Paul Makonda kuitetemesha na kuitikisa mikoa kumi mfululizo bila kupumzika

Kwa sasa wananchi wana kiu ya kumpokea na kumsikiliza Mheshimiwa Makonda
Wananchi labda wajinga wajinga machawa na wenye njaa Kali sana kama wewe .
Mimi pia ni mwananchi ila siwezi kabisa kuwaza kumsikiliza huyo kilaza bashite
 
Huyo ni takataka, dhulumati wa jengo la GSM, magari ya watu, na marekani wamem blacklist kwa kudhulumu haki ya kuishi
Pumbavu, peleka mahamani wewe

GSM na waliodhulumiwa wote ni wajinga kwani? Hawajui mahali haki zao zinapatikana?
 
Wananchi labda wajinga wajinga machawa na wenye njaa Kali sana kama wewe .
Mimi pia ni mwananchi ila siwezi kabisa kuwaza kumsikiliza huyo kilaza bashite
Mheshimiwa Makonda anasikilizwa na wenye akili Timamu na wanaojitambua na siyo watu aina yako waliojikatia Tamaa na kupoteza matumaini ya kila kitu.
 
Chama cha Mapinduzi ni chama kikubwa kilichokamilika kila idara na chenye kila kitu.hakiwezi kukwama kwa chochote kwa sababu ya chochote ka vilivyo vyama kama CHADEMA ambavyo kupata mafuta tu ya helikopta inakuwa ni mgogoro wa kukata na shoka.
Ni kweli, mfano halisi wa ni hii kutokukwama kwenye mgao wa umeme, na Sasa mfumuko wa bei hapa nchini.
 
Uliyejikatia tamaa ya maisha ni wewe ambaye umeamua kuwa chawa sio bure utakuwa una laana ya wazazi wako.
Thread nzima imejaa comment za kukupinga huna hata chembe ya aibu wewe mlaaniwa muosha mbwa
Wewe huna akili na pia umelaaniwa
Mheshimiwa Makonda anasikilizwa na wenye akili Timamu na wanaojitambua na siyo watu aina yako waliojikatia Tamaa na kupoteza matumaini ya kila kitu.
 
Bado anaamini kuwa Gwajima ni muuza unga?
Maana alimtaja katika vyombo vya habari na hadi leo hajakanusha tuhuma zake kwa Gwajiboy.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa umeongea point Sana big up
 
Kazi yangu ni mkulima kazi ya heshima kabisa tangia kuumbwa kwa ulimwengu.
Wewe tahahira kilaza kazi yako ni uchawa tena ule wa kijinga tafadhali machawa akina mwijaku na baba levo wanatefanya uchawa ili kupata fedha
Ila wewe ni chawa kondom
 
Hela za kujenga Masaki nyumba ya ghorofa kadhaa aliitolea wapi? Mshahara wa mkuu wa mkoa hauzidi au hafiko milioni 7, Alimdanganya GSM kwamba JPM anahitaji nyumba na GSM akaijenga akajua ni ya JPM.

Amefungua phamarcy kila mkoa nchi nzima.
Ana akili ndiyo maana
 
Eti bila kupumzika. Akilala hapumziki? We jamaa sijui ni kiumbe wa namna gani!
 
Wewe unadhani ana akili huyo! Usibishane na zero brain yeye anajua maisha ni mshahara! Nchi hii kuna vijana wapumbavu wengi sana!
Acha kutukana watu pimbi wew unataka kutuambia wew unajua nini
 
Uliyejikatia tamaa ya maisha ni wewe ambaye umeamua kuwa chawa sio bure utakuwa una laana ya wazazi wako.
Thread nzima imejaa comment za kukupinga huna hata chembe ya aibu wewe mlaaniwa muosha mbwa
Wewe huna akili na pia umelaaniwa
Wewe ndiye umelaaniwa ndio maana kinywa chako kinanuka matusi utafikiri umeopolewa kwenye shimo la choo
 
..Bashite atatetemesha makalio yake ktk mikoa kumi.

..tujiulize kule ambako ameshapita maisha ya wananchi yamebadilika kwa kiwango gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…