Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Kwakwel jitahid ukaze vinginevyo utachelewa sana 😂Watu wamevurugwa inabidi na mimi nikaze lah sivyo nitaachwa nyuma😂🤸
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakwel jitahid ukaze vinginevyo utachelewa sana 😂Watu wamevurugwa inabidi na mimi nikaze lah sivyo nitaachwa nyuma😂🤸
Kuna penzi na kuna ngono.Mfumo mzuri wa mapenzi ni ule ukihitaji penzi unatafuta dada unamlipa anakupa penzi mnamalizana. Siku nyingine ukihitaji penzi unatafuta mwingine au unamuita huyo huyo unamlipa anakupa penzi mnamalizana.
Haya mambo eti mtu ana mpenzi anahudumia wakati haina tofauti yeyote n kwa sababu wanawake karibia wote wanauza na hawana mteja mmoja. Wanaume wanapaswa kuondoka katika mfu.o wa kuwa na mpenzi wa kudumu.
Buyer seller relationship ndio mfumo bora kwa-mazingira ya sasa.
Ndio maana ktk haya maisha tunatakiwa kujua tuna nafasi moja tu ya kujaribu maisha,nafasi hiyo inatunzwa na maamuzi yetu ya sekunde chache sana sio yale maamuzi ya kulala unatafakari NO.daah kweli wanaume tumeumbiwa mateso maana kila mtu analalama penina alikuwa penina alikuwa vile yani full penina
surprisingly no one anaongelea hatima ya huyu kijana mdogo wa kiume aliyefanya maamuzi makubwa kwa shinikizo la kuhemkwa na hasira kiasili ya kibinadam.
maisha ya kijana tayari yamegeuka chini juu na pengine kwa miaka mingi kuanzia sasa atakuwa kwenye safari za nenda rudi kati ya mahakamani na gerezani.
kwa miaka mingi mbeleni hatawaona marafiki zake aliokula nao bata.
sasa mapoti (mapolisi), wanasheria na watuhumiwa wenzake ndo wameshachukua iyo nafasi.
hapo kwa uchache sana tutaanza kumskia huko 2030s. yani there is no second chance for this little chap.
mkuu hii comment ina uhusiano na uzi huu?Umeshanipandisha Nyege ngoja nimtafute Demu wangu wa Kiganda ili ailete leo Jioni akitokea Kazini Kwake ili niipige.
Nilikua sijui kama unaongelea mambo ya kale au vijijini sana miaka ya 88 kurudi nyuma. DSM hapo hapo kariakoo na magomeni watumejinyonga na kuuana kisa wanawake. Nadhani kama ulikua Dar ulikua mdogo sana au haukua DSM kabisa.Kuna Watu wa zamani hawana huu msamiati, mwanamke akiwa malaya anampa talaka halafu analipwa fidia na mgoni wake unavuta mke mwingine. Kugongewa ni msamiati wa vijana wa 88-2000 na kuendelea.
Unaongelea zamani ipi hiyo ambayo watu walikua na mioyo ya chuma?! Hawaumii wakitombewa?!Vijana wa zamani walikuwa na wake wengi na ukiwa na wanawake wengi unakuwa unajua lazima utagongewa kati ya mmoja wapo, kwahiyo unakua umejiandaa kisaikolojia.
Ni hatari sana aisee mwanamke ukimpenda ukamuweka moyoni na kumuamini kisha baadae akakufanyia tukio fulani la kukuvunja moyo maumivu yake sio mchezo ukiwaza jinsi anavyokupaga utamu kwa staili mbalimbali kisha baadae ukisikia kuna muhuni naye anamfaidi usiombee ndugu yangu.Demu umemsomesha, unamuhudumia baba na mama mkwe na ukoo mzima
Halafu akuletee mambo siyo, agongwe na wahuni...! Kifuatacho ITV
Mbona kijana wetu kalegea hivi..Hajavaa chupi
View attachment 2997765
Msukuma aliingia mazima+kumgarimia🤣🤣🤣🤣 aisee huyu msukuma kweli kwa penina alikamatika haswaaa ... Yani kashikwa tu kidevu ndiyo kafumba hadi macho
Subiri mwanasheria wangu BICHWA KOMWE - aje kwanza 😂😂😂Em nambie ww n pisi kali au siyo, jibu utakalotoa nitajihesabia kuwa na Mm hapa JF nna pisi au sina
😂😂😂 Na sisi tunajifunza kutumia mapangaMbona una hasira!! Visu vitawahusu sana kwa stahili hii
Na kwann ni date na raia km wewe mwenye changamoto ya afya ya akili 🤣🤣🤣🤣Mfano mm ndo ningekuwa mtu wako afu umekuja kunizingua, aisee wananchi wakiona mwili wako hawawezi kuelewa n kipi kilichokupata mana mwili isingeelezeka.
Mmmhh,huhakutana na mimaji wewe"daah hii weka mbali na watoto maana lile jotojoto linaloambatana na yale maji. ni balaa kubwa. mb.00 inapata mvuke wa moto apo lazima ushushe mzigo. hatari sana hii. unaweza kukuta umekabidhi nyumba ya familia". alisikika mtu mmoja.
Mambo mengine naona ni ya ajabu! Yaani unatesekaje na mapenzi, unaempenda hakupendi au?Dah watu wanateseka sana na mapenzi ndio maana mimi nimeamua kutokuchukulia serious mambo ya mapenzi
Hebu muone🤣🤣🤣🤣 aisee huyu msukuma kweli kwa penina alikamatika haswaaa ... Yani kashikwa tu kidevu ndiyo kafumba hadi macho