Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Hizo changamoto zingekuwa umezileta wwNa kwann ni date na raia km wewe mwenye changamoto ya afya ya akili 🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo changamoto zingekuwa umezileta wwNa kwann ni date na raia km wewe mwenye changamoto ya afya ya akili 🤣🤣🤣🤣
Bora angemuacha kwa amani, sasa huyo jamaa kajificha na atakamatwa akafie jela. Tusijichukulie sheria mkononi, angempa talaka au akamuacha kiaina ingekuwa poa sana. Anyway rip penny, jina zuri kafa kifo kiba
Lilikuwa tukio la kitaifa?Nilikua sijui kama unaongelea mambo ya kale au vijijini sana miaka ya 88 kurudi nyuma. DSM hapo hapo kariakoo na magomeni watumejinyonga na kuuana kisa wanawake. Nadhani kama ulikua Dar ulikua mdogo sana au haukua DSM kabisa.
Jana tu nimemsoma Dr Sibi anasema , kwanini ukabidhi pendo lako kwa mtu mwingine..Anasema jipende mwenyewe... Kupata sehemu ya kufanya sex siyo mapenzi ile ni huduma na unaweza kuipata sehemu nyingi kibao zipo kwa njia tofauti tofauti.. Jipende mwenyeweMwanaume kua na mahusiano na kumkabizi moyo mwanamke anaeuza grocery,bar na mama ntilie ni kujivika bomu mda wowote linaripuka
Yuko sahihi. Hakuna mbadala wa mtu hata siku moja, tusiweke matumaini kwa watu. Jijali kwanza wewe watu wengine wafuate. Futaha ya kweli ni ile ya kujipa mwenyewe. Ukitegemea binadamu akupe furaha utakuja kukatishwa tamaa na kufanya maamuzi ya kijinga kama huyo ngosha.Jana tu nimemsoma Dr Sibi anasema , kwanini ukabidhi pendo lako kwa mtu mwingine..Anasema jipende mwenyewe... Kupata sehemu ya kufanya sex siyo mapenzi ile ni huduma na unaweza kuipata sehemu nyingi kibao zipo kwa njia tofauti tofauti.. Jipende mwenyewe
KaribuBaadae takucheki
🙏🙏Pole sana Tayana, its heartbreaking 💔
AsantePole Dear....Ni Mama Mzazi?
We tembea na doko ila uzingue af unikate na hio dorco jua lazma nikukutanishe na Muumba wa dunia na mbingu cha kwa ukaliiWanaume wengi kwa sasa wanakabiliwa na changamoto ya akili,Wanawake tujilinde tutembee hata na wembe wa Doko kwenye pochi🐒
Hivi mkuu nikukate kwenye kitendea kazi utakuwa na nguvu hata ya kunishika mkuu😁😁😁Yaani nazamisha mpaka kwenye nyama nyeupe🐒We tembea na doko ila uzingue af unikate na hio dorco jua lazma nikukutanishe na Muumba wa dunia na mbingu cha kwa ukalii
Umefunga pmKaribu
Yani sahizo unatoa kiwembe hadi unani attack nitakuwa sikuangalii? Labda univizie usiku nikiwa nimelala. Nishashikiwa kisu ila aliyekishika alijutia uamuzi wake 😁Hivi mkuu nikukate kwenye kitendea kazi utakuwa na nguvu hata ya kunishika mkuu😁😁😁Yaani nazamisha mpaka kwenye nyama nyeupe🐒
Nasubiri umelala chali yaani napitisha moja tu ukistuka upo muhimbili hospital😁😁Yani sahizo unatoa kiwembe hadi unani attack nitakuwa sikuangalii? Labda univizie usiku nikiwa nimelala. Nishashikiwa kisu ila aliyekishika alijutia uamuzi wake 😁
Na mimi siku tukizinguana huwa naficha visu labda uje na wembe. Nitaenda muhimbili ila nikishatoka ujue wewe unakwenda kaburini straight. Huwezi elewa bila D mbili.Nasubiri umelala chali yaani napitisha moja tu ukistuka upo muhimbili hospital😁😁
Sasa muhimbili una ukakika utatoka mzima 😁😁😁Na mimi siku tukizinguana huwa naficha visu labda uje na wembe. Nitaenda muhimbili ila nikishatoka ujue wewe unakwenda kaburini straight. Huwezi elewa bila D mbili.
na mtu bila lengo? We uliskia wapiii???Suala wanawake sio kua makini tu. Wanaume pia punguzeni ngenga. Yani nyie mki cheat ni sawa ila mwanamke asiongee na mtu ushamshikia panga. Huwa mna shida gani
Ndio ilikuwa chance yako ya kunimaliza ila kama ulishindwa basi jua unaisha wewe 😂Sasa muhimbili una ukakika utatoka mzima 😁😁😁