Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemaliza kila Kitu Mkuu heko sana. Nakukubali sana kwani una Maamuzi ya Kibabe kama Mimi na hupindishi maneno.Huyo ni fala tu k kazijulia ukubwani ngoja wahuni wakamlawiti huko store. Ukimegewa unaachana nae sasa bwege kawekeza kabisa hajui kuwekeza kwa malaya ni sawa na kujenga kwe Road reserves. M'mae zake.
🤣🤣🤣Watu wamechoka drama ni mwendo wa kusolve by elimination method hawataki substitution & graphical method
Mfumo mzuri wa mapenzi ni ule ukihitaji penzi unatafuta dada unamlipa anakupa penzi mnamalizana. Siku nyingine ukihitaji penzi unatafuta mwingine au unamuita huyo huyo unamlipa anakupa penzi mnamalizana.Dah watu wanateseka sana na mapenzi ndio mana mm nimeamua kutokuchukulia serious mambo ya mapenzi
Hivyo ni viherehere tu, kuhudumia mwisho wake ndio kuuana tu. Msaidie mambo madogo madogo ila sio kupeleka mtoto wa mtu shule.Baba! Kuna vijana ukidate nao hawajisikii raha kukaa bila kuhudumia ukoo mzima
Mbona mi mpaka sasa nina miezi 4Uongooo bhanaaa!
Demu unaye, hakuna mtu wa kukaa na uji hata wa wiki hapa🤸
AbsolutelyLove hurts indeed
Alipaswa atutafute WAKALI WA KAZI HIZO tumpe Maujanja ya kwamba akizitumia awe vipi ili hata ikibanduliwa asiumie.Sana mkuu,hawa washamba wakionjeshwa ndogo wanachachawa kinoma sasa akifiria kuwa kuna mwingine analishwa kisamvu anarukwa na akili kabisa anajua hiyo anawekewa yeye tu kumbe kakuta kipira kimeshaachia kitambo.
Wqkati huyo muuaji,akitoa hivyo vyake viliwe,na yeye si alikuwa akiichakata mbususu,alitaka aichakate mbususu bure?Kuamua wa Kumpa sio tatizo...Tatizo ni kula vya watu....Msile vya watu tuuu...
Kwahiyo na Wewe UTAUA Mkuu au? Acha USHAMBA kwani ulimkuta Shemeji yetu akiwa SEALED kabisa Mbunyeni Kwake?Mi nilishasema kama ni lazima sisi wanaume kuhonga basi mie huwa namhonga mke wangu tu ili hata kama atanisaliti basi walau ntabakia na watoto aliyinizalia wa kunifariji uchungu wa pesaa angu.
Sasa mwanamke asile ela ya mwanaume kwa ahadi ya kumpa mapenzi alafu baadae akambadilikia tena huku ameshakula hela zakeHakuna papuchi ya mtu zaidi ya mmiliki , akiamua ampe nan ni yeye , akiamua atunze mpaka buibui waote ni yeye pia hakuna wakumpangia.
Ukikolea penzini unafikiri ni rahisi kiasi hicho?!Not necessarily ufike huko, umeruhusu love hisia ziku control, lakini kwanini wakati zipo njia za kuziepuka? mshike Mungu wako kila kitu kitakua chenye furaha ba hutaanguka kirahisi, wenza wetu wanatumika na shetani wananguvu sana kutia hofu matumbo yetu na mioyo yetu, kinachotokea unapiga pasipo juwa you are killing someone. God above all
We Cheka ukizingua ndo vle status itasoma rest in nini sijui
Hauna picha yake?!Kafa mdogo sana
Maumivu ya mapenzi na afya ya akili vinauhusiano gani acha upotoshajiYakisha anza umiza hayo sio mapenzi tena .chukua hatua stahiki haraka , kama afya ya akili ipo sawa.
Ningekuwa jirani nawe nakuhakikishia Mkuu ningekupa Hela kama Zawadi kwani umesema vyema na ndivyo nafanya.Mfumo mzuri wa mapenzi ni ule ukihitaji penzi unatafuta dada unamlipa anakupa penzi mnamalizana. Siku nyingine ukihitaji penzi unatafuta mwingine au unamuita huyo huyo unamlipa anakupa penzi mnamalizana.
Haya mambo eti mtu ana mpenzi anahudumia wakati haina tofauti yeyote n kwa sababu wanawake karibia wote wanauza na hawana mteja mmoja. Wanaume wanapaswa kuondoka katika mfu.o wa kuwa na mpenzi wa kudumu.
Buyer seller relationship ndio mfumo bora kwa-mazingira ya sasa.
Kwanini! Wanawake wapo kibaoMbona mi mpaka sasa nina miezi 4
Wala siyo utafiti...mnanyooka kwenda hospital kwa vipimo vya afya ya akiliShida ya afya ya akili ni kubwa mno , inabidi kabla ya kujihusisha na mtu utafiti wa kina ufanyike.