Undetectable
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,570
- 2,076
Upo sahihi,ila wanawake Wana pretend sana..anaweza kujifanya mpole na mtulivu kumbe moto wa gesi.Hasara tupu mkuu. Mfano Unaokota baamedi unategemea awe mtulivu wakati alishazoea kula vichwa utaishia kuua tu daily. Au umekuta changudoa huko anajiuza unaokota na kuapa kumbadilisha kwa kumpa kila kitu ukitegemea utakua alone hio ni impossible mission
😀😀😀😀 pesa ya mwanaume wanaichukulia simple simple tu eti laki moja. Muulize yeye ni lini ashawahi kumpa mtu yoyote iyo laki moja.Mbona una hasira!! Visu vitawahusu sana kwa stahili hii
So 😢Kwa mnaomjua Penina ana grocery hapo Goba Center pembeni ya baa ya Trinnidad kauawa na mpenzi wake usiku wa saa tisa hapo hapo grocery kwake.
Wanawake kuweni sana makini this time watu wamevurugwa sana!
UPDATES:
Mtuhumiwa baada ya kumuua alienda polisi mdogomdogo maana ni kama dakika mbili kwa kutembea. Pia muda ni saa kumi na mbili asubuhi badala ya saa tisa. cc nifah
==========
JamiiForums ilipowasiliana na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Mtatiro Kitinkwi amesema: “Ni tukio la kweli na limeshatufikia, mwenye mamlaka ya kutoa taarifa zaidi ni RPC Jumanne Muliro, wasiliana naye atakupa taarifa na tayari ameshalizungumzia.”
Pia soma: Polisi wamtaka aliyekuwa mpenzi wa Penina wa Goma Center
I'm here Mr♥️
Ndio my😂😂😂 Sema kweli?
Ungekuwa umwwahi kukaa rumande hta kwa siku moja ungebadilisha sana msimamo wako wa ku deal na violence.Demu umemsomesha, unamuhudumia baba na mama mkwe na ukoo mzima
Halafu akuletee mambo siyo, agongwe na wahuni...! Kifuatacho ITV
SahihiTatizo wanawake warembo wenye makalio makubwa wana mambo ya ajabu, sasa wakikutana na mwanaume asiye na akili ndo wanauwawa.
"Baby, uza ile nyumba ya mama yako nipe mtaji niachane na biashara ya baa ina vishawishi."
Mtu anauza, mama anapangiwa chumba kimoja halafu anafumaniwa na mwanaume bar, akiulizwa mbona hutoki huko baa na mtaji nimekupa anaanza majibu ya kipumbavu. Unategemea nini zaidi ya kichwa kutenganishwa na makalio?
Maisha magumu mji huu, mademu wanalazimika kuwa na kazi za ziada ili kumudu gharama na fantasies mbali mbali. Kudanga ndio easy option ambayo wengi hupenda kutumia.Dar na ku-Danga ni synonym, robo tatu ya wanawake wa Dar, wakiwemo wake za watu, ni malaya, kama nu mke wa mtu anaishi na mumewe katika nyumba ili apate sehemu ya kujikinga jua na mvua na giza
Sasa mnavyoendaga ku cheat huko hadi mnazaa na mnategemea mwanamke awaelewe na asiulize huwa inakuwaje?Mwanamke anaongeaga
na mtu bila lengo? We uliskia wapiii???
Yalikua ni matukio ya kawaida kabisa ya kijamii, sema kwavile redio ilikua moja, RTD na hakukua na mtandao ya kijamii, basi hayakujadiliwa kitaifa kama hili la Penina wa Gobs, maana hapa hata aliye kigoma anajadili.Lilikuwa tukio la kitaifa?
Hahaaaaa🤣🤣🤣🤣 aisee huyu msukuma kweli kwa penina alikamatika haswaaa ... Yani kashikwa tu kidevu ndiyo kafumba hadi macho
Mzee wa ligi, hadi kwenye uzi wa huzuni na mauti unaleta ubishi tu.Hoja ni ile ile hata kwa mwanamke haibadiliki.
Ndiyo maana nikasema una tatizo la kufikiri kidhahania.
You are incapable of abstract thinking.
Bado una personalize "mimi, mwanamke" badala ya kuangalia hoja ya msingi.
So much trouble in the world!Hakuna mjanja wa mapenzi wala pombe.Yasikie hivyohivyo na usimlaumu mtu.Eee Baba Mungu tuepushe na kikombe hicho.Apumzike kwa amani Penina.Aaamiina!🙏Kwa mnaomjua Penina ana grocery hapo Goba Center pembeni ya baa ya Trinnidad kauawa na mpenzi wake usiku wa saa tisa hapo hapo grocery kwake.
Wanawake kuweni sana makini this time watu wamevurugwa sana!
UPDATES:
Mtuhumiwa baada ya kumuua alienda polisi mdogomdogo maana ni kama dakika mbili kwa kutembea. Pia muda ni saa kumi na mbili asubuhi badala ya saa tisa. cc nifah
==========
JamiiForums ilipowasiliana na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Mtatiro Kitinkwi amesema: “Ni tukio la kweli na limeshatufikia, mwenye mamlaka ya kutoa taarifa zaidi ni RPC Jumanne Muliro, wasiliana naye atakupa taarifa na tayari ameshalizungumzia.”
Pia soma: Polisi wamtaka aliyekuwa mpenzi wa Penina wa Goma Center
Huo ni uchoyo ulooitilizakizuri kula na wenzako😃Kugongewa kuna wapa shida Sana vijana wa sasa hv, mtu anaweza kurukwa na akili, akisikia mwanamke wake kapitiwa,
mkuu Kakumamoto hili jina lako linahitaji uzi unaojitegemea wenyewe [emoji1787][emoji1787]Nilikua sijui kama unaongelea mambo ya kale au vijijini sana miaka ya 88 kurudi nyuma. DSM hapo hapo kariakoo na magomeni watumejinyonga na kuuana kisa wanawake. Nadhani kama ulikua Dar ulikua mdogo sana au haukua DSM kabisa.
🤣🤣🤣 haya myNdio my
Hao wanaokufa wenyewe wanaenda hospitali kukibishia kifo.Mzee wa ligi, hadi kwenye uzi wa huzuni na mauti unaleta ubishi tu.
Tena ni ujinga kabisaUnamjengea mwanamke nyumba ya mil 30 hujamuoa si ushamba huo.