Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Tumuone Penina enzi za uhai wake tafadhali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wanachangamoto mda tu sema mapenzi ndio yanatibua kichaa sasa.Sasa c hayo mapenzi ndio yanawafanya kuwa na changamoto ya afya ya akili au.?
Demu umemsomesha, unamuhudumia baba na mama mkwe na ukoo mzima
Halafu akuletee mambo siyo, agongwe na wahuni...! Kifuatacho ITV
Leta hizo updates zaidi ndipo tuseme zaidi, kwa sasa ni mapema kusema chochote.Kwa mnamjua penina ana grocery hapo goba center pembeni ya baa ya trinnidad...kauawa na mpenzi wake usiku wa saa tisa hapo hapo grocery kwake...
Nitaleta update zaidi..!
Wanawake kuweni sana makini this time watu wamevurugwa sana!
Mkuu, vijana wa zamani wakigongewa fresh tu? hawaumii?!Kugongewa kuna wapa shida Sana vijana wa sasa hv, mtu anaweza kurukwa na akili, akisikia mwanamke wake kapitiwa,
Ni mwendo wa mapanga shwaaaah shwaaaaaaahDemu umemsomesha, unamuhudumia baba na mama mkwe na ukoo mzima
Halafu akuletee mambo siyo, agongwe na wahuni...! Kifuatacho ITV
Not necessarily ufike huko, umeruhusu love hisia ziku control, lakini kwanini wakati zipo njia za kuziepuka? mshike Mungu wako kila kitu kitakua chenye furaha ba hutaanguka kirahisi, wenza wetu wanatumika na shetani wananguvu sana kutia hofu matumbo yetu na mioyo yetu, kinachotokea unapiga pasipo juwa you are killing someone. God above allDemu umemsomesha, unamuhudumia baba na mama mkwe na ukoo mzima
Halafu akuletee mambo siyo, agongwe na wahuni...! Kifuatacho ITV
Mtu kaamua kuchagua wakumpa mbususu yake then wewe unajiua au kuua ,kama sio shida ya akili ni nini?Demu umemsomesha, unamuhudumia baba na mama mkwe na ukoo mzima
Halafu akuletee mambo siyo, agongwe na wahuni...! Kifuatacho ITV
Mapenzi n kichocheo 😂 bc kila mtu ana matatizo ya akili ni suala la muda tuu na kichocheo kufanya kazi.Watu wanachangamoto mda tu sema mapenzi ndio yanatibua kichaa sasa.
Kabla huyo jamaa hajamuua kwanini asingesema"Mama kama unaona umeshafika safari yako !,bas Fanya uonavyo ni sahihi"unajikata kiaina!Kwa mnamjua penina ana grocery hapo goba center pembeni ya baa ya trinnidad...kauawa na mpenzi wake usiku wa saa tisa hapo hapo grocery kwake...
Nitaleta update zaidi..!
Wanawake kuweni sana makini this time watu wamevurugwa sana!
Sio kila mtu mkuu , ni hao barubaru wanaoona mapenzi ni kila kituMapenzi n kichocheo 😂 bc kila mtu ana matatizo ya akili ni suala la muda tuu na kichocheo kufanya kazi.
Kumbe upo mkuu nilihis wewe ndio penina na kipini.Khaah ila mapenzi🙌🏾
🤣🤣🤣nipo bado mimi ni RKumbe upo mkuu nilihis wewe ndio penina na kipini.