Penina wa Goba Centre auawa na aliyekuwa mpenzi wake kwa kukatwa mapanga
Hawa ndiyo wanaitwa ma-papa ya mji. Nadhani wengi mnaelewa kuwa samaki papa hawezi kuliwa na mtu mmoja na akaisha. Anakatwa vipande vidogo vidogo halafu kila mwenye fedha ananunua na kujilia. Ajabu kuna mtu anataka amle papa wenyewe.
We wa mjini mkuu ndio maana unaelewa mtu katoka huko magu lkn kwa ndani anaelewaje
 
Yaan watu wengine wanajitafutia matatizo tu sasa demu anauza glocery we nae unamwita demu wako wakati yule ni malaya...hv mteja kalipa bill lak 3 ataacha kumpongeza mteja wake?...yaan mbususu ipo sokoni we unataka iwe yako peke yako inawezekanaje?
Usisahau

 
Rudi mpaka kwenye ujumbe wako ulioniquote umeniambia mimi direct

Nisingekua na shida kama ungequote bila kunishutumu direct
Hapana, ni wewe tu hujui kusoma kwa ufahamu na fikra dhahania.

Hujui Socratic questions.

Nilipoandika "unapo..." simaanishi wewe, namaanisha mwanamme yeyote. Ukiwamo hata wewe.

Nimeandika kidhahania (abstract) wewe umeshindwa kusoma. Umechukukia personally.

Mimi siwezi kukuandikia wewe personally, sikujui.
 
Hapana, ni wewe tu hujui kusoma kwa ufahamu na fikra dhahania.

Hujui Socratic questions.

Nilipoandika "unapo..." simaanishi wewe, namaanisha mwanamme yeyote. Ukiwamo hata wewe.

Nimeandika kidhahania (abstract) wewe umeshindwa kusoma. Umechukukia personally.

Mimi siwezi kukuandikia wewe personally, sikujui.
Na kweli hunijui ndio maana unadhani unajadili na mwanaume mwenzako hapa
 
Back
Top Bottom