Penina wa Goba Centre auawa na aliyekuwa mpenzi wake kwa kukatwa mapanga
Yaan watu wengine wanajitafutia matatizo tu sasa demu anauza glocery we nae unamwita demu wako wakati yule ni malaya...hv mteja kalipa bill lak 3 ataacha kumpongeza mteja wake?...yaan mbususu ipo sokoni we unataka iwe yako peke yako inawezekanaje?
 
Kwa mnaomjua Penina ana grocery hapo Goba Center pembeni ya baa ya Trinnidad kauawa na mpenzi wake usiku wa saa tisa hapo hapo grocery kwake.

Nitaleta update zaidi.

Wanawake kuweni sana makini this time watu wamevurugwa sana!

UPDATES:
Ngosha baada ya kumuua alienda polisi mdogomdogo maana ni kama 2minutes walking....
Pia muda ni saa kumi na mbili asubuhi badala ya saa tisa... cc nifah


Ngosha ni Mpumbavu. Na atakuja kujuta sana.
 
Yaan watu wengine wanajitafutia matatizo tu sasa demu anauza glocery we nae unamwita demu wako wakati yule ni malaya...hv mteja kalipa bill lak 3 ataacha kumpongeza mteja wake?...yaan mbususu ipo sokoni we unataka iwe yako peke yako inawezekanaje?
Napenda sana Wanaume Wajanja, Werevu halafu Watoto wa Mjini kama Wewe hivi na siyo Washamba Washamba. Umeandika ukweli kabisa hapa Mkuu. Heko.
 
Kwa mnaomjua Penina ana grocery hapo Goba Center pembeni ya baa ya Trinnidad kauawa na mpenzi wake usiku wa saa tisa hapo hapo grocery kwake.

Nitaleta update zaidi.

Wanawake kuweni sana makini this time watu wamevurugwa sana!

UPDATES:
Ngosha baada ya kumuua alienda polisi mdogomdogo maana ni kama 2minutes walking....
Pia muda ni saa kumi na mbili asubuhi badala ya saa tisa... cc nifah
Suala wanawake sio kua makini tu. Wanaume pia punguzeni ngenga. Yani nyie mki cheat ni sawa ila mwanamke asiongee na mtu ushamshikia panga. Huwa mna shida gani
 
Kwa mnaomjua Penina ana grocery hapo Goba Center pembeni ya baa ya Trinnidad kauawa na mpenzi wake usiku wa saa tisa hapo hapo grocery kwake.

Nitaleta update zaidi.

Wanawake kuweni sana makini this time watu wamevurugwa sana!

UPDATES:
Ngosha baada ya kumuua alienda polisi mdogomdogo maana ni kama 2minutes walking....
Pia muda ni saa kumi na mbili asubuhi badala ya saa tisa... cc nifah
Pole sana kwa familia
kufiwa na ndugu kwa kuliwa kikatili namna hii ni maumivu sana.pole sana kwa wazazi na watoto kama walikuwepo

Ila I hope huyu penina hakuwa na mdomo mchafu kama yule aliyekuwa akimliza sana Hana kila siku
 
Kwa mnaomjua Penina ana grocery hapo Goba Center pembeni ya baa ya Trinnidad kauawa na mpenzi wake usiku wa saa tisa hapo hapo grocery kwake.

Nitaleta update zaidi.

Wanawake kuweni sana makini this time watu wamevurugwa sana!

UPDATES:
Ngosha baada ya kumuua alienda polisi mdogomdogo maana ni kama 2minutes walking....
Pia muda ni saa kumi na mbili asubuhi badala ya saa tisa... cc nifah
R.i.P Classmate....😥
But, why mentioned Nifah
 
Wanaume wengine ni mabwege kweli wacha akanyee ndoo huko, unajimilikisha mwanamke?? wanaume hebu tuache huu ufala wa kuhudumia mwanamke badae akikusaliti eti unamuua kisa umemhudumia sana stupid!!
Mimi ninachojua kama Mimi Mwanaume nabandua basi hata na Demu wangu nae pia anabanduliwa vile vile hivyo sioni haja ya Kushangaa hadi kutaka Kumuua. Kwanza Mimi GENTAMYCINE nilivyo Mbanduaji Tukuka nikisikia Demu wangu anabanduliwa na Msela mwingine nitabaki Kucheka tu na kumuona Mjanja na tunaenda sawa. Watoto wa Mjini wala huwa hatuhamaki ila hii Mishamba inayokuja Dar es Salaam na Malori ya Kokoto za Nangwanda ndiyo ina huu Upuuzi.
 
Duuh, hizi story ndio huwa zinafanya Niendelee kununua tu warembo wa kuenjoy nao kwa muda mfupi tu kisha niendelee na mambo yangu mengine,

Hapo unaeza kuta jamaa aliwekeza vya kutosha kwenye hiyo biashara alafu huko mbeleni demu akaanza kuleta maigizo mwisho wa siku jamaa anaenda kuishia jela, huo ujinga hapana. Huyo jamaa kama bado hajadakwa inabidi ale kitimoto ya mwisho mwisho kwa maana hatokula tena kitimoto rosti/kavu/choma. Kisa mapenzi unakatisha safari yako ya kunywa bia??!! Pole Yake
Hit & Run
 
Back
Top Bottom