Penina wa Goba Centre auawa na aliyekuwa mpenzi wake kwa kukatwa mapanga
Wanawake hawana chochote cha thamani zaidi ya MAKU,ndiyo maana akili yao siku zote ni kuhakikisha anaitumia MAKU yake vizuri ili kuleta Migogoro kwenye jamii!

Walipoumbwa walinyimwa kila kitu ila wakapewa MAKU!

Ni jukumu la Vijana kulitambua hili!
Sasa Mwanaume nae ana kitu gani cha ziada katika Dunia hii zaidi ya mti katikati ya mapaja yake tena ni kiumbe katili sana katika Ulimwengu huu.
 
Mi nilishasema kama ni lazima sisi wanaume kuhonga basi mie huwa namhonga mke wangu tu ili hata kama atanisaliti basi walau ntabakia na watoto aliyinizalia wa kunifariji uchungu wa pesaa angu.
Siku utakayogundua watoto hao si wako ndipo utakapokumbuka kujipenda mwenyewe.
 
Tena hakuna mtu anaejua kupenda kama mimi ,sema katika kupenda kwangu huwa situpilii mbali swala la matumizi ya akili.
Ni kweli mwamba. Mimi zamani nilikuwa napenda kwa kishindo. Ila jinsi navyokua na use common sense. Dawa moja ya hawa viumbe ukiona tu ameanza na umemuhis potezea yani usijali kabisa wanajisikiaga vibaya sana ukiwaignore.
 
Nakuzingua tu
Hao wanaoua hawajielewi siwezi kuua mtu kwa chochote wala kugombania mwanaume
Dogo usiseme hivyo mengine huwa yamepangwa kutokea tangu umezaliwa. Mimi anakuambia ukweli kuna wakati nilitaka ku commit murder suicide kuua na mimikujiua ila hadi leo najiuliza nini kilinizuia. Yesu ni Mungu
 
Sasa Mwanaume nae ana kitu gani cha ziada katika Dunia hii saidi ya mti katikati ya mapaja yake tena ni kiumbe katili sana katika Ulimwengu huu.
1.Mwanaume ana akili timamu,Mwanamke hana akili timamu!

2.Mwanaume ni mchakarikaji,Mwanamke hawezi kuchakarika!

3.Mwanaume Uume hautumi kujipatia kipato,Mwanamke uke wake ni sehemu ya mapato!

4.Mwanaume anaheshimika na jamii zote,Mwanamke haeshimiki kwasababu ya tabia zake

5.Mwanamke hawezi kufanya jambo lolote la maana bila Mwanaume,Mwanaume anaweza kufanya jambo la maana bila mwanamke!

6.Mwanamke yeye mwenyewe huwa haelewi anataka nini katika maisha yake binafsi,Wanaume ni watu wa mipango!

7.Mwanaume anakojoa amesimama,Mwanamke kukojoa lazima achutame


Aliyewaumba alitoa tahadhari "ISHINI NAO KWA AKILI",Aliyewaumba mwenyewe anawaogopa,sembuse mlala hoi wa Bunju?
 
Mahusiano sio kwa watu wenye Akili ndogo.Maana yana udhi sana kama wewe ni mtu wa kuumizwa na vitu vidogo vidogo dont invest in your relationship na your patner.Utakuja kuua buree Au kufa kwa kujiua.
 
Back
Top Bottom