Ukimtoa kofia, bendera na hiyo trouser chini ni kama mshabiki wa Yanga tu! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Kwa kuwa hakuna wa kumfanya kitu ni bora nikae kimya!!Mkuu wewe ulitaka afanyajwe?
Neema za MuumbaDuuuh,jamaa kamzidi demu tako!Mwenye kale kapicha Manula akicheki mzigo atuwekee hapa!
Leo Paul Makonda ameporomosha maneno mazito kwa wanaowatetea wanaopata mimba mashuleni kwa kusema kuwa akili zao zinawatosha kuvaa nguo tu.
Pamoja na hayo pia amesema watu hao ni wajinga na wapumbavu.
View attachment 1346418
Sheria za kumfanya chechote zipo, ila haziwezi kufanya hivyo kama hakuna ushahidiKwa kuwa hakuna wa kumfanya kitu ni bora nikae kimya!!
Masoud amekipatia kibindankoyeChura![emoji30][emoji30][emoji30] View attachment 1346445
well saidMimba uingia kwa vyanzo vingi ikiwemo kubakwa ,kulagaiwa usafiri wa bodaboda hasa vijijini,tunapiga vita mimba lakini tusiwanyime haki ya elimu waliopata bila kutarajia
Kama ilani ya uchaguzi ya ccm ndio iliweka jambo hili na bila kufutwa Makonda anasema hivi basi ni dhahiri MTU ALIYEFELI MTIHANI WA DARASA LA 4 , akarudia na baadaye akafeli DARASA LA 7 huyu hastahili kuwa hata kiongozi wa familia yake mwenyewe .Leo Paul Makonda ameporomosha maneno mazito kwa wanaowatetea wanaopata mimba mashuleni kwa kusema kuwa akili zao zinawatosha kuvaa nguo tu.
Pamoja na hayo pia amesema watu hao ni wajinga na wapumbavu.
View attachment 1346418
Niliota kuwa kuna uchawi wa kuweka jina lako na la mume wako kwenye chupa na kisha mtaalamu anaifunga ile chupa inatupwa katika kina kirefu cha bahari. Hapo kukuacha ni mpaka kifo kiwatenganishe.Kuna ' Members ' kama Watatu hivi hapa hapa walianzisha ' threads ' zao wakijiaminisha kabisa na wakitaka Makonda ' atumbuliwe ' upesi na nikawaambia kuwa wanapoteza muda Wao na hilo kamwe halitowezekana. Kwa wenye Akili sawasawa Vichwani mwao watakubaliana na Mimi kuwa hadi Makonda anakuja na Kauli hizi za Nyodo na Dharau ni kwamba kuna Mtu anampa Kiburi, Jeuri, ana Faidika nae, anamlinda na ameshamuhakikishia kuwa hatomtoa hadi atakapomaliza Muhula wake huu wa Kwanza. Kama ni Makonda ' Kutumbuliwa ' hapo alipo hilo lingefanyika Siku nyingi sana ila jiulizeni ni kwanini ' hatumbuliwi ' ila wale wanaofanya ' just minor blunders ' za Kiutendaji hawacheleweshwi ' Kutumbuliwa ' katika nafasi zao? Namalizia kwa Kusisitiza kutokana na sababu zangu za ndani kabisa kuwa RC Makonda ' hatotumbuliwa 'ng'o hapo alipo na atamaliza pamoja na ' Mteuwaji ' wake hadi mwisho wa Muhula wake. Mkiambiwa kuwa kuna Watu wanajua ' Kuroga ' vizuri nchini Tanzania muwe mnaamini na mnatuelewa.
😃😃
Kajenga hoteli ipi mkuu?Kujenga hoteli basi anajiona yeye kamaliza mziki vikwazo yeye haumhusu unawahusu Wananchi
hili jamaa kweli zwazwa... anazidj kutia utambi kwenye petrolNdio katumwa aseme hayo?Asitake kuhamisha attention huyo muuaji,ajibu tuhuma zake kwanza zinazomkabili,shwain!
Kwa kauli hiyo,mnadhani diplomasia itafanya serikali ipate pesa za WB?Ndio kaharibu kabisaa huyo mpumbav!
na walioandika ilani ya ccm na kuinadi na waliochagua ilani ya ccm 2015?Leo Paul Makonda ameporomosha maneno mazito kwa wanaowatetea wanaopata mimba mashuleni kwa kusema kuwa akili zao zinawatosha kuvaa nguo tu.
Pamoja na hayo pia amesema watu hao ni wajinga na wapumbavu.
View attachment 1346418
Kwani na wewe umeshaenda town bila kuoga?Hivi ile issue ya kuoga kabla ya kwenda town bado inasimamiwa?
So you mean a beggar has no choice?Yeye si ni Bashite jina la Makonda angelipata wapi isingekuwa fulsa za Mkapa?
Kuacha watu kutumia majina ya wengine?
Makonda ana ufala mwingi sana wala akumbuki kuwa alikuwa mfunga viatu vya mtoto wa kikwete.
Imagie Bashite angekuwa wapi leo duh. nchi inaangamia kwa kuruhusu watu kama yeye kufoji vyeti vya wengine na kuwanyima watu makini nafasi ya kwenda shule.
Huwezi ukahitaji mkopo halafu wewe ukapanga masharti ya kijinga mkopo utaukosa na wa kulaumiwa ni wewe.