Umeandika ukweli ila vichwa Maji hawatakuelewa waambie Wanaume wenzio waache kutanguliza pesa mbele kama kigezo cha kupendwa au kumtuliza Mwanamke.Unasomesha demu kwani wewe Bodi ya Mikopo? Hana kwao?
Ukihudumia ukoo mzima hapo wewe ndiye mwenye matatizo.
Hiyo ni kuonyesha Msisitizo ya kwamba "MWANAMKE HANA AKILI TIMAMU"Kuandika kwa herufi kubwa Ina maana umepaniki 🐒🐒🐒
Unamununulia iphone 15 pro max
Unamfungulia grocery
Unamununulia kagari IST
Mwisho wa siku unagongewa na wahuni wanaununua bia za buku Jeri[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], ndo maana tuliambiwa tuishi na wanawake kwa akili
[/QUjuz kati nilitaka kutanyiwa hvyonna demu Malaya fkn
Majibu yake yanatuhusu hadi sisi wafuasi wa master dronedrake?😁😁😁Acha maswali yako yenye majibu tayari
Mbona nawe unaonekana uko mirembe kabisa.Hiyo ni kuonyesha Msisitizo ya kwamba "MWANAMKE HANA AKILI TIMAMU"
Kama mimi nikijitokeza kukutoa huko kwa dronedrake utakubali 😊Majibu yake yanatuhusu hadi sisi wafuasi wa master dronedrake?
Hayo maneno waambie wanaoua sio mimiUnasomesha demu kwani wewe Bodi ya Mikopo? Hana kwao?
Ukihudumia ukoo mzima hapo wewe ndiye mwenye matatizo.
Nishavuka hyo stage ya kupenda. Sasa hivi nipo STAGE AMBAYO SIJALI HAYA UFANYE NINI.maisha yangu yenyewe yameshanisaliti.yananipiga kisawa sawa.nimuwaze mwanamke kanisaliti?Unasema hivyo kwasababu hujampata unayempenda
A typical soya boyThen..being rotten to jail.. ..
Pathetic!
Wanaoua wepi? Hakuna aliyeua na kuja hapa kusema kaua kwa sababu kamsomesha mwanamke.Hayo maneno waambie wanaoua sio mimi
Nimejaribu kuelezea sababu za watu zinazowafanya waueWanaoua wepi? Hakuna aliyeua na kuja hapa kusema kaua kwa sababu kamsomesha mwanamke.
Wewe ndiye umeleta hizo habari hapa.
Mbona kazi yenyewe chafu tuPumzika kwa Amani shoga yangu
Nitakubali sna tu😁Kama mimi nikijitokeza kukutoa huko kwa dronedrake utakubali 😊
Hii inaonyesha ninachokisemaMbona nawe unaonekana uko mirembe kabisa.
Kijana achana na hicho kigroup cha mchongo ukuje uone vile Mungu ameumba vitu vitamu 😁Nitakubali sna tu😁
Chukulia kirahisi mkuu… hayata kuumiza kamweMapenzi yanaumiza na kila mtu yanamuumiza kwa namna yake usichukulia kirahis rahisi tu
Kwanza kabisa hiyo sababu yako haina sourcing wala statistical evidence.Nimejaribu kuelezea sababu za watu zinazowafanya waue
Huo ushauri ungeuweka kama comment ili kila mtu asome bila kuniquote sababu mimi siwezi kuua sihitaji ushauri🤸