Penina wa Goba Centre auawa na aliyekuwa mpenzi wake kwa kukatwa mapanga
Not necessarily ufike huko, umeruhusu love hisia ziku control, lakini kwanini wakati zipo njia za kuziepuka? mshike Mungu wako kila kitu kitakua chenye furaha ba hutaanguka kirahisi, wenza wetu wanatumika na shetani wananguvu sana kutia hofu matumbo yetu na mioyo yetu, kinachotokea unapiga pasipo juwa you are killing someone. God above all
Hakika
 
Bila shaka mwanaume aliwekeza sana kwa bibie na hatimaye kuwa na wivu sana na Penina wake.

Hata hivyo, njia aliyoitumia siyo sahihi kwa sababu hajamdhuru tu Penina bali kajiumiza yeye mwenyewe!
Hakuna lolote huyo Jamaa ( Pimbi ) ni Mshamba tu. Hakuna Demu wa peke yako hasa kwa hii dunia ya sasa mtake msitake.
 
Wanawake hawana chochote cha thamani zaidi ya MAKU,ndiyo maana akili yao siku zote ni kuhakikisha anaitumia MAKU yake vizuri ili kuleta Migogoro kwenye jamii!

Walipoumbwa walinyimwa kila kitu ila wakapewa MAKU!

Ni jukumu la Vijana kulitambua hili!
 
Mfumo mzuri wa mapenzi ni ule ukihitaji penzi unatafuta dada unamlipa anakupa penzi mnamalizana. Siku nyingine ukihitaji penzi unatafuta mwingine au unamuita huyo huyo unamlipa anakupa penzi mnamalizana.
Haya mambo eti mtu ana mpenzi anahudumia wakati haina tofauti yeyote n kwa sababu wanawake karibia wote wanauza na hawana mteja mmoja. Wanaume wanapaswa kuondoka katika mfu.o wa kuwa na mpenzi wa kudumu.
Buyer seller relationship ndio mfumo bora kwa-mazingira ya sasa.
Sisi wazee wa kununua tunawa zoom tu hao jamaa wanaojifanya wataalamu wa mapenzi na kuhudumia wanawake
 
Back
Top Bottom