Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata huko anakoenda ni sehemu ya mapambio mkuu.Mwanamke hapigwi mapanga au mashoka ni pambo la nyumba!
Tena hakuna mtu anaejua kupenda kama mimi ,sema katika kupenda kwangu huwa situpilii mbali swala la matumizi ya akili.Kama wewe ujawahi kupenda huwezi kuelewa haya mambo🤸
Nakuzingua tuTena hakuna mtu anaejua kupenda kama mimi ,sema katika kupenda kwangu huwa situpilii mbali swala la matumizi ya akili.
Yakisha anza umiza hayo sio mapenzi tena .chukua hatua stahiki haraka , kama afya ya akili ipo sawa.Mapenzi yanaumiza na kila mtu yanamuumiza kwa namna yake usichukulia kirahis rahisi tu
🤣Hapa ndio utaona umuhimu wa timu Bakari Nondo MWAMNYETO.
Mpk ss chanzo n wivu wa mapenzi ,hata police wa goba wataeleza tu hvyo afsaaa ,nilikutana na muuzaji saa Tisa hyo akijipeleka police mwenyewee inaonekana alidhamiriaaa.Kafa mdogo sana
Hata kama ndio umuue kikatili namna hioAkina penina ni mtapeli wa mapenzi.
Watu wanayachukulia mapenzi serious sana wakati hayahitaji hivyo.Watu wamechoka drama ni mwendo wa kusolve by elimination method hawataki substitution & graphical method
Then..being rotten to jail.. ..If she cheated it is ok to eliminate her.
vp ummejima ukamjengea nyumba let's say 20-30mls then apange kukuua ili abaki na boyfriend wake but ukang'amua mapema,utamuachua mali au!?????Hii tabia ya kuua wanawake kikatili ni ugaidi, unashambuliaje mwanamke ambaye uwezo wake wa kujihami ni mdogo tena unampiga na mapanga, ila hawa w@$3ng3 wakiwa wanatiwa mikononi na wao wacharazwe mapanga hadi kufa.
Pumbaf zao.
Same to me aiseeDah watu wanateseka sana na mapenzi ndio mana mm nimeamua kutokuchukulia serious mambo ya mapenzi
Mwanaume mwenye uwezo wa kumjengea mwanamke nyumba ya mil 20 mpaka 30 hana hela za kujinyima. Huyo anazo hela haswaa. Na kama anazo, yuko radhi amuuwe mgoni wake au kuachana na demu.vp ummejima ukamjengea nyumba let's say 20-30mls then apange kukuua ili abaki na boyfriend wake but ukang'amua mapema,utamuachua mali au!?????
Mjukuu wa Mangungo wa Msovelo huna akili wallaih! 😂Demu ninao wengi tu. Tena wananipendaga sana lakini siyo permanent relationship.
Kuna kamoja kalitakaga kunivunja fuvu na fryingpen maamaee mwamba Yesu akanikwepesha.
Ninao wengi tuu kuna mbibi flani akinionaga tu anaanza kulia.