msaliti na Zitto wako .
Unafikiri zito yeye anataka kuchumia Tumbo not anymore else,
Sizani kama ninaweza mweka Mbowe at 100 best leader in Tz list but katika list ya viongozi wasaliti hata chadema wanamjua.

A part of Mabeberu waliisaidia South toka lini instead wenyewe ndo wali colonize SouthA. , you talk you don't understand

Toa mfano impact ya Mabeberu.
Mnasema Misri , hamjui dam ilimwagika
Mnataka kumwaga dam za wenzenu walioko tz ,
Wakati mnakula raha ulaya.


Kitu ambacho sikipendi upinzani ni kimoja
"Ndoto yao ni Watanzania tuuane tupigane ili waichukue Nchi"
Wakati wanatuchochea unaweza wenyewe wako nje wanakula maisha.

Watanzania tuache uwehu tutauana bila sababu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hilo Jambo linataka kukuzwa bila sababu, hizi Ni tuhuma hakuna mahali Makonda kashitakiwa.

Ni vyema Makonda aombe kukutana na Balozi wa Marekani ili amweleze kosa lake ni Nini, na Kama Kuna tuhuma basi apewe muda azijibu.

Baada ya hapo iundwe time ya pamoja Kati ya Marekani na Tanzania ipitie tuhuma zake na suluhisho lake report ipelekwe pande zote mbili kwa utekelezaji.

Baadae Makonda aonane na Pompeo amuombe radhi kwa tuhumu za kweli na tuhuma za uongo amweleze kuwa amemsamehe kwani na yeye ni binadamu.

Hatuhitaji kugangamala kama Albashir, tunahitaji kuwa wanyenyekevu na wasikivu, huo ndio uungwana. Uhuru Kenyatta pamoja na kuwa ni Rais alienda ICC na akahudhuria kesi na Sasa Yuko huru.

Pompeo hajawahi onana na Makonda Wala hamjui Ni maneno ya kuambiwa tu.

Binafsi maovu ya Makonda siyajui, najua anahamasisha ujezi wa shule na zahanati. Anaendesha harambee za tiba za moyo kwa watoto. Anapambana na majizi na wala madawa ya kulevya. Anapambana na uzembe kazini.

Amueleze Pompeo kuwa Hawa wanaompiga vita ni wachuuzi wa madawa ya kulevya. Magenge ya wezi maarufu Kama panyaroad. Matapeli ya viwanja na wabadhirifu wa mali za umma.
Kuna mahali hapako vizuri kichwani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pompeo kuziwiwa kupigwa nyelo ndo tatizo
Makonda alikemea ndoa za nyelo

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuliwaambia Makonda ni mtekaji na mtesaji mkatia pamba masikuoni. Wabunge wa upinzani wameongea bungeni mnawatuma mavuvula kina Mlinga na Msukuma kukejeli. Jana Spika asiye na aibu anasema mambo yetu tujadili wenyewe utafikiri kuna siku aliwahi kuwasikiliza wapinzani zaidi ya kuwakejeli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The trending news is that letter, which I personally have not established its authenticity, said to have originated from the US foreign office. I am taking time to imagine what exactly has the Dar RC done to a level of being classified a human right violator in the country. Nothing, except two possibilities: war against drug dealers and homosexuality.

Self scrutiny exonerates drug dealers war, which is also a menace in the US unless, US feels fine when practiced in Africa or say, in any black race nation. Then to the second, likely to be the reason is homosexuality. This is somehow laughable! Africans, Tanzanians will never support you on this in any near future civilizations.

If truly US think Makonda is wrong by going against homosexuality, that will be an overwhelmingly yes vote to him from Tanzanians. We love such people! To the US, that will be a big misjudgment of our thinking. It is saying to hell with your Washington if the pre-requisite is homosexuality. Let's get the US confirmation.
Mambo mbona mengi.
Wa2 wasiojulikana, kuzuia mikutano ya siasa, kukamatwa idris sultan, kujifanya wewe ndo sheria nk.

Pompeo CIA yule. Wanaweza kukupa profile ya unachofanya kila siku, simu zako, internet nk. Ukiambiwa wana "credible evidence" uelewe mambo makubwa!!!
Samahan lakini nimeingia kimatumbi!!!
 

Nimefuatilia comments za waTz katika majukwaa mbali mbali kwenye mitandao ya kijamii; kwa kweli niseme kwa dhati kabisa kwamba nimeshtushwa na kushangazwa na kusikitishwa na kitendo cha waTz kushangilia katazo hilo.
Makonda kapigwa hilo zuio kutokana na marufuku aliyoiweka kwa wanaume kuzibuana makalio na mitaro ya maji machafu, and rightfully so! Hivi hawa manguruwe walitegemea sisi tukubali ushoga kabisa, kweli?!!

Pia ifahamike, hayo masuala ya ushoga ni kama sababu tu tunayotafutiwa, ila kuna jambo lingine lipo nyuma ya pazia na hiyo ya ushoga ni gelesha tu. Marekani huwa haingilii mambo ya ndani ya nchi bila kuwa na agenda za maslahi yake anazokua amezificha, tuwe makini.
Ila kubwa kabisa, nimegundua wanaosapoti ushoga katika nchi hii ni wengi sana, nahisi 70% yaWatz wote ni mashoga, i fear so, ngoja niendelee kufuatilia comments huko mitandaoni.

Weka hapa tamko la Marekani likitoa sababu uzisemazo, usilete mambo ya bunge la CCM kufanya kazi tuhuma za mtandaoni badala ya kuwasilisha kauli ya WB ikisema imeamua kutokana na ombi la Zitto.
 
Back
Top Bottom