Kingwaba Mazegenuka
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 1,016
- 1,707
Kinondoni matukio yake ni matumizi ya ngada na ushoga,wanaume wa Kinondoni wengi siyo riziki.Goba ni Wilaya ya Ubungo....
Kinondoni hakuna matukio ya ovyo hivyo.
πππRIPβ¦ ilaaa kina Penina wanajaziaga, sijawahi kuona Penina mwembamba
Dawa kuishi kisela tu ukiwa na kutu pisi ziko kibao pesa yako tu.Ndoa za mikataba ndo zinamaliza wivu wa mapenzi..?
Mateja na machokoSasa wilaya imejaa mateja tu watakuwa na lolote la maana?
Kamata mwizi meen. Popoma alitaka aonekane na yeye anaishi Dar kwamba anajua habari za ndani za Penina. π€£π€£π€£ ameumbuka.Aliyemkata panga ndie huyo waliyepigana
Ila wanaume mnajitafutiaga matatizo. Mtu umemkuta anauza baa unataka kuleta ubabe wa kumkataza asiendelee na biashara uliyomkuta nayo
Kama Robot EuniceNenda mwanachi_official ( online ) utaiona Mkuu. Kumbe Marehemu ana Umbile wa yale yale Mapigo yangu Tukuka.
Acha hizo mkuu..huyo hakuwa mwanafunzi wake,bali alikuwa mfuasi wake Tena mpaka Yesu anakibali awe mfuasi wake ilibidi amtakase kuondoa mapepo ndani mwake. Wanawake Wana mapepo,ndio maana hata vimbuga vyenye majina ya kike ni balaa..Unataka spoon feeding..? Kama hauwezi hata ku google story ya Mary Magdalene me sina cha kukushawishi zaidi hapo.
Aah wapi! Kwa mfano,tumekubaliana aache biashara ya kuuza ulabu,nikampa kibunda kizito kama mtaji afanye biashara nyingine..ghafla akaanza visa mixer mapichapicha yasiyoeleweka hapo unategemea nini?
Mambo gani? πππWala si mcheat mm tatizo na nyie kuna mambo hamniambii nikiwauliza
Nimewauliza ndoa katoliki ndo nini..Mambo gani? πππ
πππ Sema kweli?Mm Siwez kuchukia serious mapenzi kwahy huwez kuniumiza mpaka kukuua
Si ndoa wanazofunga wapendanao waliokataa kuzini πππ€£Nimewauliza ndoa katoliki ndo nini..
πππππ
Hio mbaya kamanda. We need a family kuendeleza ukoo.Dawa kuishi kisela tu ukiwa na kutu pisi ziko kibao pesa yako tu.
Aya bhn, me nakuachia hapo maana kiroho nipo vizuri pia ila tutajadiliana siku nyingine mambo ya kiroho.Acha hizo mkuu..huyo hakuwa mwanafunzi wake,bali alikuwa mfuasi wake Tena mpaka Yesu anakibali awe mfuasi wake ilibidi amtakase kuondoa mapepo ndani mwake. Wanawake Wana mapepo,ndio maana hata vimbuga vyenye majina ya kike ni balaa..
Jinga wewe ππππSi ndoa wanazofunga wapendanao waliokataa kuzini πππ€£
Kwani mnataka kufunga ndoa na wizo??
Sis nina shida na ww parsonalSi ndoa wanazofunga wapendanao waliokataa kuzini πππ€£
Kwani mnataka kufunga ndoa na wizo??
Pia hawataki diamondo saundoWatu wamechoka drama ni mwendo wa kusolve by elimination method hawataki substitution & graphical method