Penina wa Goba Centre auawa na aliyekuwa mpenzi wake kwa kukatwa mapanga
Wanawake wenyewe ndio hawa, halafu watu mnayachukulia seriuos sana mapenzi. Vijana wenzangu acheni ujinga, mapenzi kwanini yakuendeshe namna hiyo?
Kitu pekee cha kumzuia mwanamke asichepuke ni maamuzi yake mwenyewe tu.

Utaishia jela upoteze mwelekeo wote wa maisha. Bora kuanza upya tu. Hata kama alikula mamilioni yako, pesa inatafutwa bro.
 

Attachments

  • Screenshot_20240523-125228.jpg
    Screenshot_20240523-125228.jpg
    29.6 KB · Views: 7
Hii tabia ya kuua wanawake kikatili ni ugaidi, unashambuliaje mwanamke ambaye uwezo wake wa kujihami ni mdogo tena unampiga na mapanga, ila hawa w@$3ng3 wakiwa wanatiwa mikononi na wao wacharazwe mapanga hadi kufa.


Pumbaf zao.
vp ummejima ukamjengea nyumba let's say 20-30mls then apange kukuua ili abaki na boyfriend wake but ukang'amua mapema,utamuachua mali au!?????
 
vp ummejima ukamjengea nyumba let's say 20-30mls then apange kukuua ili abaki na boyfriend wake but ukang'amua mapema,utamuachua mali au!?????
Mwanaume mwenye uwezo wa kumjengea mwanamke nyumba ya mil 20 mpaka 30 hana hela za kujinyima. Huyo anazo hela haswaa. Na kama anazo, yuko radhi amuuwe mgoni wake au kuachana na demu.
Hela za mawazo ndio tunataka kuuwa mwanamke.
 
Demu ninao wengi tu. Tena wananipendaga sana lakini siyo permanent relationship.

Kuna kamoja kalitakaga kunivunja fuvu na fryingpen maamaee mwamba Yesu akanikwepesha.

Ninao wengi tuu kuna mbibi flani akinionaga tu anaanza kulia.
Mjukuu wa Mangungo wa Msovelo huna akili wallaih! 😂

Bibi analilia nini?
 
Back
Top Bottom