dronedrake the witchHapa ndio utaona umuhimu wa timu Bakari Nondo MWAMNYETO.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dronedrake the witchHapa ndio utaona umuhimu wa timu Bakari Nondo MWAMNYETO.
Sasa haisaidii utaishia jela milele na baadaye kujutuia matendo yako.Watu wamechoka drama ni mwendo wa kusolve by elimination method hawataki substitution & graphical method
Itajulikana mbele ya safariSasa haisaidii utaishia jela milele na baadaye kujutuia matendo yako.
Uongooo bhanaaa!Mimi napenda Yesu kitu kimoja aliniepushaga na murder suicide. Siku hizi niko single nikishamaliza kazi zangu naenda zangu ghetto studio apartment yangu balcony nawasha bangi na sigara yangu navuta kwa furaha. Uzur siku hizi majirani hawalalamiki wote wavutaji.
Nina watoto japo siishi nao. That's life.
Kataa ndoa na mahusiano ya kudumu, ngono na bangi kwanza
Maaamaeee
Kuamua wa Kumpa sio tatizo...Tatizo ni kula vya watu....Msile vya watu tuuu...Mtu kaamua kuchagua wakumpa mbususu yake then wewe unajiua au kuua ,kama sio shida ya akili ni nini?
Kumbe The Stress Challengerr una vipoint sometimesSasa haisaidii utaishia jela milele na baadaye kujutuia matendo yako.
Kwa mnaomjua Penina ana grocery hapo Goba Center pembeni ya baa ya Trinnidad kauawa na mpenzi wake usiku wa saa tisa hapo hapo grocery kwake.
Nitaleta update zaidi.
Wanawake kuweni sana makini this time watu wamevurugwa sana!
Kwa hiyo untmba wapi?Mimi napenda Yesu kitu kimoja aliniepushaga na murder suicide. Siku hizi niko single nikishamaliza kazi zangu naenda zangu ghetto studio apartment yangu balcony nawasha bangi na sigara yangu navuta kwa furaha. Uzur siku hizi majirani hawalalamiki wote wavutaji.
Nina watoto japo siishi nao. That's life.
Kataa ndoa na mahusiano ya kudumu, ngono na bangi kwanza
Maaamaeee
IndeedLove hurts indeed
Demu ninao wengi tu. Tena wananipendaga sana lakini siyo permanent relationship.Uongooo bhanaaa!
Demu unaye, hakuna mtu wa kukaa na uji hata wa wiki hapa🤸
Hakuna papuchi ya mtu zaidi ya mmiliki , akiamua ampe nan ni yeye , akiamua atunze mpaka buibui waote ni yeye pia hakuna wakumpangia.Kuamua wa Kumpa sio tatizo...Tatizo ni kula vya watu....Msile vya watu tuuu...
Mapenzi yanaumiza na kila mtu yanamuumiza kwa namna yake usichukulia kirahis rahisi tuSio kila mtu mkuu , ni hao barubaru wanaoona mapenzi ni kila kitu
Kama wewe ujawahi kupenda huwezi kuelewa haya mambo🤸Sio kila mtu mkuu , ni hao barubaru wanaoona mapenzi ni kila kitu