Moto ninaopelekeaga siyo wakitoto. Halafu navyomkontrol kama mtoto mdogo vile. Angekuwa millionaire hata mimi ningekuwa. Kuna siku nilimuomba threesome na rafiki yake alikasirika sana eti akawa ananiignore na mimi nikampotezea. Akapataga kajamaa flani kutoka Sri lanka alikuja kuchuma berries summer job akawa kwa maksudi ananitambia kunifanya niwe na wivu mara kuweka picha kwenye WhatsApp profile yani dramas nyingi. Nigger nikala kimya tu ila kawivu flani kwa mbali ila sikuumia sana . Miezi ikapita nashtukia kwenye WhatsApp hi nikatabasamu tu. Mara anapiga simu sipokei. Siku moja narudi ghetto nakuta mifuko mitatu imejaa shopping ya nguvu mlangon bado nikala kimya.